Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘CCM imara bila Lowassa’

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema aliyekuwa kada wake, Edward Lowassa aliingia katika chama hicho kwa ridhaa yake bila kushurutishwa hivyo ana haki ya kuhamia chama kingine, huku kikisisitiza kuwa kitashinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu na kuendelea kuongoza Dola.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mgeja atamba CCM ipo imara hakuna wa kuiyumbisha

>Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja amesema chama hicho kiko imara na kitaendelea hakuna mtu yeyote ndani na nje wa kukiyumbisha.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMA KUHAKIKISHA CHAMA KINABAKI IMARA


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wana CCM wa Tawi la Kijito Upele jimbo la Fuoni.
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wana CCM wa tawi la Tungujani.
 
 Wana CCM wa Jimbo la Kiembesamaki wakionyesha ujumbe wa kuunga mkono Katiba iliyopendekezwa.

 Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM (Zanzibar) Shaka Hamdu Shaka akihutubia wakazi wa Jimbo la Dimani kwenye uwanja wa Magereza Tomondo.

 Balozi Ali Karume akihutubia wakazi wa jimbo la Dimani ambapo aliwaambia Katiba...

 

10 years ago

Vijimambo

ZIARA YA KINANA YADHIHIRISHA CCM BADO IPO IMARA MIKOA YA KUSINI


ZIARA YA KINANA MIKOA YA LINDI NA MTWARA YAINGIZA  WANACHAMA ZAIDI YA 40,000 CCM MKUTANO WA HADHARA MTWARA MJINIWakazi wa Mtwara mjini wakishangilia wakati wa mkutano wa hadhara wa CCM ukiongozwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Mtwara mjini kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Mashujaa ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa kazi ya CCM ni kuisimamia Serikali kutimiza wajibu wake kwa...

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM, Mgana Msindai baada ya kujiunga na Chadema hivi karibuni. Kushoto ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Segerea, Makongoro Mahanga. Picha ya Maktaba
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...

 

10 years ago

Vijimambo

Taarifa Potofu za Lowassa Kwenda CHADEMA: Uongo ukiachwa ukasemwa sana bila kusahihishwa unaweza kugeuka kuwa ukweli.

Tungependa kusahihisha propaganda nyepesi zinazoendelea kuenezwa ili kuusaidia umma usiendelee kupotoshwa kwa mambo yasiyokuwa ya msingi huku kukiwa na mambo makubwa yanayohitaji 'attention' ya Watanzania kuamua mustakabali sahihi wa nchi yao kwa kuchagua MABADILIKO kupitia uchaguzi wa kihistoria hapo Oktoba 25.1. Zipo taarifa zinaendelea kuenezwa kuhusu makada wa CCM wakiongozwa na Edward Lowassa kuwa wana mpango wa kuhamia CHADEMA. Hadi sasa tunaziona habari hizo kupitia mitandaoni na...

 

10 years ago

GPL

CCM MNAKIPASUA CHAMA BILA GANZI

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba. Wiki iliyopita nilisoma habari iliyomhusu Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ambaye alimtolea uvivu mshauri wa zamani wa Siasa wa Rais Jakaya Kikwete, Kingunge Ngombale Mwiru kwa kuupinga mchakato wa uteuzi wa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema bila kupindapinda kuwa anakivuruga chama....soma...

 

10 years ago

Habarileo

Shein apita bila jasho CCM

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ambaye pia ni Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein (kulia) akipongezwa na Makamu wa Rais wa Dk Mohammed Gharib Bilal baada ya kupitishwa na Kamati Maalum ya CCM Zanzibar kugombea tena urais kwa kipindi cha pili. (Picha na Ikulu).KIKAO cha Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM -Zanzibar kwa kauli moja imependekeza kwa Kamati Kuu jina la Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kuteuliwa kuwania tena kiti cha Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwaulize CCM, bila serikali mbili, watakufa?

Aprili 26 mwaka huu, Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar unatimiza miaka 50. Maadhimisho hayo yanakwenda sanjari na mchakato wa Katiba mpya unaochukuliwa kama suluhisho la malalamiko ya muda mrefu kati ya pande mbili za Muungano.

 

9 years ago

Habarileo

CCM Songea yataka kazi bila mazoea

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Songea mkoani Ruvuma, kimewataka watumishi wa Serikali kufanya kazi kikamilifu ili kuharakisha maendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani