Chadema, CUF washindwa kukubaliana
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), na Chama cha Wananchi (CUF) wilayani Kilombero, mkoa wa Morogoro, vimeshindwa kuachiana jimbo la Kilombero na hivyo kila kimoja kusimamisha mgombea ubunge.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-c0j5maEd_uQ/Xrv4fcNEiQI/AAAAAAAAyv0/YKf6w5HvG4cM5uXFqC7H6cyXlZSiTgCzQCLcBGAsYHQ/s72-c/59b64f24b6554.jpg)
BARAZA LA USALAMA LA UN LAJARIBU KUKUBALIANA KUHUSU AZIMIO LA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-c0j5maEd_uQ/Xrv4fcNEiQI/AAAAAAAAyv0/YKf6w5HvG4cM5uXFqC7H6cyXlZSiTgCzQCLcBGAsYHQ/s640/59b64f24b6554.jpg)
Marekani siku ya Ijumaa ilipinga pendekezo la azimio lililotayarishwa na Ufaransa na Tunisia baada ya wanadiplomasia kusema wamekubaliana na lugha iliyotumika na China ambayo haitaji moja kwa moja...
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Chadema, CUF wavutana Musoma
9 years ago
TheCitizen29 Oct
Ukawa gives Chadema, CUF more seats
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Lowassa awagawa CUF, Chadema
MPANGO wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumtangaza kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, kujiunga na chama hicho uliotarajiwa kutekelezwa jana, umekwama huku kukiwa na taarifa za mgawanyiko ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Wiki iliyopita, Raia Tanzania liliandika taarifa kwamba Chadema walipanga kumtangaza Lowassa Jumapili ya jana baada ya kumaliza mazungumzo naye, lakini hilo lilishindikana.
Taarifa kutoka ndani ya Chadema zinadai kuwa huenda...
11 years ago
Habarileo05 Mar
CCM, CUF, Chadema washambuliwa
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa amevishambulia vyama vya CCM, CUF na Chadema kuwa vinaharibu Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na kutaka misimamo yao ya vyama itawale vikao vya bunge hilo.
10 years ago
Habarileo17 Dec
CUF, Chadema vyadondoka Temeke
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam kimeongoza katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Jumapili iliyopita ambapo imepata wenyeviti 145 katika mitaa 209 iliyopiga kura.
10 years ago
Habarileo01 Aug
Wahama Chadema, CUF kumkimbia Lowassa
WANACHAMA 20 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Chama cha Wananchi(CUF) kutoka matawi ya Ubungo na Kilimani, wamerudisha kadi zao katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa kile walichodai kuwa kitendo cha viongozi hao kumpokea Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ni kuvunja katiba na kukidhalilisha chama.
9 years ago
TheCitizen11 Oct
Chadema, CUF told to support own aspirants