Chifu Yemba: Kampeni siyo majukwaani tu
Kampeni si majukwaani pekee, ndivyo kinavyoamini chama cha Alliance For Democratic Change (ADC).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Chifu Yemba, mpinzani wa Lipumba anayewania urais
10 years ago
Mtanzania10 Jun
Chifu Yemba apinga kufukuzwa uongozi CUF
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
MJUMBE wa zamani wa Baraza Kuu la Chama Cha Wananchi (CUF), Chifu Lutayosa Yemba amekata rufaa kwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Seif Sharif Hamad kupinga uamuzi wa kufukuzwa akidai kuwa taarifa iliyotolewa na kusababisha uamuzi huo ni ya uongo.
Chifu Yemba ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Shinyanga alikuwa mpinzani wa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba katika kuwania uenyekiti wa chama hicho kwenye uchaguzi ndani ya chama hicho uliofanyika...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dgJSMpBQyiY/Xu9unQpiixI/AAAAAAABoQ4/N_Fj8T_DRgcH0J2FYmN5rqDh4UMSenqfgCLcBGAsYHQ/s72-c/0ff4b71b-e583-4f37-94b0-0bbacd8cdaf5.jpg)
CHIFU ADAM WA PILI ASIMIKWA RASMI KUWA CHIFU WA WAHEHE
![](https://1.bp.blogspot.com/-dgJSMpBQyiY/Xu9unQpiixI/AAAAAAABoQ4/N_Fj8T_DRgcH0J2FYmN5rqDh4UMSenqfgCLcBGAsYHQ/s640/0ff4b71b-e583-4f37-94b0-0bbacd8cdaf5.jpg)
Hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Kalenga Mkoani Iringa ambapo Umoja Wa Machief Tanzania UMT umeshiriki.
Chief Adam wa Pili anachukua nafasi ya baba yake, Chief Abdul Mfwimwi aliyefariki mwaka 2005.
![](https://1.bp.blogspot.com/-S80vsH1zLlk/Xu9uf-C-PSI/AAAAAAABoQ0/W_13LZDFvmEPrb79wlOW0xmC0ol075EgQCLcBGAsYHQ/s640/f3dd9958-6d9f-4cef-b3fb-a66c11048ba0.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3ZNaaScuphA/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0EX-KB4616g/U_hIPnX843I/AAAAAAAGBjo/JaH1uzlbjrk/s72-c/k1.jpg)
Rais Kikwete atawazwa kuwa chifu msaidizi wa waluguru na chifu kingalu huko kinole, morogoro, apewa jina la Chidukila
![](http://4.bp.blogspot.com/-0EX-KB4616g/U_hIPnX843I/AAAAAAAGBjo/JaH1uzlbjrk/s1600/k1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-c7ruhR7Z9QY/U_hKwvzBrxI/AAAAAAAGBmA/msdYqRdUesY/s1600/k4.jpg)
CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14,...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wQgOzDiO9Xw/VZWUgWV8hqI/AAAAAAADvS4/N67wzXxjsg4/s72-c/k2.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA CHIFU KINGALU WA 14 WA WALUGURU, NA KUSIMIKWA KWA CHIFU KINGALU 15 KIJIJINI KINOLE, MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-wQgOzDiO9Xw/VZWUgWV8hqI/AAAAAAADvS4/N67wzXxjsg4/s640/k2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DEwAHnar3qk/VZWUgtAFU-I/AAAAAAADvTA/cy7beLKTlW0/s640/k3.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole na pia kumpongeza Kiongozi mpya wa kabila la Waluguru wa Mkoa wa Morogoro Chifu Kingalu wa 15 baada ya kusimikwa rasmi kijijini Kinole mkoani Morogoro leo Alhamisi Julai 3, 2015 kufuatia kifo na hatimaye mazishi ya kaka yake Marehemu Chifu Kingalu wa 14.
![](http://4.bp.blogspot.com/-3FvbpaxirvI/VZWUgkQ2DKI/AAAAAAADvS8/z9WAmKmwnKo/s640/k4.jpg)
Kiongozi mpya wa kabila la Waluguru wa Mkoa wa Morogoro Chifu Kingalu wa 15 akiongea machache baada ya kusimikwa rasmi kijijini Kinole mkoani Morogoro leo Alhamisi Julai 3, 2015 kufuatia kifo na...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M3241BYZfcII5076gpdmu-9P2YI8q0O6YQJRLwIpCwxm5sNQdHu8w9ZEvgM43uoTjbiRq7ExyIWhwyxbTwTDwCPA/BACKUWAZI.jpg?width=650)
VURUGU KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI HII SIYO SIASA
11 years ago
MichuziRadio 5 yapongezwa kwa mchango wake wa kukuza sanaa za vichekesho vya majukwaani.
Wadau hao wa sanaa za vichekesho vya majukwaani waliipongeza Radio 5, wakati wa burudani ya wachekeshaji wa majukwaani iliyofanyika mwishoni mwa wiki hii katika ukumbi wa Golden Tulip. Burudani hiyo ambayo ilifana sana iliwajumuisha mchekeshaji kutoka Uganda, mwanadada Anne Kansiime, Fred Omondi kutoka Kenya na Pilipili wa Tanzania.
Akizungumzia onyesho hilo, mmoja ya...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...