Casillas, Del Bosque wabeba mzigo
 Kipa na nahodha wa Hispania, Iker Casillas alipotea kabisa, Gerard Pique alizidiwa mbio na Sergio Ramos alifanya uzembe wa hali ya juu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Ivo amfunika Casillas Simba
![Kipa wa Simba, Ivo Mapunda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/IVO-MAPUNDA.jpg)
Kipa wa Simba, Ivo Mapunda
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MAKIPA wa timu ya Simba, Ivo Mapunda na Hussein Shariff ‘Casillas’, juzi wameoneshana umwamba wa kupangua mashuti yaliyokuwa yakipigwa na wachezaji wengine wa timu hiyo, huku Ivo akimfunika Casillas.
Makipa hao wanaoneshana umwamba ili kila mmoja kuipata nafasi ya kuwa kipa namba moja kwenye kikosi cha kocha, Zdravko Logarusic ‘Loga’raia wa Croatia aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja Jumanne iliyopita.
Ivo alimfunika kipa huyo baada ya...
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Amissi Tambwe amhenyesha Casillas
10 years ago
Mtanzania02 Jun
Casillas atema nyongo Simba
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KIPA wa timu ya Simba, Hussein Shariff ‘Casillas’, amesema hayupo tayari kutolewa kwa mkopo kwenda timu nyingine, huku akidai bora aache kabisa kuitumikia timu hiyo na kuwa mchezaji huru.
Cassilas amekuwa majeruhi kwa muda mrefu baada ya kuumia goti walipokuwa kambini nchini Afrika Kusini mwaka jana, hali iliyopelekea kukaa muda mrefu bila kucheza, ambapo inadaiwa uongozi wake unataka kumtoa kwa mkopo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Cassilas alisema yupo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TElC6TBCtTeSLEPu59spxtzx-slhU5i6T9YDFSpjOTRRpdA9-riZ1QlJ2sa7U5DSI9SVNuYFmRidKkQ0xHPNkBl/simba.jpg?width=650)
Milioni 49 zamshusha Casillas Simba SC
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Casillas: Kizazi cha dhahabu kwisha
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Casillas kuwania tuzo ya kipa bora zaidi
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Makipa wanaolipwa zaidi: Casillas afunika ulaya
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Real Madrid ni mabingwa wa Copa del Rey
9 years ago
Mtanzania05 Dec
Madrid kunusurika kifungo Copa del Rey
MADRID, HISPANIA
RAIS wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez, amesema timu yake ipo salama na itaendelea kushiriki michuano ya Copa del Rey, japokuwa ilimtumia mchezaji ambaye alitakiwa kutumikia kadi za njano ambazo alipewa mwishoni mwa msimu uliopita.
Katika mchezo wa katikati ya wiki hii, Madrid walimtumia mchezaji wao, Denis Cheryshev, ambaye alikuwa na kadi tatu za njano katika mchezo wa mwisho msimu uliopita, hivyo alitakiwa asicheze katika mchezo wa Jumatano wiki hii, lakini Madrid...