Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coutinho alia, aomba... ulinzi

Mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho. Na Wibert Molandi
BAO la mita 20 alilolifunga kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho, limempa jeuri na ujasiri wa kuahidi kufunga kila mechi atakayocheza kwenye Ligi Kuu Bara. Mbrazili huyo aliyetua kuichezea Yanga msimu huu wa ligi kuu kwa mkataba wa miaka miwili, alifunga bao lake a kwanza wakati timu yake ilipocheza na Prisons Uwanja wa Taifa jijini Dar es...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Coutinho aomba kucheza Taifa Stars

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho. Na Mohammed Mdose
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho, amesema yupo tayari kuichezea timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, iwapo Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) litamtaka afanye hivyo. Sheria za Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) zinaruhusu raia wa nchi fulani kuichezea timu ya taifa ya nchi nyingine, akipata uraia wa nchi hiyo na iwapo...

 

10 years ago

GPL

OTILIA ALIA NA CHOCKY

GLADNESS MALLYA/Amani MNENGUAJI wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo,’ Otilia Boniface  amemlilia mkurugenzi wake, Ali Chocky kutokana na kitendo cha kusambaratisha bendi bila kuwataarifu. Mnenguaji wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo,’ Otilia Boniface. Akizungumza kwa uchungu na Centre Spread, Otilia alisema hivi karibuni aliumia sana kufuatia kitendo cha Chocky kuchukua vyombo vyake vya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge wa Chadema alia

>Mbunge wa Viti Maalum wa Chadema, Rose Kamili amedai kupigwa na kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati walipomkamata na kumshikilia kwa muda kwa tuhuma za kutoa rushwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri alia na Waganda

Wakati Simba leo ikicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Jang’ombe leo, kKkocha Patrick Phiri amesema kuchelewa kwa nyota wake watatu Waganda kuna tibua mipango yake.

 

11 years ago

GPL

FLORA ALIA NA VIBAKA

STAA wa sinema za Kibongo, Flora Mvungi  ameeleza masikitiko yake baada ya kuibiwa na vibaka. Kioo kilichovunjwa pamoja na sehemu zilizoibiwa vitu kwenye gari hilo. Akizungumza na paparazi wetu, Flora alisema siku ya tukio mumewe H. Baba alitoka na gari lake aina ya Toyota I.S.T kwenda mtaa wa Lumumba-Kariakoo, akapaki na kuingia kwenye mizunguko yake lakini aliporejea alishtuka baada ya kukuta kioo kimevunjwa na vitu...

 

10 years ago

Mwananchi

Lundenga alia hujuma

Siku moja baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kuifungia Kampuni ya Lino International kuendesha mashindano ya Miss Tanzania kwa miaka miwili, Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Hashim Lundenga amesema hatua hiyo imefikiwa kutokana na shinikizo kutoka kwa baadhi ya watu wenye dhamira ya kuitoa kwenye mstari wa mafanikio sanaa ya urembo nchini.

 

9 years ago

Mtanzania

Samia alia na alama ‘V’

IMG_0273 (1280x853)NA SARAH MOSSI, KOROGWE

 

MGOMBEA mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan amesema alama ya ‘V’ haijawahi kushika dola duniani kote.

Samia, alisema hayo jana  alipokuwa akizungumza na wananchi katika eneo la Mombo akiwa njiani kuelekea wilayani Lushoto.

“Sasa hivi vurugu tupu, utawala wa nchi si wa kujaribu, wapeni wenye uthabiti, waliosimama imara na  uwezo ndugu zangu, sumu haionjwi,”alisema Samia.

Mapema akiwahutubia wananchi wa Korogwe mjini katika viwanja vya Shule ya Msingi Mazoezi, Samia...

 

11 years ago

GPL

Tambwe amuonya Coutinho

Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi Tambwe (kulia).
Ibrahim Mussa na Nassor Gallu    
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe, anajua kwamba kuna Mbrazili, Andrey Countinho, ametua Yanga lakini akamtahadharisha kwamba akae akijua kuwa  kila mchezaji ana bahati yake uwanjani, hivyo asitegemee kuwafunika wenzake. Coutinho amejiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili na anacheza nafasi...

 

10 years ago

Habarileo

Coutinho chupuchupu Yanga

MASHABIKI wa Yanga wamemwokoa kiungo Mbrazili Andrey Coutinho asitemwe baada ya kumpigia simu Mwenyekiti wao Yusuf Manji, ambaye aliamuru mchezaji huyo asiachwe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani