Cheki Christiano Ronaldo Akiwa Kwenye Vazi La Kanzu Huko Dubai
![](http://2.bp.blogspot.com/-8HGhDiJnzEc/VJ2OJFDFeAI/AAAAAAAAAYc/XZ3J_3BCuOk/s72-c/CRN.jpg)
Cristiano Ronaldo akiwa kwenye mavazi ya kiislam akipiga picha na mashabiki huko Dubai.Mchezaji nyota wa mpira wa miguu anaeichezea timu kubwa tajiri duniani Real Madrid alionekana na kupigwa picha na mapaparazi kwenye matembezi yake binafsi Dubai akiwa amevalia mavazi ya Kiislam na yaliompendeza sana.Cristiano Ronaldo ambaye yeye si Muislam lakini alipendezwa na uvaaji huo kwani alisema aliona watu wengi waishio Dubai ndio vazi lao kuu na kwanini yeye asiwe miongoni mwa waliovaa vazi hilo....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
CHRISTIANO RONALDO ATWAA TUZO YA FIFA BALLON D'OR 2013
10 years ago
Bongo Movies24 Jul
Picha: Wema Sepetu Akiwa Kwenye Harakati za Ubunge Huko Singida
Hizi ni baadhi ya picha za staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu zinazo ‘trend’ leo hii mtandaoni kwa hapa bongo zikimuonyesha staa huyu aliyetitos kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum kupitia chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Singida.
Kila la Kheri Madam
10 years ago
GPLMTOTO WA CHRISTIANO RONALDO AONYESHA KIWANGO KWA KUUCHEZEA MPIRA KAMA BABA YAKE
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Satellite-3.jpg)
CHRISTIANO RONALDO 'CR7', MABAO 500
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney …
December 31 ikiwa tunaelekea kufunga mwaka 2015 kwa kusubiri saa kadhaa zitimie ili tuumalize mwaka. Hii ni Alhamisi ya mwisho kwa mwaka 2015. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TBT Pichaz za mastaa hawa wa soka, Juma Kaseja, Neymar, Ronaldo, Messi na Wayne Rooney. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo522 Oct
Anthony Martial avunja rekodi ya Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford
9 years ago
Bongo528 Dec
Ronaldo atastaafu soka akiwa Real Madrid – Jorge Mendes
![2F955BAD00000578-0-The_Portuguese_maestro_watched_the_Miami_Heat_agonisingly_lose_9-a-40_1451263483471](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2F955BAD00000578-0-The_Portuguese_maestro_watched_the_Miami_Heat_agonisingly_lose_9-a-40_1451263483471-300x194.jpg)
Wakala maarufu wa Cristiano Ronaldo, Jorge Mendes amezifutilia mbali tetesi za uwezekano wa mshambuliaji huyo wa Real Madrid kuwa na mpango wa kuhamia klabu nyingine.
Ronaldo akishuhudia mchezo wa kikapu wa ligi ya NBA kati ya Miami Heat na Detroit Pistons ambapo Heat walishindwa kwa vikapu 93-92 December 22
Wakala huyo amedai kuwa Real Madrid ni timu ya mwisho mchezaji huyo kuichezea. Kulikuwepo na tetesi kuwa mchezaji huyo angependa kucheza na Paris Saint-Germain ya Ufaransa.
Akizungumza...
10 years ago
Michuzi26 Nov
MTOTO AZALIWA AKIWA NA MIGUU NA MIKONO MINNE HUKO INDIA
![](https://3.bp.blogspot.com/-UC_J2-xfUp8/VHSl1dShAFI/AAAAAAAAw24/hxv1KA7zpEc/s640/god-boy.jpg)