DENTI ANAYEDAIWA KUPIGWA NA DIWANI HOI HOSPITALINI!
![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa5SAVbbxLmYhPYGufjjff2JcSn3mVBR-wHZi1unZmtFQWhOBy7yafJ8CqyROjwSxTOYMO8kIk3rz3MhOu3*P22N/hoi.jpg?width=650)
Deogratius Mongela na Chande Abdallah DENTI wa Chuo cha Ubaharia (EMI) kilichopo Posta jijini Dar, Alpha Mohamed (18) aliyedaiwa kupigwa na Diwani wa Kata ya Sinza kwa ‘leseni’ ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Renatus Pamba, ‘Mr Simple’, bado yu hoi katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar. Denti ,Alpha Mohamed (18) anayedaiwa kupigwa na Diwani wa Kata ya Sinza kwa ‘leseni’ ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Oct
Anayedaiwa kupigwa na mumewe baa afariki dunia
MWANAMKE Sakina Kopa (41) amefariki dunia siku tatu baada ya kupigwa na kujeruhiwa na mumewe anayedaiwa kuchukizwa kwa kumkuta akiwa baa usiku. Aidha, katika tukio jingine linalohusishwa na wivu, dereva wa bodaboda amemjeruhi kwa visu mpenzi wake ambaye ni Mwalimu, na baada ya kudhani amemuua, naye alijichoma kisu hadi utumbo kutoka nje, ingawa bado yu hai.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cuT-TTxkGKgnaBIpy3BBNskzYv8i6ZBnzSOpDVPwddvzUBfPNL2YZBcyH7KmPr6oTcJWhWjT7WcvhuShmJJrHov/diwani.jpg)
DIWANI AMSHUSHIA KIPIGO DENTI
10 years ago
Michuzi29 Jul
KAMANDA WA POLISI DODOMA AKANUSHA UVUMI WA KUFARIKI DUNIA JOSEPH ELIAZA CHILONGANI ANAYEDAIWA KUPIGWA NA MH. JOB NDUGAI
Mnamo tarehe 28.7.2015 majira ya jioni JOSEPH ELIAZA CHILONGANI alifika katika kituo cha Polisi Kibaigwa akilalalmika kuwa wakati wakiwa kwenye kampeni za kujinadi kwa wanachama kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM alishambuliwa kwa fimbo sehemu za kichwani na tumboni na JOB YUSTOO NDUGAI (MB).
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamiz wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema mtu huyo aliyejeruhiwa alipewa PF3 na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--wvmopa_I2Y/VQZ0w-tVo-I/AAAAAAABIVc/B2RCKR0VcUc/s72-c/unnamed.jpg)
KAMANDA WA POLISI DODOMA AKANUSHA UVUMI WA KUFARIKI DUNIA JOSEPH ELIAZA CHILONGANI ANAYEDAIWA KUPIGWA NA JOBU YUSTOO NDUGAI (MB).
![](http://3.bp.blogspot.com/--wvmopa_I2Y/VQZ0w-tVo-I/AAAAAAABIVc/B2RCKR0VcUc/s1600/unnamed.jpg)
Na. Lakia Ndwellah wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Mnamo tarehe 28.7.2015 majira ya jioni JOSEPH ELIAZA CHILONGANI alifika katika kituo cha Polisi Kibaigwa akilalalmika kuwa wakati wakiwa kwenye kampeni za kujinadi kwa wanachama kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM alishambuliwa kwa fimbo sehemu za kichwani na tumboni na JOBU YUSTOO NDUGAI (MB).
Kamanda wa...
9 years ago
Bongo514 Nov
New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi
![12237221_1669908713222926_427056748_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237221_1669908713222926_427056748_n-300x194.jpg)
Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuqLUrvGPGq-aJH4-bAyeVPpha32fCs1QuQ*7V8CwozY80HRqSv2lSCh3QaZsd7U9*guVmH8Onpq8-VLt*1GFvE7/MCHAWI.jpg)
ANAYEDAIWA MCHAWI ADONDOKEA KANISANI
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Anayedaiwa kuchomwa moto afariki dunia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg0g8vXOg-GNwNJiZ2FGxJA8JmPUe9IaEs1fw5xLkMwTMQ1WzyCPzGMrt0NI6XjYGvGeat6xhj7FVEfa291lIfce/MWINGIRA.jpg?width=650)
ANAYEDAIWA KUZAA NA MWINGIRA AZUA MAPYA