CAG aikalia kooni Serikali
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, ameamua kuiorodheshea Serikali mapendekezo yote ya mtangulizi wake, Ludovic Utouh, ambayo hayajatekelezwa na Serikali tangu 2008 na kusisitiza sasa yatekelezwe.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Dec
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Mgaya: Serikali inamdharau CAG
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Nicholous Mgaya, amesema serikali inamdharau Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh. Akizungumza na Tanzania Daima...
11 years ago
Habarileo24 Jan
CAG ashauri Serikali kukabili ukata
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, ameishauri Serikali na Bunge kuangalia upya vyanzo vya mapato na matumizi ya fedha za Serikali, kwa kuwa ni dhahiri hali ya fedha si nzuri kabisa. Alisema hayo jana mjini hapa wakati wa kufungua mkutano wa pili wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali.
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Ripoti ya CAG yazidi kuiumbua serikali
KILA mwaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), huainisha jinsi fedha za serikali zinavyofujwa. Lengo kuu la CAG ni kuizindua serikali kuhusu matumizi mabaya ya fedha na...
10 years ago
Michuzi02 Dec
Profesa Mussa Juma Assad ateuliwa kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)
![](https://2.bp.blogspot.com/-j0-E67quVHw/VHxu-JEV9MI/AAAAAAADJNQ/yDIj8THY26s/s1600/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eGv-ufN1spI/VHxvRVpbjKI/AAAAAAADJNY/GqyrSZCfmek/s1600/Kurugenzi-ya-mawasiliano-ya-Ikulu.jpg)
Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Bwana Assad ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014. Taarifa hiyo imeongeza kuwa Bwana Assad ataapishwa kesho, Jumanne, Desemba 2, saa nne asubuhi, Ikulu, Dar es Salaam.
Kabla ya...
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Rais apokea Ripoti ya CAG na kuagiza hatua kali zichukuliwe kwa wabadhirifu wa fedha za Serikali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameviagiza vyombo vya Serikali kubaini maofisa wote wa Serikali wanaohusishwa na matumizi mabaya ya fedha za Serikali, ikiwa ni pamoja na kutoa malipo bila nyaraka zozote, kutumia fedha nje ya Bajeti na kutoa malipo bila idhini ya ofisa masuhuli, ili wachukuliwe hatua kali za kisheria na hatua nyingine.
Aidha, Rais Kikwete ameagiza kuchukuliwa kwa hatua kali za kisheria kwa maofisa wote wa Serikali ambao wanahusika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OREVmQnf2ps/XowSb1zy-7I/AAAAAAALmVA/9s3IsP0CpZQxw2aOgPeq7cdYI-P_aveIQCLcBGAsYHQ/s72-c/0031c55d-bd55-442c-98c5-a43a5da9f361.jpg)
RIPOTI YA CAG SERIKALI ZA MITAA YABAINI SH MILIONI 167.44 ZILILIPA WATUMISHI AMBAO UTUMISHI WAO ULISHAKOMA
Charles James, Michuzi TV
KATIKA mwaka wa fedha 2018/19 mamlaka 126 za Serikali za Mitaa zilipanga kukusanya mapato jumla ya Sh Bilioni 463.95 kutokana na vyanzo vya ndani, mamlaka hizo zilifanikiwa kukusanya Sh bilioni 342 hivyo kuwa na upungufu wa Sh bilioni 121 sawa na asilimia 26 ya bajeti yote.
Kwenye mwaka huo wa fedha ulioisha Junior 2019, mamlaka 182 za serikali za mitaa zilipokea jumla ya ruzuku ya maendeleo sh bilioni 913.6 hata hivyo fedha zilizotumika ni sh bilioni 655 na kubaki na...
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Rais Kikwete amteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad (pichani) kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Bwana Assad ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa Bwana Assad ataapishwa kesho, Jumanne, Desemba 2, saa nne asubuhi, Ikulu, Dar es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_KXlwyJA_Bo/XowUIFoa_mI/AAAAAAALmVM/haPHOMGEJu4Ze__XVxd5tQaZ0SsvX1thQCLcBGAsYHQ/s72-c/734344c8-1d07-43a1-afdd-684135d28df9.jpg)
CAG ABAINI KUWEPO KWA ONGEZEKO LA DENI LA SERIKALI KWA BOHARI KUU YA DAWA
Charles James, Michuzi TV
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Nchini (CAG) kwa mwaka ulioisha Juni 2019 imebaini kuwepo kuongezeka kwa deni la serikali kwa bohari kuu ya dawa (MSD) kwa kiasi cha Sh bilioni 16.18 kutoka Sh bilioni 37.48 za mwaka uliopita.
Ukaguzi huo wa CAG una mashaka kuwa ukwasi wa MSD unazidi kushuka hivyo kuathiri utekelezaji wa mipango mbalimbali ikiwemo usambazaji wa dawa na vifaa tiba kwa jamii pamoja na utekelezaji wa mipango yake...