Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CDL DRIVER ANATAKIWA DMV

WE ARE LAKEZONE EXPRESS LLCWE ARE LOOKING FOR A CDL CLASS A WITH 2 YRS OR MORE EXPERIENCE, CLEAN DRIVING RECORD, NO TICKETSWE ARE LOOKING FOR DRIVERS FOR OVER THE ROAD WHO CAN DRIVER 2500 TO 3000 MILES PER WEEK,DRIVER GET PAID PERCENTAGE ON TRUCK REVENUEWE USUALLY LEAVE BALTIMORE TO PA,MA,CT,MD,OH,IN,MIWE ARE FLEXIBLE WITH OUR DRIVERS ON HOW LONG THEY CAN STAY OUTPAY RANGE 800-1400 WEEKLYCALL OR TEXT 240 515 2078 JOHN SITTACALL OR TEXT 646-961-8010 DANIEL

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

9 years ago

Vijimambo

11 years ago

Michuzi

DMV YAFANYA MISA YA KUMBUKUMBU NA KUOMBOLEZA KIFO CAROLINE MWAISELAGE DMV

Misa ya kumbukumbu iliyofanyika siku ya Jumamosi March 22, 2014 College Parka Maryland kwa ajili ya maerehemu Caroline Mwaiselage aliyekuwa mfanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani aliyekutwa na mauati alipokua amekwenda Tanzania march 7, 2014 mwaka huu. Kushoto ni mume wa marehemu Chris Muhoka na kulia Martin Koroso aliyekuja toka Michigan  Watoto wa marehemu.  Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015

Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania wa DMV unapenda kuwajulisha watanzania wote kukaa mkao wa kula , kwa ajili ya sherehe za muungano zitakazofanyika, Jumamosi April 25, 205.
Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.
Wadhamini WanakaribishwaWasiliana na uongozi kupitia
President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...

 

9 years ago

Dewji Blog

9 years ago

Mwananchi

YALIYOJIRI 2015: Kivumbi CCM kati ya 42 anatakiwa mmoja

Julai 1 Ni hatua ambayo itasababisha kivumbi na jasho kati ya wagombea 42 waliojitokeza kuwania urais kupitia CCM, anatakiwa kubaki mmoja tu na mchakato wa kuchukua na kurejesha fomu unafungwa kesho.

 

10 years ago

Mwananchi

Kila baba anatakiwa atoe somo kwa binti yake

Baba yangu alinipa zawadi ambayo mtu yeyote angeweza kuitoa kwa mtoto wake.

 

10 years ago

Africanjam.Com

KILA MWANANCHI TANZANIA ANATAKIWA KUCHANGIA SH.100/=. UNAJUA SABABU?

Kwenye headlines toka Dodoma labda hii ilikupita, Wabunge wamesikika mara nyingi wakilalamika kwamba Serikali itafanya maisha yawe magumu baada ya kutangazwa kwamba bei ya mafuta itabidi ipande ili kuchangia miradi ya usambazaji wa umeme TZ.

Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani