Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM waanza kuviziana bungeni

>Mpasuko miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaotokana na Chama Cha Mapinduzi (CCM), umechukua sura mpya, baada ya kuelezwa kuwa wabunge 90 wameorodheshwa kwa lengo la kuhojiwa kwa tuhuma za kukisaliti chama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

CCM Nyamagana waanza kufanyiana ushushushu

Na John Maduhu, Mwanza
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Nyamagana, kimeunda kamati za siri ili kufuatilia mienendo ya wagombea waliotangaza nia ya kuwania Jimbo la Nyamagana.

Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi jana, Katibu wa CCM Wilaya ya Nyamagana, Elias Mpanda, alisema lengo la kuunda kamati za siri ni kudhibiti wagombea wanaotoa rushwa kwa wanachama wa CCM ili kuwashawishi kuwaunga mkono.

Alisema kamati hizo za siri pia zitakuwa na jukumu la kufuatilia kama watangaza nia hao wamekuwa...

 

10 years ago

Habarileo

CCM waanza kupokea barua za pingamizi

WAGOMBEA waliolalamikia matokeao ya kura za maoni CCM, wameanza kuwasilisha barua za pingamizi katika ofisi za chama. Hatua hiyo inakuja baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kura za maoni, zilizofanyika kuwatafuta wagombea watakaokiwakilisha chama katika uchaguzi mkuu kwa ngazi ya udiwani na ubunge.

 

9 years ago

Habarileo

CCM Iringa waanza kumnadi Mwakalebela

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Iringa kimezindua kampeni za ubunge Jimbo la Iringa Mjini kwa kumnadi mgombea wake, Frederick Mwakalebela katika mkutano mkubwa uliofurika wananchi kwenye Uwanja wa Mwembetogwa mjini hapa.

 

10 years ago

Mtanzania

CCM waanza kupitia mafaili ya wagombea urais

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula.

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula.

NA MWANDISHI WETU, DODOMA

KAMATI Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wake Philip Mangula, imeanza vikao vyake mjini Dodoma kupitia taarifa za utekelezaji wa adhabu kwa makada sita wa chama hicho wanaodaiwa kuanza kampeni kuwania urais mwaka 2015 kabla ya wakati.

Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya CCM kiliiambia MTANZANIA kuwa kikao hicho kilianza jana...

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CCM WAANZA MJINI DODOMA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, unaoendelea hivi sasa kwenye Ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM, Mjini Dodoma. 
PICHA ZAIDI ZITAWAJIA MUDA SI MTEFU, ENDELEA KUFATILIA GLOBU YA JAMII KWA UPDATES KUTOKA DODOMA.

 

10 years ago

Mwananchi

Makada CCM waanza kukitolea macho ‘kiti’ cha Ndesamburo

>Makada wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ‘wamegongana’ kutangaza nia ya kumrithi Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema).

 

10 years ago

Michuzi

CCM ZANZIBAR WAANZA MCHAKATO WA KUTOA FOMU KWA WAGOMBEA WA UBUNGE

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikabidhiwa Fomu na Katibu wa CCM Wilaya ya Kaskazini “B “ Bibi Subira Mohammed kuomba ridhaa kwa CCM kugombea Uwakilishi Jimbo Jipya la Mahonda. Katibu wa Chama cha Mapinduzi {CCM} Wilaya ya Kaskazini “B “ Bibi Subira Mohammed akimpatia maelezo Balozi Seif mara baada ya kumkabidhi Fomu kwa ajili ya kuomba ridhaa ya kugombea Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Jimbo la Mahonda hapo Ofisi ya CCM Wilaya hiyo Mahonda. Balozi Seif...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM ilivyowaunganisha wapinzani bungeni

Kadri muda unavyozidi kwenda, ndivyo mambo yanavyozidi kuwa magumu na kuwaweka njiapanda Watanzania juu ya uwezekano wa kupata Katiba Mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani