Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CRDB yachangia sherehe za Muungano

BENKI ya CRDB imekabidhi Sh 800,000 kwa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kuchangia gharama za maandalizi ya maadhimisho ya kihistoria ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

CRDB yaipiga jeki ubalozi wa Tanzania Marekani kwa ajili ya maandalizi ya sherehe za Muungano

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe/ Liberata Mulamula akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Dr. Charles Kimei (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bwn. Martin Mmari kwenye kikao cha makabidhiano ya mchango wa CRDB kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya sherehe ya miaka 50 ya Muungano zitakazoadhimishwa kitaifa Washington, DC April 26, 2014 CRDB kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ilimkabidhi Mhe. Liberata Mulamula fedha taslimu za Kimarekani...

 

11 years ago

GPL

CRDB YAIPIGA JEKI UBALOZI WA TANZANIA MAREKANI KWA AJILI YA MAANDALIZI YA SHEREHE YA MUUNGANO‏

 Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Bwn. Saugata Bandyopadhyay CRDB Deputy Managing Director (operations and customer services)  Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Bwn. Alex Ngusaru Director of Treasery wa CRDB…

 

11 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YACHANGIA MILIONI 20 UJENZI WA KANISA LA KKKT JIMBO LA HAI

 Mkurugenzi wa MasokoUtafiti, Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa  akiwasili katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Jimbo la Hai kwa ajili ya ibada maalumu ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa la KKKT jimbo la Hai. Katika harambee hiyo Benki ya CRDB ilitoa shilingi milioni 20 kufanikisha ujenzi wa Kanisa na Kituo cha Watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akisaini kitabu cha wageni mara baada ya...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA MUUNGANO DMV.


JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAWAKARIBISHA KUJUMUIKA NA MHE.MSTAAFU RAIS ALI HASSAN MWINYI, KATIKA KUADHIMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO JUMAMOSI TAREHE 25 Aprili 2015 SHEREHE HIZO ZITAAMBATANA NA BBQ SAA 8:00 MCHANA NA KUFWATIWA NA   MECHI YA MPIRA KATI YA TANZANIA BARA NA VISIWANI SAA 12:30 JIONIANUANI 8001 WALKER MILL RD,DISTRICT HEIGHTS MD,20747SHUKRANI KWA WADHAMINI THE PEOPLE’S BANK OF TANZANIA

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA MUUNGANO DMV

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Iddi Sandaly na mweka hazina wake Bi. Jasmine Rubama wakiweka mahesabu sawa siku ya sherehe ya Muungano April 25, jioni iliyofanyika Beltsville, Maryland.Wadau mbalimbali waliohudhuria sherehe hiyo wakipata picha ya pamoja.Wadau wakipata ukodak moment.Wadau waliohudhuria sherehe hiyo wakipata picha ya pamoja.Watanzania wakijumuika pamoja na kupata picha ya kumbukumbu siku ya sherehe ya Muungano DMV iliyofanyika Jumamosi April 25, 2015 Beltsville,...

 

11 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MUUNGANO JIJINI HOUSTON,TX

Ndugu zangu Watanzania wa jiji la Houston na vitongoji vyake.Tunapenda kuwatangazia kuwa, kwa kushirikiana na timu ya mpira wa soka ya Houston,tuko mbioni katika kuandaa sherehe za Kumbukumbu ya siku ya Muungano (26/04/1964) uliopelekea kuzaliwa kwa nchi yetu pendwa TANZANIA mnamo tarehe 26 ya mwezi huu wa nne.
Sisi kama Watanzania tunaamini kuwa ni siku hii tukufu inayotupatia UTANZANIA wetu tunaojisifia, kujivunia, na hata kuupigania kote ulimwenguni.
Tafadhali rejea kiambata hapo...

 

10 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MUUNGANO KUALA LUMPUR.

Balozi wa Tanzania Nchini Malaysia Dkt. Aziz Ponary Mlima na Mrs Mkola Mlima pamoja na Wafanyakazi wa Ubalozi wakiwapokea wageni katika kuadhimisha sherehe za miaka 51 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 
Sherehe hiyo iliyofanyika katika Hotel ya InterContinental Iliyopo Kuala Lumpur ilihudhuriwa na wageni 300 wakiwepo Mabalozi, wawakilishi na viongozi mbali mbali kutoka sekta binafsi na fedha waliopo hapa Kuala Lumpur na baadhi ya wanafunzi na watanzania walioweza kushiriki.
Serikali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani