Cha juu kisa cha wachezaji vimeo Bongo
Miaka zaidi ya 20 iliyopita mashabiki wa soka wamekuwa wakishuhudia ujio wa nyota mbalimbali wa kigeni wanaomiminika nchini kwa ajili ya kuja kucheza soka la kulipwa katika klabu kadhaa za soka Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies02 Jan
‘Ninja’ Kisa cha Mapenzi Toka China Hadi Bongo, Kuingia Sokoni
Ninja Revenge of Love ni kisa kinachomkuta Mr potlee ambaye mara baada ya kutoka China anaonekana na mwanamke wa kichina wakati Tanzania ana mwanamke ambaye ni askari wa jeshi la polisi Tanzania ,je nini kitatokea?
Filamu ya Ninja Revenge of Love chini ya usambazaji wa Steps Entertainment itaingia sokoni kesho kutwa tarehe 04.01.2016.
Jipatie nakala yako.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PxnUTz3XA5c/XkhODCo4duI/AAAAAAALdio/sCEPUP-XKsswuUUztZNXq7XjwF9Mv6vzACLcBGAsYHQ/s72-c/52344012_303.jpg)
Kisa cha kwanza cha Corona Afrika chathibitishwa Misri
![](https://1.bp.blogspot.com/-PxnUTz3XA5c/XkhODCo4duI/AAAAAAALdio/sCEPUP-XKsswuUUztZNXq7XjwF9Mv6vzACLcBGAsYHQ/s640/52344012_303.jpg)
Taarifa iliyotolewa na wizara hiyo imesema mgonjwa aliyebainika siyo raia wa Misri lakini pia haikufafanua uraia wa mtu huyo.
Maafisa wa Misri walifanikiwa kuthibitisha kisa hicho kupitia mpango ulioanzishwa na serikali wa kuwafuatilia abiria waliowasili kutoka nchini ambazo virusi vya Corona tayari vimesambaa.
Msemaji wa wizara ya afya ya...
5 years ago
Bongo514 Feb
Hiki ndio kikosi cha PFA cha wachezaji 11 bora Uingereza msimu huu
Chama cha wachezaji soka wakulipwa Uingereza (PFA) kimetaja kikosi chake bora cha ligi hiyo kwa msimu huu unaoelekea ukingoni.
Timu ya Chelsea na Tottenham Hotspurs ndizo zimeongoza kutoa wachezaji wengi katika kikosi hicho ambapo kila timu imetoa wachezaji wanne. Wachezaji wa Chelsea walioingia katika kikosi hicho ni pamoja na Gary Cahil, David Luiz, N’golo Kante na Eden Hazard.
Nao waliochaguliwa kutoka Spurs ni Kyle Walker, Danny Rose, Dele Alli na Harry Kane. Wachezaji wengine...
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Coronavirus: Congo DRC yathibitisha kisa cha kwanza cha virusi vya Corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-elbtEyTHsgI/XmzmjxsEhbI/AAAAAAALjqQ/Jfn3seMIwVUbIXimJMg66xeJCtTeVg1hACLcBGAsYHQ/s72-c/_111260676_946d6c86-02bf-4a63-b610-bfddfa94f8b4.jpg)
Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Raia huyo hakuwa na dalili zozote za virusi vya Corona wakati anawasili nchini Rwanda na alijipeleka mwenyewe kwenye kituo cha afya Machi 13, ambapo alifanyiwa vipimo mara moja.
Wizara ya afya imesema kwa sasa anaendelea na matibabu, hali yake imeimarika na ametengwa na wagonjwa...
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Coronavirus: Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
10 years ago
MichuziAWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI WA WACHEZAJI KWA AJILI YA KUJIUNGA NA KITUO CHA MICHEZO CHA NSSF-REAL MADRID SPORTS ACADEMY WAANZA RASMI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-EfMof1nH_7Y/VN8a8u-vCHI/AAAAAAABTSE/CxGu9WB8BsI/s1600/1.jpg)
10 years ago
MichuziKilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
10 years ago
MichuziKITENGO SHIRIKISHI CHA AFYA ZANZIBAR CHA ANDAA MJADALA JUU YA UZAZI WA MPANGO KATIKA UISLAM