Conservationists to Hong Kong: “Ivory is not art”
Salon
Conservationists to Hong Kong: “Ivory is not art”
Salon
Conservationists to Hong Kong: Elephant tusks are displayed after being confiscated by Customs in Hong Kong. (Credit: AP/Kin Cheung). This article originally appeared on Hyperallergic. Hyperallergic. China's destruction of some 6.1 tons of seized ivory ...
Tanzania Still Undecided Over Ivory StockpilesAllAfrica.com
all 2
Salon
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74887000/jpg/_74887542_74886618.jpg)
VIDEO: Hong Kong burns Ivory stockpile
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Wandamanaji wakesha Hong Kong
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Hong Kong na utata wa uchaguzi
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Hong Kong si shwari tena
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Suluhu mgogoro Hong Kong mashakani
10 years ago
StarTV03 Oct
Wanafunzi Hong Kong kukutana na serikali
Viongozi wa wanafunzi huko Hong Kong wamekubali kukutana na upande wa serikali kujadili malalamiko yao siku tano baada ya maandamano makubwa ya kupigania demokrasia.
Hiyo inafuatia mwaliko kutoka kwa mkuu wa utawala wa Hong Kong CY Leung. Alitoa taarifa hiyo muda mfupi kabla ya kumalizika kwa muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao waliotishia kuvamia majengo ya serikali iwapo mkuu huyo hatajiuzulu.
Muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao umemalizika salama.
Bwana Leung amesema...
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Hong Kong yapinga mapendekezo ya Uchina
10 years ago
StarTV02 Oct
China yaonya mgogoro wa Hong Kong.
Waziri wa mambo ya nje wa China Wang Yi ametoa onyo kali dhidi ya maandamano “yasiyo halali” Hong Kong.
Akiwa katika ziara nchini Marekani, Bwana Wang pia alionya kuwa suala la Hong Kong linahusu “mambo ya ndani” ya China.
Waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Marekani, John Kerry, ameitaka Hong Kong kujizuia na matumizi ya nguvu wakati wa kushughulikia maandamano hayo.
Mapema, waandamanaji wanafunzi waliokasirishwa na China kuwateua wagombea wa uchaguzi wa mwaka 2017 waliapa kuendelea na...
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Maelfu wakumbuka maandamano Hong Kong