Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Casillas, Del Bosque wabeba mzigo

 Kipa na nahodha wa Hispania, Iker Casillas alipotea kabisa, Gerard Pique alizidiwa mbio na Sergio Ramos alifanya uzembe wa hali ya juu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

Ivo amfunika Casillas Simba

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MAKIPA wa timu ya Simba, Ivo Mapunda na Hussein Shariff ‘Casillas’, juzi wameoneshana umwamba wa kupangua mashuti yaliyokuwa yakipigwa na wachezaji wengine wa timu hiyo, huku Ivo akimfunika Casillas.

Makipa hao wanaoneshana umwamba ili kila mmoja kuipata nafasi ya kuwa kipa namba moja kwenye kikosi cha kocha, Zdravko Logarusic ‘Loga’raia wa Croatia aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja Jumanne iliyopita.

Ivo alimfunika kipa huyo baada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Amissi Tambwe amhenyesha Casillas

Kama kuna mchezaji Tanzania amekuwa akiumiza kichwa kutafuta tiba ya kumfunga kipa mpya wa Simba, Hussein Sharif ‘Casillas’, asiumize kichwa tena. Amissi Tambwe ana jibu.

 

10 years ago

Mtanzania

Casillas atema nyongo Simba

NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

KIPA wa timu ya Simba, Hussein Shariff ‘Casillas’, amesema hayupo tayari kutolewa kwa mkopo kwenda timu nyingine, huku akidai bora aache kabisa kuitumikia timu  hiyo na kuwa mchezaji huru.

Cassilas amekuwa majeruhi kwa muda mrefu baada ya kuumia goti walipokuwa kambini nchini Afrika Kusini mwaka jana, hali iliyopelekea kukaa muda mrefu bila kucheza, ambapo inadaiwa uongozi wake unataka kumtoa kwa mkopo.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Cassilas alisema yupo...

 

11 years ago

GPL

Milioni 49 zamshusha Casillas Simba SC

Hussein Shariff 'Casillas' akisaini mkataba Simba SC Na Alpha Amos
SIMBA imefanikiwa kumsajili kipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff, kwa kitita cha shilingi milioni 30.
Shariff maarufu kwa jina la Casillas amesaini mkataba wa miaka miwili na timu hiyo, ambapo Mtibwa imepata Sh milioni 20 huku yeye akipewa milioni 20 na mshahara wa 800,000 kwa mwezi, hivyo jumla Simba itatoa milioni 49.2 ndani ya miaka hiyo miwili ya kuwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Casillas: Kizazi cha dhahabu kwisha

Iker Casillas amekiri kwamba kizazi cha dhahabu cha Hispania kimekwisha baada ya kuwa timu ya kwanza ya mabingwa watetezi kuondolewa kutokana na michezo miwili  pekee ya hatua ya makundi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Casillas kuwania tuzo ya kipa bora zaidi

Kipa wa Real Madrid na Uhispania Iker Casillas ameorodheshwa kuwania tuzo ya FIFA ya kipa bora zaidi duniani licha ya mchezo wake duni

 

10 years ago

Mwananchi

Makipa wanaolipwa zaidi: Casillas afunika ulaya

Soka ni mchezo unaopendwa sana ulimwenguni na wachezaji wengi wa mchezo huo kwenye ligi mbalimbali za Ulaya wamekuwa wakivuna fedha nyingi kutoka na mchezo huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Real Madrid ni mabingwa wa Copa del Rey

Bao la dakika za mwisho la Gareth Balelaisaidia Real Madrid kuilaza Barcelona 2-1 na Kunyanyua Kombe la Mfalme

 

9 years ago

Mtanzania

Madrid kunusurika kifungo Copa del Rey

25586MADRID, HISPANIA

RAIS wa klabu ya Real Madrid, Florentino Perez, amesema timu yake ipo salama na itaendelea kushiriki michuano ya Copa del Rey, japokuwa ilimtumia mchezaji ambaye alitakiwa kutumikia kadi za njano ambazo alipewa mwishoni mwa msimu uliopita.

Katika mchezo wa katikati ya wiki hii, Madrid walimtumia mchezaji wao, Denis Cheryshev, ambaye alikuwa na kadi tatu za njano katika mchezo wa mwisho msimu uliopita, hivyo alitakiwa asicheze katika mchezo wa Jumatano wiki hii, lakini Madrid...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani