Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Membe aiomba China iiokoe Tazara

>Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameiomba Serikali ya China kusaidia kuimarisha ufanisi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

China yaipa TAZARA magari 100

SERIKALI ya Jamhuri ya watu wa China, imekabidhi awamu ya kwanza ya misaada kwa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) ya magari 10 yakiwemo magari ya winchi manne ya kunyanyulia makontena, vyote vyenye thamani ya Dola za Marekani milioni 70 (Sh bilioni 112).

 

10 years ago

Mwananchi

China yaweka historia ya Tazara kitabuni

Wizara ya Mambo ya Nje ya China imezindua kitabu chenye kurasa zaidi 270 kinachoelezea historia ya ujenzi wa reli ya Tazara inayounganisha nchi mbili, Tanzania na Zambia.

 

9 years ago

Michuzi

TAZARA yapokea mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka Serikali ya Watu wa China

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka (katikati) akikata utepe pamoja na Balozi wa Zambia nchini Tanzania Judith Kapijimpanga (kushoto) na Mwakilishi wa Balozi wa China nchini Tanzania, wakikata utepe kuashiria kukabidhiwa kwa kwa mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka Serikali ya China.Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka na Balozi wa Zambia nchini Tanzania Judith Kapijimpanga, wakielekea kupanda kwenye treni ya kichwa na mabehewa mapya ya TAZARA.Moja ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Membe: China ni marafiki zetu wa ukweli

zimbabwenew1Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema Serikali ya China ni marafiki wa uhakika kwa kuwa wameisaidia Tanzania kufungua idara maalumu ya upasuaji wa ugonjwa wa moyo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Mbali na hilo, Waziri Membe amesema kuwa Serikali ya nchi hiyo, imesaidiana kwa kiasi kikubwa na nchi za Afrika Mashariki katika kutatua migogoro na vita vya wenyewe kwa wenyewe katika baadhi ya nchi hizo.
Akizungumza juzi usiku...

 

10 years ago

Habarileo

Membe aomba China kusaidia kiti cha Afrika UN

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeNCHI za bara la Afrika zimeendelea kulilia kiti cha uwakilishi katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) ili ziweze kujiwakilisha vyema katika kuzungumzia matatizo yao kuliko ilivyo sasa ambapo nchi hizo zinasemewa pasipo uwakilishi wake.

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI YA ZIARA YA MHE. MEMBE NCHINI CHINA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao alipokutana nae kwa mazungumzo kwenye Jumba la Mikutano la Kitaifa la China maarufu kama People's Great Hall mjini Beijing, China. Mhe. Membe yupo nchini humo kwa ziara ya kikazi ya siku tano kuanzia tarehe 24 hadi 28 Februari, 2014. Mhe. Membe na Mhe. Yuanchao wakiendelea na mazungumzo. Mhe. Membe akiagana na Mhe. Yuanchao mara...

 

11 years ago

Michuzi

MHE. MEMBE AWASILI NCHINI CHINA KWA ZIARA YA KIKAZI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.)  akipokelewa na mwenyeji wake Mhe. wang Yi, Waziri wa Mambo ya Nje wa China mara baada ya kuwasili kwenye  Wizara ya Mambo ya Nje ya China.   Mhe. Membe na Mhe. Wang Yi katika picha ya pamoja. Mhe. Membe akiongozana na Mhe. Wang Yi mara baada ya kupokelewa.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Membe akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China hapa nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), akizungumza na Balozi wa China nchini Mhe. Lu Youqing alipofika Wizarani kwa ajili ya mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na China Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya (kushoto), akiwa na Mkurugenzi Idara ya Asia na Australasia Balozi Mbelwa Kairuki (wa pili kushoto), Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Bi. Mindi...

 

11 years ago

Michuzi

Membe (Mb.) kufanya ziara ya kikazi ya siku tano katika Jamhuri ya Watu wa China

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) atafanya ziara ya kikazi ya siku tano katika Jamhuri ya Watu wa China kuanzia tarehe 24 hadi 28 Februari, 2014. Ziara ya Mhe. Membe inakuja kufuatia mwaliko kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Wang Yi. Mhe. Membe anafanya ziara hiyo nchini China kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kirafiki uliopo kati ya Tanzania na China. Wakati wa ziara hiyo, Mhe. Membe atafuatana na Maafisa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani