CHIPUKIZI MSIOGOPE KUTONGOZWA- DAYNA
![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt63B9e7O0OqJBmOzOf*D35AF*A0kShnmtIcTZQOWXbF*6kUYfkifWVcfcjIwv0nL4OjYPUw77N4szRmQA79GpO1p/dayna.jpg?width=650)
Stori: Andrew Carlos MKALI wa wimbo wa Mafungu ya Nyanya, Mwanaisha Said ‘Dyana’ amewataka wasanii wa kike chipukizi kuacha kuogopa kutongozwa kwani uamuzi unabaki kuwa kwao. Mwanaisha Said Nyange ‘Dayna’. “Namshukuru Mungu mpaka hapa nilipofikia. Vikwanzo ni vingi hususan kwa waimbaji wa kike lakini nawashangaa wale ambao wanakata tamaa ya kuendelea kuimba kisa kutongozwa. Wasiogope,â€...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9FvUrdLEXa-r3NnQp-M3vKvS2MKj4ZZ7MsiXERTQJ*tihRotonhE2xoX5SUMOhb8Gr7FjnIY6NGz9ne340Rx8k1/maso.jpg?width=650)
MASOGANGE: SITAKI KUTONGOZWA
9 years ago
Mtanzania01 Sep
Lowassa: Msiogope
NA MAREGESI PAUL, NJOMBE
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amewataka Watanzania wasiogope kufanya mabadiliko ya uongozi kwa kuwa hata Biblia inasisitiza watu wasiogope.
Amesema ili mabadiliko hayo yafanikiwe, Watanzania wanatakiwa kujitokeza kwa wingi Oktoba 25, mwaka huu na kumpigia kura za ndiyo pamoja na wagombea ubunge na udiwani kupitia Ukawa.
Lowassa aliyasema hayo jana katika mji wa...
11 years ago
Mwananchi04 May
Msiogope kustaafu-ushauri
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9noH3J7jTXw/VTwVjqMTocI/AAAAAAAHTTE/BJzaENDXpV0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Wanamuziki wa Bongo Msiogope Kutoa kazi Zenu nje ya nchi, Mnakubalika! - Ras Makunja.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9noH3J7jTXw/VTwVjqMTocI/AAAAAAAHTTE/BJzaENDXpV0/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
Mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja akihojiwa kwa njia ya simu alikuwa akijibu maswali ambayo majibu yake yamesikika kama ni pumzi mpya ya uhai wa muziki wa dansi Tanzania na miziki mingine kama vile taarabu na muziki wa kizazi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NahjPOlLP*bZuuYLSvK-LMxdi8bHBZOz3a0OShxnkUCDJ7WpNiyBcRLB-*X0yZdhLuuSH5Sygz2OFc5KZ16Oj29I/Dyna1.jpg?width=650)
DAYNA ANASWA KIMAHABA!
11 years ago
Bongo502 Aug
New Music Video: Dayna — I DO
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Dayna Sifugi madansa
11 years ago
GPL02 Aug
10 years ago
Mtanzania28 Jan
Dayna: Hakuna mpinzani wa Kanumba
NA JUMA HEZRON, TSJ
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Dyana Nyange ‘Dayna’, amesema hadi sasa hakuna mwigizaji wa filamu ambaye ameweza kufikia kiwango cha marehemu Steven Kanumba.
Akizungumza na MTANZANIA leo, Dayna alisema tangu kufariki kwa Kanumba, tasnia ya filamu imebadilika na kuwa ya kawaida sana.
“Hakuna aliyeweza kufikia kiwango cha Kanumba, licha ya wengi wao kujituma na kujitahidi kufanya kazi na wasanii kutoka nje ya nchi,” alisema Dayna.
Mwanadada huyo aliendelea kusema ni...