Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CRISTIANO RONALDO AMENUNUA APARTMENT KWA $18.5 MIL JIJINI NEW YORK…JE, ANAJIANDAA KWENYE MLS?

Baadhi ya wachambuzi wana-bet kwamba sio miaka mingi tutamuona Ronaldo anahamia kwenye ligi ya MLS ambayo hivi sasa inaonekana kuwa na mvuto wa kibiashara sana kwa kuwa kwenye headlines nyingi pamoja na baadhi ya ma legend kuhamia kwenye hiyo ligi.

Gazeti la New York Post limeandika kwamba Ronaldo amenunua aparment ya kifahari kwenye jiji la New York. Appartment hiyo ipo kwenye moja ya magorofa ya bilionea Donald Trump. Lakini hiyo apartment wakati Ronaldo anainunua ilikua inamilikiwa na...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Lionel Messi amgalagaza Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za La Liga

Ronaldo-Messi

Lionel Messi ametajwa kama mchezaji bora na kumpiku Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za kila mwaka za La Liga zilizotolewa jijini Barcelona, Jumatatu hii.

Ronaldo-Messi

Tuzo hizo zilizotolewa siku moja ambayo wawili hao pia walitajwa kwenye majina yaliyochujwa kwenye tuzo ya Ballon d’Or ilikuwa moja kati ya mbili zilizochukuliwa na staa huyo wa Argentina.

Naye kocha wa Barcelona, Luis Enrique alitajwa kama kocha wa mwaka.

Messi pia alishinda mshambuliaji bora huku Neymar akishinda mchezaji bora wa...

 

9 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo aonesha mapenzi kwa shabiki aliyevamia uwanjani na kumkumbatia

Mchezaji wa klabu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiwa kwenye mechi ya ligi ya mabingwa wa Ulaya dhidi ya PSG iliyochezwa jijini Paris, Ufaransa ameonesha mapenzi ya juu kwa shabiki aliyevamia uwanjani. Shabiki huyo alivamia uwanjani wakati Madrid ikipambana na PSG na alipomfikia Ronaldo, alimpokea na kumkumbatia. Hata wakati walinzi wa uwanjani wanaingia ili kumtoa, […]

 

9 years ago

Mtanzania

Cristiano Ronaldo afikisha mabao 500

Football/Soccer: Spanish "Super Cup" - Atletico de Madrid vs Real MadridMADRID, HISPANIA

NYOTA wa timu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo, amefanikiwa kufikisha mabao 500 katika historia yake ya soka baada ya juzi kuifungia klabu yake mabao mawili katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Malmo.

Mabao hayo ya Ronaldo yametokana na kucheza michezo 753 katika klabu mbalimbali pamoja na timu yake ya taifa ya Ureno.

Hata hivyo, amekuwa ni mchezaji ambaye anaongoza kwa mabao mengi katika michuano ya Ligi ya Mabingwa, huku akiwa na jumla ya mabao 82, akimuacha...

 

10 years ago

GPL

CRISTIANO RONALDO MCHEZAJI BORA ULAYA

Mchezaji nyota wa Ureno na Real Madrid, Cristiano Ronaldo akibusu tuzo yake ya Mwanasoka Bora wa Ulaya baada ya kukabidhiwa usiku wa kuamkia leo mjini Monaco, Ufaransa. Cristiano Ronaldo akifurahia.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Cristiano Ronaldo atwaa tuzo ya BBC.

Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo ya mwanamichezo bora wa mwaka wa shirika la utangazaji la BBC.

 

10 years ago

Dewji Blog

Sanamu ya Cristiano Ronaldo yazinduliwa, haifanani naye

Cristiano-Ronaldo-Statue-002

epa04536874 Portuguese soccer player Cristiano Ronaldo from Real Madrid poses during the unveling ceremony of a statue of himself in his hometown of Funchal, Madeira Island, 21 December 2014.  EPA/JOSE SENA GOULAO

Madeira is a pretty big Portuguese island that is known for two things: wine and Cristiano Ronaldo.

The Real Madrid superstar is the island’s greatest export (but if you can have wine and Ronaldo together, more power to you), and they honored him on Sunday by unveiling a statue of him. The only problem is that the statue looked nothing like him.

Cristiano-Ronaldo-Statue (1)

1.They got his free kick stance right! Kind of. It’s right based on the curve established by the rest of the statue.

2.Ronaldo has a very unique...

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 30: Cristiano Ronaldo na hatima yake katika soka

Siku hazigandi’. Huo ni usemi uliopata umaarufu nchini baada ya msanii, Judith Wambura Lady Jadyee kutoka na wimbo wenye kubeba maneno hayo.

 

10 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo aachana na mpenzi wake Irina Shayk

Mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameachana na mpenzi wake raia wa Urusi, Irina Shayk. Wawili hao wamedumu kwa kipindi cha miaka mitano. “Tunathibitisha kuwa Irina Shayk amevunja uhusiano wake na Cristiano Ronaldo,” mwakilishi wake aliiambia Page Six jana. Tetesi za kuachana kwa mastaa hao zilianza kuvuma baada ya Shayk kutoonekana akiwa na Ronaldo kwenye […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani