Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema, CUF washindwa kukubaliana

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), na Chama cha Wananchi (CUF) wilayani Kilombero, mkoa wa Morogoro, vimeshindwa kuachiana jimbo la Kilombero na hivyo kila kimoja kusimamisha mgombea ubunge.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

BARAZA LA USALAMA LA UN LAJARIBU KUKUBALIANA KUHUSU AZIMIO LA COVID-19

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linajaribu tena kufikia makubaliano katika azimio lake la kwanza tangu janga la virusi vya corona kuanza duniani zaidi ya miezi miwili iliyopita, lakini mzozo kati ya Marekani na China kuhusiana na kulitaja shirika la afya ulimwenguni WHO bado haujatatuliwa.

Marekani siku ya Ijumaa ilipinga pendekezo la azimio lililotayarishwa na Ufaransa na Tunisia baada ya wanadiplomasia kusema wamekubaliana na lugha iliyotumika na China ambayo haitaji moja kwa moja...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema, CUF wavutana Musoma

Vyama vya CUF na Chadema ambavyo ni miongoni mwa vinne vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kila kimoja kimeeleza kitasimamisha mgombea ubunge Musoma Mjini kinyume na makubaliano yao.

 

9 years ago

TheCitizen

Ukawa gives Chadema, CUF more seats

The opposition coalition has helped the two parties gain more seats than they did in the previous polls

 

10 years ago

Raia Tanzania

Lowassa awagawa CUF, Chadema

MPANGO wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumtangaza kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, kujiunga na chama hicho uliotarajiwa kutekelezwa jana, umekwama huku kukiwa na taarifa za mgawanyiko ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Wiki iliyopita, Raia Tanzania liliandika taarifa kwamba Chadema walipanga kumtangaza Lowassa Jumapili ya jana baada ya kumaliza mazungumzo naye, lakini hilo lilishindikana.

Taarifa kutoka ndani ya Chadema zinadai kuwa huenda...

 

11 years ago

Habarileo

CCM, CUF, Chadema washambuliwa

MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa amevishambulia vyama vya CCM, CUF na Chadema kuwa vinaharibu Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na kutaka misimamo yao ya vyama itawale vikao vya bunge hilo.

 

10 years ago

Habarileo

CUF, Chadema vyadondoka Temeke

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam kimeongoza katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Jumapili iliyopita ambapo imepata wenyeviti 145 katika mitaa 209 iliyopiga kura.

 

10 years ago

Habarileo

Wahama Chadema, CUF kumkimbia Lowassa

WANACHAMA 20 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Chama cha Wananchi(CUF) kutoka matawi ya Ubungo na Kilimani, wamerudisha kadi zao katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa kile walichodai kuwa kitendo cha viongozi hao kumpokea Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ni kuvunja katiba na kukidhalilisha chama.

 

9 years ago

TheCitizen

Chadema, CUF told to support own aspirants

Chadema national acting secretary general Salum Mwaimu, has told Chadema and CUF members to stop bickering and concentrate on floating its own aspirants.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani