Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msiogope kustaafu-ushauri

Watumishi nchini wameshauriwa kutoogopa muda wa kustaafu na badala yake wajiandae mapema kwenye suala hilo ili kuandaa maisha yao ya baadaye.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Lowassa: Msiogope

Pg 1 lowassaNA MAREGESI PAUL, NJOMBE

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amewataka Watanzania wasiogope kufanya mabadiliko ya uongozi kwa kuwa hata Biblia inasisitiza watu wasiogope.

Amesema ili mabadiliko hayo yafanikiwe, Watanzania wanatakiwa kujitokeza kwa wingi Oktoba 25, mwaka huu na kumpigia kura za ndiyo pamoja na wagombea ubunge na udiwani kupitia Ukawa.

Lowassa aliyasema hayo jana katika mji wa...

 

11 years ago

GPL

CHIPUKIZI MSIOGOPE KUTONGOZWA- DAYNA

Stori: Andrew Carlos MKALI wa wimbo wa Mafungu ya Nyanya, Mwanaisha Said ‘Dyana’ amewataka wasanii wa kike chipukizi kuacha kuogopa kutongozwa kwani uamuzi unabaki kuwa kwao. Mwanaisha Said Nyange ‘Dayna’.
“Namshukuru Mungu mpaka hapa nilipofikia. Vikwanzo ni vingi hususan kwa waimbaji wa kike lakini nawashangaa wale ambao wanakata tamaa ya kuendelea kuimba kisa kutongozwa. Wasiogope,”...

 

10 years ago

Michuzi

Wanamuziki wa Bongo Msiogope Kutoa kazi Zenu nje ya nchi, Mnakubalika! - Ras Makunja.

 Katika mahojiano ya Ras Makunja kiongozi wa Ngoma Africa band iliyopo kule nchini ujerumani na Zenj FM katika kipindi maalumu cha muziki wa dansi kinaongozwa na mtangazaji mahiri bwana Mustapha Mussa (pichani kulia) siku ya Jumamosi 25 April 2015.
Mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja akihojiwa kwa njia ya simu alikuwa akijibu maswali ambayo majibu yake yamesikika kama ni pumzi mpya ya uhai wa muziki wa dansi Tanzania na miziki mingine kama vile taarabu na muziki wa kizazi...

 

9 years ago

Bongo Movies

Frank Kustaafu Filamu

Staa mkongwe wa bongo Movies, Mohammed Mwikongwi ‘Frank’ amesema atastaafu fani ya uchezaji wa filamu endapo atashinda kiti cha ubunge cha jimbo la Segerea, Dar es Salaam katika muchaguzi mkuu wa mwezi ujao.

‘Frank’ ambaye anagombea kiti hicho kwa tiketi ya ACT alisema akishinda hatojihusisha  na filamu kwani hatowezakufanya mambo mawilikwa wakati mmoja.

Frank ni mmoja wa wasanii wawili wa filamu wanaogombea Ubunge akiwemo ‘Kingwendu’ anayewania ubunge kwa tiketi ya CUF huko...

 

9 years ago

Habarileo

Canavaro kustaafu soka

NAHODHA na beki wa kati wa timu ya Taifa, Nadir Haroub au maarufu kama Canavaro amesema kuwa atastaafu kuichezea timu hiyo baada ya miaka mitatu, licha ya maneno kuwa kiwango chake kimeshuka au amezeeka.

 

10 years ago

GPL

Mwaikimba: Sifikirii kustaafu

Aliyekuwa mshambuliaji wa Azam, Gaudence Mwaikimba. Na Martha Mboma
BAADA ya uongozi wa Azam FC kuwaacha wachezaji wake watatu kutokana na kumaliza mikataba yao, aliyekuwa mshambuliaji wa timu hiyo, Gaudence Mwaikimba, amefunguka kuwa licha ya kuachwa ataendelea kucheza soka mahali pengine na hafikirii kustaafu kwa sasa. Azam imeachana na wachezaji hao ambao wamemaliza mikataba akiwemo beki mahiri David Mwantika, Amri Kiemba...

 

9 years ago

Bongo5

Pacquiao kustaafu masumbwi mwakani

Bondia wa Ufilipino, Manny Pacquiao ametangaza Jumatano hii kuwa anaweza kustaafu masumbwi mwakani baada ya pambano moja la mwisho ili kujikita kwenye siasa zaidi na pengine kuwamia nafasi ya useneta. Pacquaio aliyeokoka, amedai kuwa amechukua ushauri kutoka kwa Mungu. “Nadhani nipo tayari kustaafu. Nimekuwepo kwenye ndondi kwa miaka 20,” alisema Pacquiao, 36 kwenye mahojiano na […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Jason Dunford atangaza kustaafu

Mkenya Jason Dunford ametangaza rasmi kuwa atastaafu baada ya mashindano ya Jumuiya ya Madola yanayoendelea mjini Glascow

 

9 years ago

Mtanzania

Wenger hana mpango wa kustaafu

arsene-wenger_2645586bLONDON, ENGLAND

KOCHA wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger, amesisitiza kuwa mpaka sasa hajapanga tarehe rasmi ya kustaafu kufundisha soka.

Wenger amesema bado anaamini anaweza kufanya makubwa kwa klabu ya Arsenal hasa msimu huu wa Ligi Kuu nchini England huku akiwa na matumaini makubwa ya kuchukua ubingwa.

Kocha huyo mwenye umri wa miaka 65, amekuwa na furaha ya kufikisha miaka 19 ya kuifundisha klabu ya Arsenal, hata hivyo mashabiki wa klabu hiyo walianza kumchoka kutokana na maendeleo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani