Mwalimu aliyetelekeza watoto akiona cha moto
Na Nathaniel Limu, Singida
MWALIMU wa shule za msingi mstaafu wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Julius Ezekiel Magandi, ameamriwa na mahakama ya mwanzo Utemini mjini hapa, kulipa/kutoa shilingi laki moja kila mwezi ikiwa ni gharama ya kutunza watoto wake wawili aliowatelekeza.
Mahakama hiyo imemwamuru mwalimu Magandi kuanza kutekeleza amri hiyo kuanzia Januari mwaka huu hadi hapo watoto hao watakapofikisha umri wa miaka 18.
Hakimu wa mahakama hiyo Ferdinard Njau, alisema mwalimu Magandi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MTUNISI AKIONA CHA MOTO MAHAKAMANI
10 years ago
GPL
WATOTO WAWILI WATEKETEA KWA MOTO KIJIJI CHA MBELA, MWANZA
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL
10 years ago
VijimamboDC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI ZA SIKUKUU YA KRISMASI KWA WATOTO WANAOISHI KWENYE KITUO CHA KUHUDUMIA WATOTO WA KIJIJI CHA MATUMAINI MKOANI DODOMA.
10 years ago
GPL
BODABODA AMSHIKA AFANDE KALIO,AKIONA!!
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Mamlaka ya elimu yatoa ufadhili wa milioni 300 kwa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K.Nyerere
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Bw. Joel Laurent akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar Es Salaam kuhusu mikakati ya mamlaka hiyo katika kuboresha sekta ya elimu hapa nchini kupitia Mfuko wa Elimu. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi...
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Watoto wawili wateketea kwa moto
WATOTO wawili wa familia moja mjini Tabora, wamefariki dunia baada ya kuteketezwa kwa moto ndani ya nyumba walimokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea jana saa 1 asubuhi katika Mtaa wa Ulaya,...
10 years ago
Habarileo21 Jan
Ajali za moto zawakumba watoto 308
WATOTO 308 wamefikishwa katika Hospitali ya mkoa wa Mwanza, Sekou Toure wakiwa wameungua moto. Idadi hiyo ni katika kipindi cha mwaka mmoja.