Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cheki Christiano Ronaldo Akiwa Kwenye Vazi La Kanzu Huko Dubai

Cristiano Ronaldo akiwa kwenye mavazi ya kiislam akipiga picha na mashabiki huko Dubai.Mchezaji nyota wa mpira wa miguu anaeichezea timu kubwa tajiri duniani Real Madrid alionekana na kupigwa picha na mapaparazi kwenye matembezi yake binafsi Dubai akiwa amevalia mavazi ya Kiislam na yaliompendeza sana.Cristiano Ronaldo ambaye yeye si Muislam lakini alipendezwa na uvaaji huo kwani alisema aliona watu wengi waishio Dubai ndio vazi lao kuu na kwanini yeye asiwe miongoni mwa waliovaa vazi hilo....

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

CHRISTIANO RONALDO ATWAA TUZO YA FIFA BALLON D'OR 2013

Christiano Ronaldo. MCHEZAJI wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Ureno, Christiano Ronaldo ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia 2013 (Ballon d'O 2013) usiku huu jijini Zurich, Switzerland na kuwabwaga wenzake Lionel Messi na Frank…

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Wema Sepetu Akiwa Kwenye Harakati za Ubunge Huko Singida

Hizi ni baadhi ya picha za staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu zinazo ‘trend’ leo hii mtandaoni kwa hapa bongo  zikimuonyesha staa huyu aliyetitos kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum kupitia chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Singida.

Kila la Kheri Madam

 

10 years ago

GPL

MTOTO WA CHRISTIANO RONALDO AONYESHA KIWANGO KWA KUUCHEZEA MPIRA KAMA BABA YAKE

Cristiano Jnr akionyesha uwezo wa kuuchezea mpira akiwa ufukweni katika Visiwa vya Bahamas. ...Dogo huyo akizidi kuonyesha makali yake. Zaidi, ingia hapa:==>> …

 

9 years ago

GPL

CHRISTIANO RONALDO 'CR7', MABAO 500

Mshambuliaji wa Real Madrid, Christiano Ronaldo akikabidhiwa kiatu cha dhahabu na Rais wa timu hiyo, Florentino Pérez wakati wa hafla ya kumpogeza mchezaji huyo. Christiano Ronaldo akiwa na mama yake na mwanaye. Perez akiwahutubia wachezaji na viongozi wa Madrid Ronaldo na Familia yake Christiano Ronaldo akitoa neno.…

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney …

December 31 ikiwa tunaelekea kufunga mwaka 2015 kwa kusubiri saa kadhaa zitimie ili tuumalize mwaka. Hii ni Alhamisi ya mwisho kwa mwaka 2015. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TBT Pichaz za mastaa hawa wa soka, Juma Kaseja, Neymar, Ronaldo, Messi na Wayne Rooney. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Anthony Martial avunja rekodi ya Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford

Mchezaji mpya wa Manchester United, Anthony Martial baada ya jana usiku kufunga goli dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi katika michuano ya klabu bingwa Ulaya, ameweka rekodi ambayo ilimshinda Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford. Akiwa na miaka 19 Martial ameshafunga magoli 5 katika mechi 9, huku katika umri huo huo Cristiano Ronaldo ilimchukua mechi 39 […]

 

9 years ago

Bongo5

Ronaldo atastaafu soka akiwa Real Madrid – Jorge Mendes

2F955BAD00000578-0-The_Portuguese_maestro_watched_the_Miami_Heat_agonisingly_lose_9-a-40_1451263483471

Wakala maarufu wa Cristiano Ronaldo, Jorge Mendes amezifutilia mbali tetesi za uwezekano wa mshambuliaji huyo wa Real Madrid kuwa na mpango wa kuhamia klabu nyingine.

2F955BAD00000578-0-The_Portuguese_maestro_watched_the_Miami_Heat_agonisingly_lose_9-a-40_1451263483471
Ronaldo akishuhudia mchezo wa kikapu wa ligi ya NBA kati ya Miami Heat na Detroit Pistons ambapo Heat walishindwa kwa vikapu 93-92 December 22

Wakala huyo amedai kuwa Real Madrid ni timu ya mwisho mchezaji huyo kuichezea. Kulikuwepo na tetesi kuwa mchezaji huyo angependa kucheza na Paris Saint-Germain ya Ufaransa.

Akizungumza...

 

10 years ago

Michuzi

MTOTO AZALIWA AKIWA NA MIGUU NA MIKONO MINNE HUKO INDIA

HUKO nchini India mama mmoja kajifungua mtoto mwenye miguu minne na mikono minne huku akipokelewa na wenyeji kwa furaha kubwa na kuitwa ‘Mungu Mvulana’ Mtoto huyo amepewa jina la ‘Mungu Mvulana‘ kwa kuwa kuzaliwa na viungo kama hivyo si jambo la kawaida na huchukuliwa kama mfano wa Mungu kwa jamii za kihindu.Watu walisafiri kutoka kona mbalimbali za nchi hiyo kwenda kumshuhudia mtoto huyo wa maajabu, katika mji wa Kaskazini mwa nchi hiyo walijazana nje ya eneo la Hospitali hiyo wakiwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani