AFANDE AACHA LINDO KUSAKA BODABODA
Afande akiwa amemdhibiti dereva wa bodaboda. Wasamaria wema wakijaribu kumbembeleza afande. Aafande akiwa…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBODABODA AMSHIKA AFANDE KALIO,AKIONA!!
Dustan Shekidele, Moro Kibano! Mwendesha pikipiki almaarufu bodaboda aliyetajwa kwa jina la Juma Abdallah amekula kibano baada ya kudaiwa kumdhalilisha afande wa kike wa Jeshi la Zima Moto mkoani hapa, Winnifrida Kachota kwa kumshika kalio hivyo kuibua timbwili zito. Wananchi na bodaboda wenzake waliokuwa wakimtetea mwenzao. Tukio hilo lililoibua vita kubwa lilijiri nje ya ofisi ya Zima Moto mkoani hapa mwishoni mwa wiki...
10 years ago
MichuziJAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA
Mlinda mlango Maganga Benjamin wa timu ya Bodaboda Wilaya ya Ilala, akiudaka mpira katikati ya wachezaji wa timu ya Jambo Leo 'Wagumu Stars' Zahoro Mlanzi (kushoto) na Ali Salum wakati wa Tamasha la Bodaboda lililofanyika kwenye Uwanja wa Ukonga Gerezani, Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa. Jambo Leo ilishinda mabao 2-1. Moja ya kizazaa langoni mwa Bodaboda FC iliyosababishwa na washambuliaji wa Jambo Leo Mshambuliaji wa timu ya...
11 years ago
MichuziTIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA KWAAJILI YA KUANZA ZOEZI LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA
Timu nzima ya Tanzania Movie Talents kutoka kampuni ya Proin Promotions Limited wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza safari ya kuelekea Mwanza kwaajili ya shindano la kutafuta Vipaji vya Uigizaji Tanzania ambapo shindano hili litaanzia katika Kanda ya Ziwa katika Mkoa wa Mwanza Kuanzia tarehe 5 April 2014 mahali ni Isamilo Lodge.
Mdau Karimu Muhidin Michuzi na Baadhi ya vijana wa kazi katika timu ya kusaka vipaji wakiwa tayari kwa safari ya Mwanza.
Mabasi yakiwa tayari kwa...
9 years ago
GPLMAUREEN AACHA MKOROGO
Mshiriki wa Miss Tanzania 2005, Maureen Gislary. Mshiriki wa Miss Tanzania 2005, Maureen Gislary ambaye pia ni mcheza filamu, baada ya kujichubua na kubadili ngozi yake ameamua kuacha mkorogo kutokana na marafiki kumuonya kila kukicha. Rafiki wa karibu na Maureen alisema kuwa sasa ameamua kuacha mkorogo kwani hakuna aliyekuwa akimsapoti kutokana na kujichubua kwake.“Yaani marafiki tumesababisha mpaka Maureen ameacha mkorogo...
10 years ago
Habarileo09 Jul
Mwandosya aacha wosia
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Mark Mwandosya ameaga rasmi ubunge na kutoa wosia kwa mawaziri watakaoteuliwa katika Serikali ijayo, kuwa wasikivu kwa wabunge, ili taifa lifikie maendeleo.
10 years ago
GPLJACQUELINE NTUYABALIWE AACHA HISTORIA
Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya IPP, Dk. Reginald Abraham Mengi akiongea maneno ya kuapa na kumvisha pete ya ndoa Miss Tanzania mwaka 2000, Jacqueline Ntuyabaliwe 'K-Lyn' wakati wakifunga ndoa. Mengi akimkumbatia K-Lynn kama ishara ya upendo.…
10 years ago
GPLBIBI AFARIKI, AACHA GUMZO
Bibi Bhoke Rigamba Igenga enzi za uhai wake.
Stori: Igenga Mtatiro, Butiama
Unaweza kusema Bibi Bhoke Rigamba Igenga wa Kijiji cha (pichani), Mmazami, Kata ya Bukabwa, Tarafa ya Makongoro, wilayani Tarime amezikwa na ndugu waliotokana na tumbo lake 175 licha ya waombolezaji wengine.Mazishi hayo yamezua gumzo baada ya kushindikana ndugu zake wote hao kuweka mashada ya maua kaburini kwani kulikuwa na watoto wake 15, wajukuu 48,...
10 years ago
GPLSHILOLE AACHA AIBU ULAYA!
Erick Evarist
STAA wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameacha aibu ya aina yake barani Ulaya baada ya gauni lake kuvuka na kuacha ‘nido’ zake hadharani, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili. Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiimba kwa hisia. Tukio hilo lililozua gumzo katika mitandao mbalimbali ya kijamii, lilijiri usiku wa kuamkia Jumatatu iliyopita katika Jiji la...
10 years ago
GPLSEREMALA AJINYONGA, AACHA MASWALI
Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
KATIKA hali ya kushangaza, mtu mmoja ambaye ni fundi seremala aitwaye Emmanuel Carlos, mkazi wa Kwabinyau Magomeni jijini Dar amekutwa akiwa amejinyonga saa mbili asubuhi Septemba 23, mwaka huu katika kile kinachodaiwa kuchoshwa na mgogoro wa kifamilia. Emmanuel Carlos enzi za uhai wake. Habari kutoka eneo la tukio zinasema kwamba, kwa muda mrefu, marehemu alikuwa na mgogoro...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania