Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DCI: Bomu lililojeruhi polisi ni la kienyeji

NA GIDEON MWAKANOSYA Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Issaya Mngulu, (pichani) amesema bomu waliorushiwa polisi wanne limetengenezwa kienyeji. Hata hivyo, amesema bomu hilo limetengenezwa kitaalamu zaidi kuliko mabomu mengine yaliyotengenezwa kienyeji na kulipuliwa katika baadhi ya maeneo nchini, lakini akasema hadi sasa hakuna anayeshikiliwa kwa tuhuma hizo. Alisema hayo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi ya polisi Mkoa wa...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Jeshi la polisi nchini lathibitisha kuwa mlipuko uliowajeruhi askari polisi Songea ni bomu la kienyeji

Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai kamishina wa polisi Isaya Mngulu akizungumza na waandishi wa habari leo mjini mjini Songea mkoani Ruvuma---------------------Na Nathan Mtega wa demasho.com,Songea
JESHI la polisi chini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa kinadaiwa kuwa nio bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16 mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na kuwajeruhi askari polisi watatu kati ya wanne waliokuwa doria kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono...

 

10 years ago

Mtanzania

Hali za polisi mbaya, DCI Mungulu ashutushwa

Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu

Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu

Na Amon Mtega,  Songea

HALI  za askari polisi watatu waliolazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma, baada ya kujeruhiwa na bomu lililotengenezwa  kienyeji imeelezwa kuwa ni mbaya.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Issaya Mungulu alisema jopo la madaktari linaendelea kutoa matababu kwa askari hao.

Aliwataja askari ambao hali zao si nzuri kuwa ni  kuwa G7351 PC Ramadhan ,WP...

 

11 years ago

Mwananchi

Ajira Jeshi la Polisi zisitolewe kienyeji

Tumeguswa mno na hatua ya Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ya kuwafukuza kazi askari wake wanne kwa kushirikiana na majambazi kufanya uhalifu.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi Tabora wakamata bunduki 9 za kienyeji

JESHI la Polisi mkoani Tabora limeendelea kuimarisha ulinzi na usalama katika msimu wa sikukuu za mwishoni mwa mwaka na kufanikiwa kukamata bunduki tisa za kienyeji aina ya gobori wilayani Nzega.

 

11 years ago

Michuzi

Waziri Chikawe, IGP, DCI wala kiapo cha kuwa wajumbe wa Tume ya utumishi ya Jeshi la Polisi na Magereza

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Mathias Chikawe akila kiapo cha kuwa Mwenyekiti wa Tume ya utumishi ya Jeshi la Polisi na Magereza mbele ya Jaji wa Mahakama kuu Mhe. Njengafibili Mwaikugile jijini Dar es Salaam jana .Tume hiyo inashughulikia masuala ya kiutumishi kwa askari polisi na Magereza.Katikati ni Msajili wa Mahakama kuu Bw.Benedict Mwingiwa  Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akila kiapo cha kuwa mjumbe wa Tume ya utumishi ya Jeshi la Polisi na Magereza  mbele...

 

11 years ago

Michuzi

Utapeli wachukua sura mpya Iringa, mtandao wa waganga wa kienyeji matapeli wawatapeli wenzao 60 kwa kujifanya maofisa wa polisi

Na  Francis Godwin blog  Iringa .
UTAPELI   sasa  wachukua sura mpya mkoani Iringa badaa ya baadhi ya  waganga wa  tiba asilia (Sangoma) kugeuziana  kibao  wenyewe kwa wenyewe kwa  kuanza  kufanyiana  utapeli wa kutisha  ikiwa ni pamoja na kujifanya maofisa wa  polisi na  kuwatapeli fedha  wenzao  zaidi ya 60.
Imedaiwa  kuwa  waganga  hao matapeli  wana mtandao wao na wamekuwa  wakiwatumia askari  wasio na maadili ya  jeshi la  polisi kwa  kwenda  kuwatisha  waganga  wachanga kwa madai kuwa ...

 

10 years ago

Mwananchi

Alipukiwa na bomu akishambulia polisi

>Mtu mmoja mwanaume ambaye jina lake halikufahamika mara moja, amefariki dunia baada ya kulipukiwa na bomu wakati akijaribu kuwarushia polisi waliokuwa doria wakati wa Sikukuu ya Krismasi katika Kata ya Majengo, mjini hapa

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi watatu wapigwa bomu

IGP Mangu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu

NA AMON MTEGA, SONGEA

ASKARI polisi watatu wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma baada ya kujeruhiwa vibaya kwa kupigwa na kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu la kurushwa kwa mkono.

Tukio hilo la kusikitisha limetokea juzi saa moja jioni katika Mtaa wa Mabatini wakati askari hao wakifanya doria.

Akizungumza na MTANZANIA akiwa njiani kwenda mjini Songea, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mungulu, alikiri kutokea tukio hilo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wagundua bomu jingine

Polisi nchini Misri wameleezea bomu lililo lipua basi la abiria na pia wagundua bomu jingine lililotegwa eneo la karibu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani