Chadema watoa fomu mrithi wa Dk Mgimwa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeanza kutoa fomu za uchaguzi mdogo Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa huku kikijinadi kuibuka na ushindi kwenye uchaguzi huo utakaofanyika Machi 16.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Mgimwa achukua fomu za Ubunge kwa mbwembwe
10 years ago
Michuzi
MGIMWA AWAKUNA WAZEE NYAMIHUU WAMCHANGIA TSH 100,000 YA FOMU YA UBUNGE




Na matukiodaimaBlogWAZEE wa kijiji cha Nyamihuu kata ya Nzihi wamempongeza...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Chadema yampinga Mgimwa
11 years ago
Habarileo28 Feb
Mgimwa, Chifu wawaponda Chadema
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya uzinduzi rasmi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Kalenga huku Chifu wa Wahehe, Abdu Sapi Mkwawa akikisuta Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kutoa taarifa za uongo kwamba anamuunga mkono mgombea wao, Grace Tendega.
Katika uchaguzi huo, CCM imemsimamisha Godfrey Mgimwa, mtoto wa marehemu Dk William Mgimwa aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, baada ya kushinda kwa kishindo kura za maoni za chama hicho dhidi ya wagombea wengine...
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
CHADEMA: Mgimwa haijui Kalenga
MENEJA Kampeni wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Kalenga, Alphonce Mawazo, amewataka wananchi wa jimbo hilo kutopoteza kura zao kumchagua mgombea wa CCM,...
11 years ago
GPL
CHADEMA WAOMBOLEZA KIFO CHA DKT WILLIAM MGIMWA
11 years ago
Michuzi25 Feb
GODFREY MGIMWA AANZA KUPANGUA MAKOMBORA YA CHADEMA ADAI YEYE NI RAIA MZALENDO WA TANZANIA
MGOMBEA ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa amesema hana chembechembe yoyote ya uzungu na amekishangaa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kumtuhumu kwamba sio mtanzania..
"Kama kila mtanzania anayekwenda nje ya nchi kusoma anapoteza...
11 years ago
Michuzi12 Feb
news alert: CHADEMA KALENGA WAJUMBE WAMCHAGUA MWANASHERIA MWENDA KUMVAA MTOTO WA MGIMWA