Membe aiomba China iiokoe Tazara
>Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameiomba Serikali ya China kusaidia kuimarisha ufanisi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Jun
China yaipa TAZARA magari 100
SERIKALI ya Jamhuri ya watu wa China, imekabidhi awamu ya kwanza ya misaada kwa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) ya magari 10 yakiwemo magari ya winchi manne ya kunyanyulia makontena, vyote vyenye thamani ya Dola za Marekani milioni 70 (Sh bilioni 112).
10 years ago
Mwananchi11 Aug
China yaweka historia ya Tazara kitabuni
9 years ago
MichuziTAZARA yapokea mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka Serikali ya Watu wa China
10 years ago
Mtanzania16 Feb
Membe: China ni marafiki zetu wa ukweli
Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema Serikali ya China ni marafiki wa uhakika kwa kuwa wameisaidia Tanzania kufungua idara maalumu ya upasuaji wa ugonjwa wa moyo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Mbali na hilo, Waziri Membe amesema kuwa Serikali ya nchi hiyo, imesaidiana kwa kiasi kikubwa na nchi za Afrika Mashariki katika kutatua migogoro na vita vya wenyewe kwa wenyewe katika baadhi ya nchi hizo.
Akizungumza juzi usiku...
10 years ago
Habarileo29 Mar
Membe aomba China kusaidia kiti cha Afrika UN
NCHI za bara la Afrika zimeendelea kulilia kiti cha uwakilishi katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) ili ziweze kujiwakilisha vyema katika kuzungumzia matatizo yao kuliko ilivyo sasa ambapo nchi hizo zinasemewa pasipo uwakilishi wake.
11 years ago
MichuziTASWIRA MBALIMBALI YA ZIARA YA MHE. MEMBE NCHINI CHINA
11 years ago
MichuziMHE. MEMBE AWASILI NCHINI CHINA KWA ZIARA YA KIKAZI
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Waziri Membe akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China hapa nchini
11 years ago
MichuziMembe (Mb.) kufanya ziara ya kikazi ya siku tano katika Jamhuri ya Watu wa China