Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAVINA: KULEA KUMENIKOSESHA DILI

Na Gladness Mallya
STAA wa Bongo Movie, Halima Yahaya ‘Davina’ amefunguka kuwa mwaka 2013 aliutumia zaidi kwa kulea mimba hadi kujifungua hivyo kukosa madili ya kazi za uigizaji. Halima Yahaya ‘Davina’. Akizungumza na paparazi wetu, Davina alisema mwaka huu amejipanga kurejea upya katika sanaa kwani amegundua kuwa mashabiki wake walikuwa wamemmisi hivyo lazima apambane kutetea taito yake katika sanaa....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi

Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.

Gazeti hilo limedai kuwa Davina  alisema kuwa  anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.

Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...

 

10 years ago

Habarileo

Jamii yaaswa kulea yatima

JAMII imetakiwa kushirikiana kwa pamoja kulea yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi kutokana na wengi wao kutokuwa na wazazi huku walezi wao wakiwa hawana uwezo wa kuwapatia mahitaji ya msingi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkibeba mimba mjue kulea watoto

KATIKA makala zangu za huko nyuma kupitia kona hii, niliwahi kuandika kuhusu baadhi ya akinadada ambao licha ya kutambua wazi kuwa sio vigori tena kwa maana wamekwishazaa, lakini bado wanataka...

 

10 years ago

Habarileo

‘Jukumu la kulea yatima ni la kila mtu’

JUKUMU la malezi ya watoto yatima na waishio katika mazingira magumu nchini linapaswa kutekelezwa na kila Mtanzania pamoja na taasisi mbalimbali nchini ili kupunguza wimbi la wananchi tegemezi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Umasikini kikwazo cha kulea watoto China

Wazazi wengi wanawapeleka watoto wao katika makao ya kuwahifdhi watoto kutokana na umaskini mkubwa

 

10 years ago

Habarileo

Kituo cha kulea watoto chakatiwa maji

KITUO cha Kulea Watoto Wenye Ulemavu cha Buhanghija Jumuishi katika Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa, kimekatiwa maji na Mamlaka ya Majisafi na Mazingira (Shuwasa) baada ya kudaiwa Sh milioni 8 za matumizi ya maji.

 

10 years ago

Mtanzania

Saba wakamatwa kwa kulea watoto Moshi

NA UPENDO MOSHA, MOSHI

JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu saba wanaodaiwa kuwa ni wamiliki wa vituo vitatu vilivyogundulika kuhifadhi watoto 147 kwa siri Katika Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alitoa taarifa hiyo jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.

Alisema kwamba, watu hao wanashikiliwa kwa kosa la kulea watoto katika mazingira hatarishi na kusababisha wengine wasiendelee na masomo kinyume cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuimarishe mafundisho ya dini kulea watoto wetu

Mwandishi mmoja wa gazeti hili aliwahi kuandika makala kuhusu nafasi ya mafunzo ya dini katika kuliandaa Taifa lenye maadili mema.

 

11 years ago

Habarileo

Washutumiwa kwa kulea wanafunzi wasio na nidhamu

WAMILIKI wa shule na vyuo visivyo vya Serikali, wamelalamikia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kwa kulea wanafunzi wasio na nidhamu mashuleni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani