Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


China yaipa TAZARA magari 100

SERIKALI ya Jamhuri ya watu wa China, imekabidhi awamu ya kwanza ya misaada kwa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) ya magari 10 yakiwemo magari ya winchi manne ya kunyanyulia makontena, vyote vyenye thamani ya Dola za Marekani milioni 70 (Sh bilioni 112).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

China yaipa silaha Sudan Kusini

Inaripotiwa kuwa China imetuma silaha zenye thamani ya dola milioni 38 nchini Sudan Kusini licha ya nchi hiyo kukabiliwa mgogoro wa kisiasa

 

10 years ago

Mwananchi

Membe aiomba China iiokoe Tazara

>Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameiomba Serikali ya China kusaidia kuimarisha ufanisi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara).

 

10 years ago

Mwananchi

China yaweka historia ya Tazara kitabuni

Wizara ya Mambo ya Nje ya China imezindua kitabu chenye kurasa zaidi 270 kinachoelezea historia ya ujenzi wa reli ya Tazara inayounganisha nchi mbili, Tanzania na Zambia.

 

10 years ago

Habarileo

Magari 100 kuburuzwa kortini Moshi

MAGARI 100 yanayotoa huduma za usafiri kwenye Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, yatafikishwa mahakamani na Kampuni ya Barrack Printers Limited ya mjini Moshi kwa kushindwa kulipa ushuru wa maegesho.

 

9 years ago

Michuzi

TAZARA yapokea mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka Serikali ya Watu wa China

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka (katikati) akikata utepe pamoja na Balozi wa Zambia nchini Tanzania Judith Kapijimpanga (kushoto) na Mwakilishi wa Balozi wa China nchini Tanzania, wakikata utepe kuashiria kukabidhiwa kwa kwa mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka Serikali ya China.Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka na Balozi wa Zambia nchini Tanzania Judith Kapijimpanga, wakielekea kupanda kwenye treni ya kichwa na mabehewa mapya ya TAZARA.Moja ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Magari zaidi ya 100 yakwama eneo la Manzese barabara ya Dar Es Salaam Mtwara

unnamed

Malori na Mabasi yakiwa kwenye msururu mrefu mara baada ya kushindwa kuendelea na safari kwa takribani masaa zaidi ya nane katika eneo la Manzese lililopo Kilwa barabara ya Dar Es salaam kuelekea Mtwara hapo jana kutokana na eneo hilo kuharibiwa vibaya na mvua zinazoendelea kunyesha na kupelekea magari zaidi ya mia kukwama.

unnamed (1)

Baadhi ya wasafiri kwenye mabasi yaendayo Dar Es Salaam kutoka Mtwara, Lindi na Kilwa na yale yatokayo Jijini Dar Es Salaam kuekelea mikoa ya Kusini wakiwa wamesimama...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbio za mita 100 ni leo China

Mbio za mita 100 upande wa wanaume , moja ya mbio zinazoenziwa zaidi zinafanyika muda mfupi unaokuja nchini China.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mabibiharusi zaidi ya 100 watoweka China

Zaidi ya Mabibi harusi 100 wenye asili ya Vietnam nchini China wametoweka huku msako mkubwa ukainza kufanywa na polisi

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyeiba dola Milioni 100 arejeshwa China

Shirika la habari la taifa la Uchina, linaarifu kuwa afisa wa zamani ambaye anashutumiwa kwa ufisadi mamilioni ya dola, amerejeshwa nyumbani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani