BREAKING NYUUZZZZ.......: MH. SUGU APATA AJALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gf-F8oxLZ-k/VLE-BeOizXI/AAAAAAAG8fY/RKyxVNp53PU/s72-c/IMG-20150110-WA0013.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi akifanya mawasiliano kwa ndugu na jamaa mara baada ya kupata ajali mbaya na kunusurika kifo,ajali hiyo imetokea eneo la Mlima Kitonga Mkoani Iringa mchana wa leo.kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa Mh. Mbilinyi alikuwa safarini akitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar akiwa na jamaa zake Wanne katika gari hilo lenye namba za usajili T 148 BQE. katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha.
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Sugu anusurika kifo, apata ajali mlima Kitonga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0p59gSkh23ytrEvz3KHAWIoXn6oENyMOMwrIpPuSMZmrpvo06LLW*F0vu7hRKR81Ep9HuIshuKCQ-BdTXdkRPFY/gabo.jpg)
GABO APATA AJALI
11 years ago
Tanzania Daima24 May
DC wa Karagwe apata ajali
MKUU wa Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Darry Rwegasira amepata ajali katika Kijiji cha Kalebezo, Kata ya Nyamirembe Wilayani Chato mkoani Geita juzi. Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovBE*WNWRBA2Ja1pWCZ-aJxSP1l93RbBoQDm6NADaEjFiENd80vSAN-QbSpu8Zcx43wxsPqSpVZEzjuq3t69t-iY/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA APATA AJALI
9 years ago
Vijimambo22 Oct
NAPE APATA AJALI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/NAPE-AJALI-11.jpg?width=650)
Nape ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama, Lindi alipata ajali hiyo baada ya tairi la mbele la gari aliyokuwa akiendesha aina ya Toyota Land Cruiser kupasuka na kupinduka mara kadhaa katika eneo la Nyangao mkoani Lindi.
Katika gari hilo, Nape alikuwa peke yake na ndiye alikuwa akiendesha gari hilo ambapo amepata majeraha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04aslISWLmN-XlCNjfduMKk8PSWh91yUiDG5p4YhucigtM54m4JRDHMh9yKHTq6L-TiXXKUj6h2IPJsmdLaPLeXmU/lungi.jpg?width=650)
LUNGI APATA AJALI MBAYA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH0FyRWJSednuOCqWZQ0SOeJjSBsugwLo2b*dqPRpyes1lUTu-jckuhFXxYwqaPSoLSbwCFhy83p685TSwaQPFAh/6wastaa.jpg)
WASTARA APATA AJALI TENA
10 years ago
Habarileo07 Jun
Makongoro Nyerere apata ajali
MSAFARA wa mmoja wa watangaza nia ya nafasi ya urais, Charles Makongoro Nyerere, aliyekuwepo katika Mkoa wa Kigoma umepata ajali ambapo watu watano wamejeruhiwa.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-QtSfZrhXtQQ/XrmTKZIvHNI/AAAAAAAAndQ/kxYXsAarZK8p_GLwMb-L1pIXSEGdVWpSgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ASKARI POLISI APATA AJALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QtSfZrhXtQQ/XrmTKZIvHNI/AAAAAAAAndQ/kxYXsAarZK8p_GLwMb-L1pIXSEGdVWpSgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mwLPb5fwKZw/XrmTKrskKmI/AAAAAAAAndU/bvuzFBOMC4MN3usJIdvKbJud-_xyfb47ACLcBGAsYHQ/s400/2%2B%25281%2529.jpg)