Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Membe: China ni marafiki zetu wa ukweli

zimbabwenew1Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema Serikali ya China ni marafiki wa uhakika kwa kuwa wameisaidia Tanzania kufungua idara maalumu ya upasuaji wa ugonjwa wa moyo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Mbali na hilo, Waziri Membe amesema kuwa Serikali ya nchi hiyo, imesaidiana kwa kiasi kikubwa na nchi za Afrika Mashariki katika kutatua migogoro na vita vya wenyewe kwa wenyewe katika baadhi ya nchi hizo.
Akizungumza juzi usiku...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Membe aiomba China iiokoe Tazara

>Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameiomba Serikali ya China kusaidia kuimarisha ufanisi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara).

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI YA ZIARA YA MHE. MEMBE NCHINI CHINA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao alipokutana nae kwa mazungumzo kwenye Jumba la Mikutano la Kitaifa la China maarufu kama People's Great Hall mjini Beijing, China. Mhe. Membe yupo nchini humo kwa ziara ya kikazi ya siku tano kuanzia tarehe 24 hadi 28 Februari, 2014. Mhe. Membe na Mhe. Yuanchao wakiendelea na mazungumzo. Mhe. Membe akiagana na Mhe. Yuanchao mara...

 

10 years ago

Habarileo

Membe aomba China kusaidia kiti cha Afrika UN

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeNCHI za bara la Afrika zimeendelea kulilia kiti cha uwakilishi katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) ili ziweze kujiwakilisha vyema katika kuzungumzia matatizo yao kuliko ilivyo sasa ambapo nchi hizo zinasemewa pasipo uwakilishi wake.

 

11 years ago

Michuzi

MHE. MEMBE AWASILI NCHINI CHINA KWA ZIARA YA KIKAZI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.)  akipokelewa na mwenyeji wake Mhe. wang Yi, Waziri wa Mambo ya Nje wa China mara baada ya kuwasili kwenye  Wizara ya Mambo ya Nje ya China.   Mhe. Membe na Mhe. Wang Yi katika picha ya pamoja. Mhe. Membe akiongozana na Mhe. Wang Yi mara baada ya kupokelewa.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Membe akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China hapa nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), akizungumza na Balozi wa China nchini Mhe. Lu Youqing alipofika Wizarani kwa ajili ya mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na China Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya (kushoto), akiwa na Mkurugenzi Idara ya Asia na Australasia Balozi Mbelwa Kairuki (wa pili kushoto), Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Bi. Mindi...

 

11 years ago

Michuzi

Membe (Mb.) kufanya ziara ya kikazi ya siku tano katika Jamhuri ya Watu wa China

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) atafanya ziara ya kikazi ya siku tano katika Jamhuri ya Watu wa China kuanzia tarehe 24 hadi 28 Februari, 2014. Ziara ya Mhe. Membe inakuja kufuatia mwaliko kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Wang Yi. Mhe. Membe anafanya ziara hiyo nchini China kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kirafiki uliopo kati ya Tanzania na China. Wakati wa ziara hiyo, Mhe. Membe atafuatana na Maafisa...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI MEMBE AKANUSHA KUHUSU NDEGE YA RAIS WA CHINA KUBEBA PEMBE ZA NDOVU NA KUSEMA NI UONGO!

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Kimataifa, Mhe. Bernard Membe. WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Kimataifa, Mhe. Bernard Membe amekanusha bungeni taarifa za maafisa wa China kuhusika kununua pembe za ndovu wakati wa ziara ya rais wa China na kusema taarifa hizo ni za uongo na za kupika. Waziri Membe amesema taarifa za EIA kwamba Tanzania haishughulikii tatizo la biashara haramu ya pembe za ndovu zina ajenda ya siri na...

 

11 years ago

Michuzi

Mhe. Membe akutana na Makamu wa Rais wa China mjini Beijing,Pia afanya mazungumzo na baadhi ya Mawaziri wa nchi hiyo

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao alipokutana nae kwa mazungumzo kwenye Jumba la Mikutano la Kitaifa la China maarufu kama People's Great Hall mjini Beijing, China. Mhe. Membe yupo nchini humo kwa ziara ya kikazi ya siku tano kuanzia tarehe 24 hadi 28 Februari, 2014. Mhe. Membe na Mhe. Yuanchao wakiendelea na mazungumzo. Mhe. Membe akiagana na Mhe. Yuanchao mara...

 

11 years ago

GPL

SHALUWA NA SEMINA YA MARAFIKI

Joseph Shaluwa. MTAFITI na mshauri wa maisha, uhusiano na mapenzi Joseph Shaluwa ataendesha semina ya kirafiki aliyoipa jina la Joseph Shaluwa Love Talk yenye lengo la kutoa mada zinazojadili matatizo mbalimbali ndani ya uhusiano na ndoa. Akizungumza na gazeti hili, Shaluwa alisema semina hiyo itafanyika Jumapili, Februari 23, mwaka huu katika Hoteli ya Johannesburg, Sinza – Mori jijini Dar Salaam kwa kiingilio cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani