Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita ya IPTL yahamia kwenye maslahi

MWENYEKITI Mtendaji wa Kampuni ya Pan Africa Power Solutions (PAP), iliyonunua mitambo ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder Singh Sethi, amesema shutuma zinazoelekezwa dhidi yake zinajengwa kwa misingi na tofauti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Chanzo IPTL kupigwa vita hadharani

MMILIKI wa Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Harbinder Sethi inayomiliki Kampuni ya kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ametoboa siri, kwa kudai kuwa anapigwa vita na kampuni za nje ya nchi zinazofua umeme nchini, baada ya kushusha bei ya umeme kwa Shirika la Umeme (Tanesco).

 

10 years ago

Mwananchi

Soka ni vita kwenye uwanja mstatili

Mchezo wa soka ni maarufu sana duniani. Mchezo huu una mashabiki wengi sehemu mbalimbali wanaoufuatilia. Soka ni mchezo wa akili zaidi kuliko unavyoonekana unachezwa uwanjani, pia huwa ni vita uwanjani kuwania kumiliki mpira.

 

10 years ago

Ykileo

UMUHIMU WA USHIRIKIANO KWENYE VITA DHIDI YA UHALIFU MTANDAO

Nianze mada hii kwa kurudia pongezi kwa rafiki yangu Bwana Joe, Kwa kuongezewa nguvu na Nchi yake ya Marekani. Tayari taarifa rasmi ya hili nimeiandikia, na inaweza kusomeka zaidi kwa “KUBOFYA HAPA”. Bwana Joe amekua na imani inayofanana sana na yangu kwa muda mrefu ya kua uhalifu mtandao ni mbio za sakafuni endapo hapatakua na ushirikiano thabiti.


Kume kua na hoja nyingi kutoka mataifa mbali mbali juu ya kusua sua katika ushirikiano unao vuka mipaka huku uhalifu mtandao kutotambua mipaka...

 

9 years ago

MillardAyo

Future kuanzisha vita na Ciara? Amshambulia kwenye hizi tweets tano!

Imepita mwaka mmoja na nusu toka Ciara na Future wamkaribishe duniani mtoto wao wa kiume ‘babyfuture’ lakini pengine mwaka huu wa 2016 unaweza kuwa mwaka mgumu kwa staa wa muziki wa R&B, Ciara! Baada ya ukimya juu ya mvutano unaohusiana na mtoto wao, Future ameonekana kuchoshwa na mambo hayo na hivyo kumwambia Ciara ajiandee kwani […]

The post Future kuanzisha vita na Ciara? Amshambulia kwenye hizi tweets tano! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mamba alienusurika mabomu ya Vita ya Pili ya Dunia afariki kwenye hifadhi ya wanyama mjini Moscow

Saturn alitolewa kama zawadi kwa hifadhi ya wanyama ya Berlin mwaka 1936 muda mfupi baada ya kuzaliwa nchini Marekani.

 

10 years ago

Vijimambo

MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA SIMIYU

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwa juu ya gari lake, akiwapungia mamia ya wana CCM waliofika kumdhamini huko Lamadi, wilaya ya Busega mkoani Simiyu, pamoja na wananchi wengine. Mh. Lowassa, aliwasili huko Jumanne Juni 10, 2015, ili apate wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Lowassa, ambaye kwa sasa yuko Kanda ya ziwa, alipata maelfu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Mauzauza ya BVR yahamia Dar

Fundi wa mashine za Biometric Voters Registration (BVR) zinazotumika kuandikisha wananchi kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura, Neema Mbwambo akiirekebisha moja ya mashine hizo katika kituo kilichopo Shule ya Sekondari ya Zawadi, Tabata Dar es Salaam jana. Picha na Venance Nestory

By Waandishi Wetu, Mwananchi
Dar es Salaam. Kasoro za uandikishaji wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura zilizokuwa zikitokea katika mikoa mbalimbali nchini, zimejitokeza pia jijini Dar es Salaam ikiwa ni...

 

10 years ago

Michuzi

MBONI SHOW YA EATV YAHAMIA TBC

                                        Na Bakari  Issa,Dar es Salaam.
Mkurugenzi  wa Mboni  Show,Mboni Masimba  ameamua  kuhamishia kipindi  cha Mboni show katika kituo cha utangazaji  cha Taifa (TBC) kutoka EATV ili  kuvutia watazamaji wengi  na wapya kwa wazee pamoja  na vijana.
Kipindi  cha Mboni  Show  kitaanza kurushwa   TBC kuanzia  January  2 mwaka 2015 siku ya Ijumaa  saa 3 Usiku-4Usiku  na marudio  Jumanne  saa 9:00 mchana-10:00mchana.
Akizungumza  na waandishi wa  habari,mapema leo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ligi Kuu Vodacom yahamia kiganjani

WAKATI Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) ikiwa imefikia patamu katika duru la pili, ikishuhudiwa nyasi za viwanja mbalimbali nchini zikiendelea kuumia huku kiu ya wapenzi wengi wa soka wakitaka kujua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani