Chanzo IPTL kupigwa vita hadharani
MMILIKI wa Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Harbinder Sethi inayomiliki Kampuni ya kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ametoboa siri, kwa kudai kuwa anapigwa vita na kampuni za nje ya nchi zinazofua umeme nchini, baada ya kushusha bei ya umeme kwa Shirika la Umeme (Tanesco).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Siri zaidi IPTL hadharani
10 years ago
CloudsFM28 Jan
PAMOJA NA KUPIGWA VIBAO HADHARANI,HUH ASEMA HAMUACHI SHILOLE NG'O!
Hivi karibuni kwenye tamasha lililofanyika kwenye viwanja wa Leaders,Kinondoni jijini Dar,msanii wa Bongo Fleva,Shilole alimzaba vibao mpenzi wake,Nuh Mziwanda hadharani hali iliyozua tafrani hadi baadhi ya wasanii kuingilia kati.
Habari zinasema pamoja na kuamuliwa asimpige mpenzi wake lakini bado Shilole alikuwa mkali baadaye msanii mwenzake,Steve Nyerere aliweza kumtuliza Shilole.
Kupitia mtandao wa Instagram msanii Nuh Mziwanda alidhihirisha kuwa hawezi kumuacha mpenzi wake huyo pamoja na...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Vita ya IPTL yahamia kwenye maslahi
MWENYEKITI Mtendaji wa Kampuni ya Pan Africa Power Solutions (PAP), iliyonunua mitambo ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder Singh Sethi, amesema shutuma zinazoelekezwa dhidi yake zinajengwa kwa misingi na tofauti...
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
UNICEF: Vita Syria chanzo cha watoto kutosoma, kucheza
TAKRIBAN watoto 10,000 wameuawa nchini Syria, kutokana na mzozo wa kivita unaoendelea kwa sasa. Mzozo huo unakamilisha miaka mitatu sasa tangu uibuke katika taifa hilo tajiri la mafuta. Halikadhalika, mpaka...
10 years ago
Bongo Movies19 May
Bomu Jipya: Hii ni Vita ya Utamaduni, Ni Vita ya Kutawaliwa Kiakili
AWALI kuna wale waliolalamikia kuhusu maadili hasa pale filamu za kitanzania zilipozuiliwa na watayarishaji wetu wakashindwa kujenga hoja kwa kuuliza kwanini sinema zao zikitamka tu neno la Shoga wanaambiwa watoe lakini za kutoka nje Mashoga wanaonekana, hapa kuna maswali mengi sana.
1. Kwanini balozi wa Korea kwa niaba ya nchi yake alikuwa anatoa tamthilia za kikorea zionyeshwe ITV bure?
2. Kwanini serikali ya China inaingia gharama za kutafsiri tamthilia zao kwa kiswahili na kuzitoa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-U6YfGmXUcTg/VZVKTbVvkfI/AAAAAAAAw8A/UhYrsWwreYU/s72-c/DSC_0241-FILEminimizer.jpg)
Makongoro: Lowassa sikumuona Vita ya Kagera, Labda alikuja baada ya vita kuburudisha wanajeshi
![](http://2.bp.blogspot.com/-U6YfGmXUcTg/VZVKTbVvkfI/AAAAAAAAw8A/UhYrsWwreYU/s640/DSC_0241-FILEminimizer.jpg)
CHARLES Makongoro Nyerere (CMN) ni miongoni mwa wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kutaka kuchaguliwa kuwania urais kupitia chama hicho mwaka huu. Raia Mwema lilifanya naye mahojiano wiki hii nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Endelea
-RAIA MWEMA: Kwanini wana CCM wanatakiwa wakuchague wewe uwe mgombea wao na si mwingine miongoni mwa wenzako 41 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo?MAKONGORO: Mimi si...
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJOu26l9X6TYGFawZr7IkIYk9PC1pWRkE*qV3p45qlPrSg6mLEkSaLgadOsgi-eAh03A*y4HfL6jSE1jl6A3xVnI/FRONTJUMAMOSI.jpg)
MAMBO HADHARANI
11 years ago
Habarileo15 Apr
Hati ya Muungano hadharani
HATIMAYE baada ya upotoshwaji mkubwa wa baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuwa Hati ya Muungano haipo, sasa Serikali imeweka hati hiyo hadharani. Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema kuwa Rais Jakaya Kikwete ameridhia hati hiyo ioneshwe na waandishi wa habari walikuwa wa kwanza kuiona hati halisi jana.