CCM Dodoma yaanza mchakato kumpata Meya
KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeanzisha mchakato wa kumpata meya, naibu meya na katibu wa manispaa ya Dodoma. Kwa mujibu wa Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM, Dodoma mjini, Salum Kali, uchukuaji wa fomu ili kuwania nafasi hizo umeanza juzi na utadumu hadi kesho saa kumi jioni.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
10 years ago
GPLKINGUNGE: MCHAKATO WA KUMPATA MGOMBEA URAIS CCM ULIKUWA BATILI
10 years ago
GPLCCM YAANZA MCHAKATO WA KUMTAFUTA MGOMBEA JIMBO LA HANDENI
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
CCM yaanza mchakato wa kusaka wenye sifa za kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Muonekano wa jengo la Ofisi ndogo ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wana-CCM wote wenye sifa husika.
Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...
11 years ago
Michuzi21 Mar
mchakato wa kumpata “Redds Miss Tanzania 2014 wazinduliwa rasmi

11 years ago
Mwananchi15 Oct
CCM yaanza vikao vizito Dodoma
9 years ago
Michuzi11 Dec
MADIWANI KUTOKA KATIKA MAJIMBO YA ILALA,UKONGA NA SEGEREA WAAPISHWA, UCHAGUZI WA KUMPATA MEYA NA NAIBU WAAHIRISHWA
Uchaguzi huo ulitakiwa kufanyika jana saa nne lakini kutokana na kuibuka kwa dosari hizo ambazo zilisababisha uchaguzi huo kuahirishwa.Baada ya kuahirishwa kwa uchaguzi huo, Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala ambaye alikuwa mwenyekiti wa uchaguzi John Ngonyani alisema wameamua...
10 years ago
Michuzi
MAMBO YAANZA KUWA MSWANO UKUMBI MPYA WA CCM MJINI DODOMA





9 years ago
Dewji Blog18 Dec
CCM yanyakua viti vya Mstahiki Meya na naibu Meya Halmashauri ya Manisspaa ya Singida
Diwani wa kata ya Mughanga (CCM) manispaa ya Singida, Velerian Kimambo, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa,Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa, (16/12/2015), wamekula viapo rasmi tayari kuanza kuwatumikia wananchi.
Diwani wa kata ya Mitunduruni (CHADEMA) manispaa ya Singida, Velerian Pantaleo Mastiko Sorongai, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa, Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa wamekula viapo rasmi tayari...