Membe: China ni marafiki zetu wa ukweli
Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema Serikali ya China ni marafiki wa uhakika kwa kuwa wameisaidia Tanzania kufungua idara maalumu ya upasuaji wa ugonjwa wa moyo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Mbali na hilo, Waziri Membe amesema kuwa Serikali ya nchi hiyo, imesaidiana kwa kiasi kikubwa na nchi za Afrika Mashariki katika kutatua migogoro na vita vya wenyewe kwa wenyewe katika baadhi ya nchi hizo.
Akizungumza juzi usiku...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Membe aiomba China iiokoe Tazara
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lee9sg-oppA/Uw8snuqk9MI/AAAAAAAASf8/ga0tafs7nDc/s72-c/MFAIC+China+with+VP+6.jpeg)
TASWIRA MBALIMBALI YA ZIARA YA MHE. MEMBE NCHINI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lee9sg-oppA/Uw8snuqk9MI/AAAAAAAASf8/ga0tafs7nDc/s1600/MFAIC+China+with+VP+6.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CJt3mT3ajFc/Uw8swDiENDI/AAAAAAAASgM/FNggxpup1f4/s1600/MFAIC+China+with+VP+4.jpeg)
10 years ago
Habarileo29 Mar
Membe aomba China kusaidia kiti cha Afrika UN
NCHI za bara la Afrika zimeendelea kulilia kiti cha uwakilishi katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) ili ziweze kujiwakilisha vyema katika kuzungumzia matatizo yao kuliko ilivyo sasa ambapo nchi hizo zinasemewa pasipo uwakilishi wake.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--tnk_LyhKFo/UwyD5HGfcrI/AAAAAAAASeg/8oWS-EBibLg/s72-c/MFAIC+China+with+MoFA+1.jpeg)
MHE. MEMBE AWASILI NCHINI CHINA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](http://1.bp.blogspot.com/--tnk_LyhKFo/UwyD5HGfcrI/AAAAAAAASeg/8oWS-EBibLg/s1600/MFAIC+China+with+MoFA+1.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fi8Z9FVzdAo/Uwx_L14i6RI/AAAAAAAASeE/VH81sVTjW_c/s1600/MFAIC+China+with+MoFA+8.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0p4YN8byAFs/UwyDKJYRUrI/AAAAAAAASeQ/QVsG0JmkBUA/s1600/MFAIC+China+with+MoFA+6.jpeg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Waziri Membe akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China hapa nchini
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c8gmlZWPHmw/UwoKCSUs_sI/AAAAAAAFPFw/RRrgbnfGA4E/s72-c/membe.jpg)
Membe (Mb.) kufanya ziara ya kikazi ya siku tano katika Jamhuri ya Watu wa China
![](http://1.bp.blogspot.com/-c8gmlZWPHmw/UwoKCSUs_sI/AAAAAAAFPFw/RRrgbnfGA4E/s1600/membe.jpg)
10 years ago
GPLWAZIRI MEMBE AKANUSHA KUHUSU NDEGE YA RAIS WA CHINA KUBEBA PEMBE ZA NDOVU NA KUSEMA NI UONGO!
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lee9sg-oppA/Uw8snuqk9MI/AAAAAAAASf8/ga0tafs7nDc/s72-c/MFAIC+China+with+VP+6.jpeg)
Mhe. Membe akutana na Makamu wa Rais wa China mjini Beijing,Pia afanya mazungumzo na baadhi ya Mawaziri wa nchi hiyo
![](http://4.bp.blogspot.com/-lee9sg-oppA/Uw8snuqk9MI/AAAAAAAASf8/ga0tafs7nDc/s1600/MFAIC+China+with+VP+6.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CJt3mT3ajFc/Uw8swDiENDI/AAAAAAAASgM/FNggxpup1f4/s1600/MFAIC+China+with+VP+4.jpeg)
11 years ago
GPLSHALUWA NA SEMINA YA MARAFIKI