DC Kahama aagiza kuchunguzwa hukumu tata mimba za wanafunzi
MKUU wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Benson Mpesya, ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani hapa kuchunguza upya kisha kuwasaka na kuwafungulia upya mashtaka watuhumiwa wote wa kuwapa mimba wanafunzi ambao...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Mar
Rais aagiza waathirika Kahama kujengewa
RAIS Jakaya Kikwete ameagiza Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kuwajengea nyumba 403 mpya waathirika waliobomolewa nyumba zao na mvua kubwa ya mawe na upepo mkali iliyonyesha usiku wa Machi 3, katika vijiji vitatu vya Kata ya Mwakata, Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Mimba za wanafunzi zamshtua JK
RAIS Jakaya Kikwete ameshtushwa na kiwango kikubwa cha wanafunzi katika Mkoa wa Ruvuma kushindwa kumaliza shule kwa sababu mbalimbali ukiwemo utoro na mimba. Utoro na mimba za wanafunzi ni mambo...
9 years ago
Habarileo21 Aug
Wanafunzi wafundwa kuepuka mimba
WANAFUNZI wa shule za msingi na sekondari wilayani Namtumbo wametakiwa kujiepusha kushiriki katika vitendo vinavyoweza kukatisha ndoto zao kama vile mimba za utotoni na kupata virusi vya Ukimwi.
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Mimba zakwaza ndoto za wanafunzi Newala
MIMBA za umri mdogo ambazo zimekuwa zikiwakatisha wanafunzi masomo Wilaya ya Newala, mkoani Mtwara bado ni tatizo. Matukio ya mimba hizi kwa wanafunzi mbali ya kuwakatisha masomo yao, zimekuwa zikitishia...
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Sep
Wanafunzi wadungwa sindano kuzuia mimba
NA MWANDISHI WETU
WAKATI taifa likihaha kusaka tiba ya mimba za utotoni ili kuwezesha watoto wa kike kupata elimu, baadhi ya wauguzi wilayani Newala, Mtwara, wameibuka na mbinu mpya.
Wauguzi hao wanadaiwa kuwachoma sindano za uzazi wa mpango wanafunzi wa shule za msingi, kinyume cha utaratibu kwa lengo la kuwakinga na mimba zisizotarajiwa.
Hayo yamebainika kupitia taarifa ya Matokeo ya Ripoti ya Utafiti uliofanywa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA).
TAMWA iliendesha...
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Mimba zawatoa wanafunzi shuleni Tanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NlRXtxQNYXQ/XteS9B9HFkI/AAAAAAALsdA/Evy_01Fv0sI_S9uYd6CGUehTpyyx6vRrgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
NDALICHAKO AAGIZA WANAFUNZI KUPEWA MIKOPO KUFIKIA JUNI 5,2020
Waziri Ndalichako ameyasema hayo leo Juni 3, 2020 jijini Dar es Salaam wakati akikabidhi magari manne kwa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) ambacho ni miongoni mwa vyuo vinne vitakavyonufaika na mkopo huo wa Benki ya Dunia kupitia mradi wao wa...
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Mimba shuleni zinavyowatesa wanafunzi Mkoa wa Rukwa
9 years ago
Habarileo07 Jan
‘Madaktari wanaotoa mimba wanafunzi wafukuzwe kazi’
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kufukuzwa kazi kwa madaktari na wahudumu ya sekta ya afya katika hospitali ya mkoa wa Ruvuma, wanaojihusisha na vitendo vya utoaji mimba kwa wanafunzi na hata watu wazima.