Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bosi wa Mwombeki amvaa Logarusic

Betram Mwombeki. Na Mwandishi Wetu
KITENDO cha Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic kumwingiza na kumtoa mshambuliaji wake Betram Mwombeki ndani ya dakika chache, kimewakera watu wengi na Mwenyekiti wa Chama cha Wachezaji wa Soka Tanzania (Sputanza), Mussa Kisoki amefunguka na kusema haikuwa sahihi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Mwombeki aeleza alivyofuatwa na Yanga

Mshambuliaji wa Simba, Betram Mwombeki.
Na Lucy Mgina
MSHAMBULIAJI wa Simba, Betram Mwombeki, amesema ilibaki kidogo atue Yanga, lakini viongozi wa Simba walishitukia ishu hiyo na kuamua kumsainisha haraka.
Mwombeki alijiunga na Simba msimu huu akitokea Pamba ya Mwanza kwa mkataba wa miaka miwili. Akizungumza na Championi Jumatano, Mwombeki alisema wakati akifanya mazoezi na klabu ya Simba ambayo ilikuwa ikimfanyia...

 

10 years ago

Vijimambo

Happy Birthday Bryan Mwombeki April 15

Today is the day to celebrate our family's star.Bryan! You are not only my son from my womb you are my great motivator and the bright star of my future. You make me proud everyday. You are the Gentlemen as a child , a precious child from God that I can never love any less. I love you so much and God bless you with many more years full of life and prosperity. Thank you for being such a wonderful son.Have an amazing birthday,

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mongela amvaa JK

WAKATI tuzo ya kuuenzi Muungano iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa Jaji Joseph Warioba ikiibua maswali, Rais mstaafu wa Bunge la Afrika, Gertrude Mongela, amekosoa upendeleo uliofanywa na Rais Jakaya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenje amvaa Meya

MBUNGE wa Nyamagana jijini Mwanza, Ezekiel Wenje (CHADEMA), amemshambulia Meya wa jiji hilo, Stanslaus Mabula (CCM), akimuita ni mzigo aliyesababisha jiji kuwa na ukata mkubwa wa fedha za maendeleo. Alisema...

 

9 years ago

GPL

SHOMBESHOMBE AMVAA DIAMOND

Richard Bukos
Mambo ya uchaguzi! Ama kweli nyota ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au ‘Baba Tiffah’ inazidi kung’aa ambapo Ijumaa iliyopita mrembo mwenye asili ya Kiarabu ‘shombeshombe’ aliwazidi kete mabaunsa wa msanii huyo na kumvaa mzimamzima. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au ‘Baba Tiffah’ akivamiwa na mrembo huyo. Tukio hilo lililoshuhudiwa na Ijumaa...

 

11 years ago

GPL

Loga amvaa Maximo

Kocha Mkuu wa Simba, Mcroatia, Zdravko Logarusic.
Na Martha Mboma
KOCHA Mkuu wa Simba, Mcroatia, Zdravko Logarusic, amesema hamfahamu kocha mpya wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, lakini watapambana uwanjani. Loga, raia wa Croatia, amesema anajua kuwa kocha huyo anatoka Brazil, hivyo hawezi kuwa lelemama, lakini ni vyema wakakutana uwanjani kila mmoja aonyeshe shughuli yake. Kocha huyo msimu uliopita alikuwa akifahamiana na...

 

9 years ago

Mwananchi

Mahanga amvaa Magufuli

Wakati watu mbalimbali wakimminia sifa Rais John Magufuli kwa kubana matumizi, aliyekuwa Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga amesema uwingi wa makatibu wakuu unakinzana na dhana ya yake ya kupunguza ukubwa wa Baraza la Mawaziri.

 

10 years ago

Vijimambo

Kinana amvaa Sefue.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amemuomba Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, kuwasimamisha kazi watumishi wa serikali wanaihusishwa na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu Tanzania (Bot) hadi hapo tuhuma dhidi yao zitakamalizika.

Kinana alitoa ombi hilo katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Dodoma juzi jioni ikiwa ni sehemu...

 

11 years ago

Mwananchi

Bulaya amvaa Wassira

Siku moja baada ya Steven Wassira kutangaza nia ya kutetea ubunge wa Jimbo la Bunda mwakani, Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Bulaya amesema anashangaa kuona mwanasiasa huyo mkongwe anaweweseka kwa kutojua ni nafasi ipi anaitaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani