Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHIPUKIZI MSIOGOPE KUTONGOZWA- DAYNA

Stori: Andrew Carlos MKALI wa wimbo wa Mafungu ya Nyanya, Mwanaisha Said ‘Dyana’ amewataka wasanii wa kike chipukizi kuacha kuogopa kutongozwa kwani uamuzi unabaki kuwa kwao. Mwanaisha Said Nyange ‘Dayna’.
“Namshukuru Mungu mpaka hapa nilipofikia. Vikwanzo ni vingi hususan kwa waimbaji wa kike lakini nawashangaa wale ambao wanakata tamaa ya kuendelea kuimba kisa kutongozwa. Wasiogope,”...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MASOGANGE: SITAKI KUTONGOZWA

Na Imelda Mtema
VIDEO Queen matata Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’ amewajia juu kundi kubwa la wanaume linalomtaka kimapenzi wakati wanatambua vyema kuwa ana mtu wake. Agnes Gerald Waya ‘Masogange’. Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Masogange alisema tangu atoke Sauz aliponaswa kwa msala wa kusafirisha malighafi haramu, wanaume wakware wamekuwa wakimsaka kama fisi aliyeona mfupa kitu...

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa: Msiogope

Pg 1 lowassaNA MAREGESI PAUL, NJOMBE

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amewataka Watanzania wasiogope kufanya mabadiliko ya uongozi kwa kuwa hata Biblia inasisitiza watu wasiogope.

Amesema ili mabadiliko hayo yafanikiwe, Watanzania wanatakiwa kujitokeza kwa wingi Oktoba 25, mwaka huu na kumpigia kura za ndiyo pamoja na wagombea ubunge na udiwani kupitia Ukawa.

Lowassa aliyasema hayo jana katika mji wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Msiogope kustaafu-ushauri

Watumishi nchini wameshauriwa kutoogopa muda wa kustaafu na badala yake wajiandae mapema kwenye suala hilo ili kuandaa maisha yao ya baadaye.

 

10 years ago

Michuzi

Wanamuziki wa Bongo Msiogope Kutoa kazi Zenu nje ya nchi, Mnakubalika! - Ras Makunja.

 Katika mahojiano ya Ras Makunja kiongozi wa Ngoma Africa band iliyopo kule nchini ujerumani na Zenj FM katika kipindi maalumu cha muziki wa dansi kinaongozwa na mtangazaji mahiri bwana Mustapha Mussa (pichani kulia) siku ya Jumamosi 25 April 2015.
Mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja akihojiwa kwa njia ya simu alikuwa akijibu maswali ambayo majibu yake yamesikika kama ni pumzi mpya ya uhai wa muziki wa dansi Tanzania na miziki mingine kama vile taarabu na muziki wa kizazi...

 

10 years ago

GPL

DAYNA ANASWA KIMAHABA!

Imelda Mtema PICHA za staa wa muziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ akiwa katika pozi la kimahaba zimenaswa.
Picha hizo zinazomuonesha akiwa katika ‘mabusu ya kiutuzima’ na mwanaume mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja. Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’. Baada ya kunaswa kwa picha hizo, Amani lilimvutia waya Dayna ambapo alijitetea kuwa...

 

11 years ago

Bongo5

New Music Video: Dayna — I DO

Malkia wa Morogoro Dayna Nyange ameachia video ya single yake mpya ‘I DO’. Katika video hiyo amemshirikisha aliyekuwa mshiriki wa Big Brother, Nando. Video imetayarishwa na Kwetu Studio na audio ambayo ilianza kutoka wiki kadhaa zilizopita imetengenezwa na Tris wa Conga Music. Itazame.

 

11 years ago

Mwananchi

Dayna Sifugi madansa

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Mwanaisha Nyange maarufu kama Dayna amesema anamiliki madansa wawili tu kwa kuwa ana uwezo wa kuwahudumia katika kila hitaji lao la lazima.

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Mtanzania

Dayna: Hakuna mpinzani wa Kanumba

Kanumba (61)_595NA JUMA HEZRON, TSJ
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Dyana Nyange ‘Dayna’, amesema hadi sasa hakuna mwigizaji wa filamu ambaye ameweza kufikia kiwango cha marehemu Steven Kanumba.
Akizungumza na MTANZANIA leo, Dayna alisema tangu kufariki kwa Kanumba, tasnia ya filamu imebadilika na kuwa ya kawaida sana.
“Hakuna aliyeweza kufikia kiwango cha Kanumba, licha ya wengi wao kujituma na kujitahidi kufanya kazi na wasanii kutoka nje ya nchi,” alisema Dayna.
Mwanadada huyo aliendelea kusema ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani