CUF yavuna Tabora
Na Mwandishi wetu
Chama Cha Wananchi (CUF) kimevuna wanachama zaidi ya 400 kutoka vyama mbalimbali vya siasa kikiwemo Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya Chama hicho kufika katika maeneo yaliyokumbwa na operesheni iliyoacha kaya zaidi ya 300 zikiwa hazina nyumba,vyakula wala nguo baada ya kuchomwa moto na askari wanaodaiwa kuwa ni wa maliasili kwa kile kilichodaiwa kuwa walikuwa wakiishi ndani ya hifadhi ya msitu wa Ogala.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki katika Vitongoji saba...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AL-n5SYWKfk/XtyBrBqsscI/AAAAAAALs3s/HBO-Lpfffe8L2Vei490BUtbFyosygFbsACLcBGAsYHQ/s72-c/92a9364d-a999-4636-8398-0a1c62b8edb3%25281%2529.jpg)
CCM YAVUNA VIGOGO CUF NA ACT WAZALENDO
![](https://1.bp.blogspot.com/-AL-n5SYWKfk/XtyBrBqsscI/AAAAAAALs3s/HBO-Lpfffe8L2Vei490BUtbFyosygFbsACLcBGAsYHQ/s640/92a9364d-a999-4636-8398-0a1c62b8edb3%25281%2529.jpg)
"Nikiwa na...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Mahakama Kuu Tabora yawabana wanachama wa CUF
9 years ago
StarTV04 Nov
 CUF kwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi Tabora mjini.
Chama cha Wananchi CUF Mkoa wa Tabora kimeazimia kufungua kesi mahakamani mapema wiki hii kupinga matokeo ya ubunge dhidi ya mgombea wa CCM aliyetangazwa kuwa mshindi wa Jimbo la Tabora Mjini.
Kauli hiyo imetolewa kutokana na kile kilichodaiwa kuwa mgombea wa CUF alipata kura nyingi zaidi ya mgombea wa Chama cha Mapinduzi.
Aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Tabora mjini kupitia CUF chini ya mwamvuli wa UKAWA, Peter Mkufya akisisitiza kwenda mahakamani kwa kile kinachodaiwa kuporwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6o6J2-cSbJ0/XlK5odK6uFI/AAAAAAALe7w/Q2Z0S7v58W0iRwfjmMxuvi8__ThrKKcLgCLcBGAsYHQ/s72-c/5ce63347-27d7-4bfd-826d-80c592474e51.jpg)
Maji ya Ziwa Victoria Kufika Tabora sio ndoto tena, ni kweli tumeyaona- Wananchi wa Tabora
![](https://1.bp.blogspot.com/-6o6J2-cSbJ0/XlK5odK6uFI/AAAAAAALe7w/Q2Z0S7v58W0iRwfjmMxuvi8__ThrKKcLgCLcBGAsYHQ/s640/5ce63347-27d7-4bfd-826d-80c592474e51.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-35.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Jun
KUELEKEA MAJIMBONI : Mkoa wa Tabora hali si nzuri kwa Ukawa majimbo ya Uyui, Tabora na Igalula
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Simba yavuna sare Mbeya
TIMU za Simba na Mbeya City, jana zilishindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mechi kali iliyokuwa na ushindani dakika zote 90 iliyopigwa Uwanja wa Sokoine, mjini...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Wanachama-wapya.jpg)
PSPF YAVUNA WANACHAMA VOWET
11 years ago
Mwananchi19 Apr
NBC yavuna faida kabla ya kodi
10 years ago
Mwananchi23 Apr
ACT yavuna wanachama wapya 6,000