Vita ya IPTL yahamia kwenye maslahi
MWENYEKITI Mtendaji wa Kampuni ya Pan Africa Power Solutions (PAP), iliyonunua mitambo ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder Singh Sethi, amesema shutuma zinazoelekezwa dhidi yake zinajengwa kwa misingi na tofauti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Nov
Chanzo IPTL kupigwa vita hadharani
MMILIKI wa Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Harbinder Sethi inayomiliki Kampuni ya kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ametoboa siri, kwa kudai kuwa anapigwa vita na kampuni za nje ya nchi zinazofua umeme nchini, baada ya kushusha bei ya umeme kwa Shirika la Umeme (Tanesco).
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Soka ni vita kwenye uwanja mstatili
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-UB_mmfa1YG8/VVHbtw0zv8I/AAAAAAAABbU/wEx_3eq1i84/s72-c/2014_internal_audit_survey_report.jpg)
UMUHIMU WA USHIRIKIANO KWENYE VITA DHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UB_mmfa1YG8/VVHbtw0zv8I/AAAAAAAABbU/wEx_3eq1i84/s200/2014_internal_audit_survey_report.jpg)
Kume kua na hoja nyingi kutoka mataifa mbali mbali juu ya kusua sua katika ushirikiano unao vuka mipaka huku uhalifu mtandao kutotambua mipaka...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Future kuanzisha vita na Ciara? Amshambulia kwenye hizi tweets tano!
Imepita mwaka mmoja na nusu toka Ciara na Future wamkaribishe duniani mtoto wao wa kiume ‘babyfuture’ lakini pengine mwaka huu wa 2016 unaweza kuwa mwaka mgumu kwa staa wa muziki wa R&B, Ciara! Baada ya ukimya juu ya mvutano unaohusiana na mtoto wao, Future ameonekana kuchoshwa na mambo hayo na hivyo kumwambia Ciara ajiandee kwani […]
The post Future kuanzisha vita na Ciara? Amshambulia kwenye hizi tweets tano! appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
BBCSwahili25 May
Mamba alienusurika mabomu ya Vita ya Pili ya Dunia afariki kwenye hifadhi ya wanyama mjini Moscow
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7MQZxzXFXvY/VXiBVsuIBUI/AAAAAAAAUu4/4RlNIRglDr0/s72-c/Lowassa%2B3.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA SIMIYU
![](http://1.bp.blogspot.com/-7MQZxzXFXvY/VXiBVsuIBUI/AAAAAAAAUu4/4RlNIRglDr0/s640/Lowassa%2B3.jpg)
10 years ago
Vijimambo23 Jul
Mauzauza ya BVR yahamia Dar
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.mwananchi.co.tz%2Fimage%2Fview%2F-%2F2803574%2FhighRes%2F1069147%2F-%2Fmaxw%2F600%2F-%2F12choasz%2F-%2Fpic%2BBvr.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
By Waandishi Wetu, Mwananchi
Dar es Salaam. Kasoro za uandikishaji wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura zilizokuwa zikitokea katika mikoa mbalimbali nchini, zimejitokeza pia jijini Dar es Salaam ikiwa ni...
10 years ago
MichuziMBONI SHOW YA EATV YAHAMIA TBC
Mkurugenzi wa Mboni Show,Mboni Masimba ameamua kuhamishia kipindi cha Mboni show katika kituo cha utangazaji cha Taifa (TBC) kutoka EATV ili kuvutia watazamaji wengi na wapya kwa wazee pamoja na vijana.
Kipindi cha Mboni Show kitaanza kurushwa TBC kuanzia January 2 mwaka 2015 siku ya Ijumaa saa 3 Usiku-4Usiku na marudio Jumanne saa 9:00 mchana-10:00mchana.
Akizungumza na waandishi wa habari,mapema leo...
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Ligi Kuu Vodacom yahamia kiganjani
WAKATI Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) ikiwa imefikia patamu katika duru la pili, ikishuhudiwa nyasi za viwanja mbalimbali nchini zikiendelea kuumia huku kiu ya wapenzi wengi wa soka wakitaka kujua...