CUF yaijia juu tume
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaweza kutetereka kama Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) itaendelea kufanya kazi ya kuisaidia CCM kufikia malengo ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Simba SC yaijia juu TFF
10 years ago
Habarileo26 Mar
TAJA yaijia juu MCT, washirika wake
CHAMA cha Waandishi wa Habari Tanzania (TAJA) kimeshutumu kile kilichodai ni mlolongo usiokwisha wa kukwamisha jitihada za serikali, zinazolenga kuendeleza tasnia ya habari, ikiwamo kutoa uhuru wa habari.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BfggQF4VMfc/XqvYngmvlTI/AAAAAAALovg/Hx-5YnxfrcUwYLB_H3cM9okNGaOELWC0QCLcBGAsYHQ/s72-c/qw.jpg)
SERIKALI YAIJIA JUU NTV KENYA KWA KUPOTOSHA TAARIFA ZA CORONA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BfggQF4VMfc/XqvYngmvlTI/AAAAAAALovg/Hx-5YnxfrcUwYLB_H3cM9okNGaOELWC0QCLcBGAsYHQ/s400/qw.jpg)
Charles James, Michuzi TV
KATIBU MKUU Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbas amekijia juu chombo cha habari cha NTV kwa kutoa taarifa alizoziita za uzushi kuhusiana na maendeleo ya ugonjwa wa Corona nchini.
Kupitia akaunti yao ya Twitter NTV waliweka taarifa inayosema idadi ya watu wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona jijini Dar es Salaam kwa siku ni 50 jambo ambalo Dk Abbas amelikanusha akisema ni uongo.
" Watu 50 wanakufa kwa siku...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-g55acd_ZP6o/VZmBbwFzBmI/AAAAAAAHnLI/O96jVgF3zCo/s72-c/kk.png)
Klabu ya Kimondo Super Sports yaijia juu yanga kwa usajili wa mchezaji wake Geofrey Bahati Mwashiuya
![](http://2.bp.blogspot.com/-g55acd_ZP6o/VZmBbwFzBmI/AAAAAAAHnLI/O96jVgF3zCo/s400/kk.png)
Klabu inasikitishwa saana na habari/taarifa zenye mkanganyiko zinazotolewa na msemaji wa timu ya Yanga,Katibu wa timu ya Yanga na mchezaji wetu Geofrey Mwashiuya katika vyombo mbalimbali vya habari;Jerry Muro alisikika katika vyombo vya habari akijinadi...
9 years ago
GPLCUF WAZIDI KUIBANA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR
9 years ago
StarTV31 Oct
CUF wamtaka Mwenyekiti wa tume ya ZEC kubatilisha uamuzi wake
Chama cha wananchi CUF kimemtaka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Zanzibar, Jecha Salum Jecha kubatilisha uamuzi wake wa kufuta matokeo ya uchaguzi Visiwani humo, na kuitisha uchaguzi mpya ndani ya siku 90.
Chama hicho kimesema hakitambui uamuzi huo kwa kuwa umekiuka baadhi ya vifungu vya katiba kwa kutoa uamuzi usioshirikisha wajumbe wengi wa tume hiyo.
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Twaha Taslima alitoa tamko la chama hicho Jijini Dar es Salaam kuhusiana na uamuzi huo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/90CXu9YQeFE/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Jan
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yaanza kuchunguza tukio la kukamatwa kwa wananchi walioshiriki mkutano wa CUF
Tume imesikitishwa na matukio yaliyotokea tarehe 27/01/2015 huko Mbagala Wilaya ya Temeke Dar-es-Salaam, matukio ambayo yameoneshwa na Kituo cha Televisheni cha “Channel Ten” ambayo yameashiria uvunjifu wa haki za binadamu.
Mnamo majira ya saa kumi na robo hadi kumi na nusu jioni, Kituo cha TV cha “Channel Ten” kilirusha picha zilizoonesha kupigwa na Polisi baadhi ya wananchi waliokamatwa kwa kile kilichoelezwa kushiriki mkutano wa Chama cha Wananchi (CUF) uliosemekana kuwa si halali.
Tume...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vh-a-2XiU-k/VVypBvGsC5I/AAAAAAADTZo/tQNKTNZrvhA/s72-c/MB1.jpg)
TUME ya haki za binadamu yatoa taarifa ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Jeshi la Polisi za kuwapiga na kuwazalilisha Viongozi na Wafuasi wa CUF
![](http://1.bp.blogspot.com/-vh-a-2XiU-k/VVypBvGsC5I/AAAAAAADTZo/tQNKTNZrvhA/s640/MB1.jpg)