DIAMOND NUSURA ACHOMWE KISU!
![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3wbVtrmvcpD56TY4KRztRErYs2yCTXBdiJKsF0FzQQ71fEXtAXStFJLlCKlE3RvrWpwPQuYbffEOoEZGuLuHI9i/FRONTJUMAMOSI90.jpg?width=650)
STORI: MUSA MATEJA, GLADNESS MALLYA NA HAMIDA HASSAN. Licha ya kuiletea sifa kubwa Tanzania kwa kutwaa tuzo tatu za Channel O, mkali anayekimbiza katika anga la muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amenusurika kuchomwa kisu baada ya kushuka kwenye gari na kujichanganya na mashabiki wake. Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ akisndikizwa na mashabiki wake...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-avMHSeAYUQM/UzbyVfh6DRI/AAAAAAACeps/A36ut0Iz6sc/s72-c/michael.jpg)
MICHANGO IMESHINDIKANA MPENDWA WETU MIKE LUKINDO IMEBIDI ACHOMWE MOTO MADISON, WISCONSIN
![](http://3.bp.blogspot.com/-avMHSeAYUQM/UzbyVfh6DRI/AAAAAAACeps/A36ut0Iz6sc/s1600/michael.jpg)
Watanzania wa Wisconsin wanapenda kutoa shukurani kwa wote waliojaribu kuokoa kutokuchomwa moto kwa ndugu yetu, mpendwa wetu Mike Lukindo na pamoja na jitihada zote zilizofanyika tunasikitika kuwataarifu kwamba mpendwa wetu ilibidi achomwe moto na jana Ijumaa April 4, 2014 majivu yake walikabidhiwa familia yake kwa mtoto wa kwanza wa marehemu kwenda kuchukua majivu hayo. Mpaka mazishi yafanyike zilikua zinahitajika $6,000 pamoja na michango ya sisi tuliopo...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-avMHSeAYUQM/UzbyVfh6DRI/AAAAAAACeps/A36ut0Iz6sc/s1600/michael.jpg?width=550)
MICHANGO IMESHINDIKANA MPENDWA WETU MIKE LUKINDO IMEBIDI ACHOMWE MOTO MADISON, WISCONSIN
Mike Lukindo enzi ya uhai wake. Watanzania wa Wisconsin wanapenda kutoa shukurani kwa wote waliojaribu kuokoa kutokuchomwa moto kwa ndugu yetu, mpendwa wetu Mike Lukindo na pamoja na jitihada zote zilizofanyika tunasikitika kuwataarifu kwamba mpendwa wetu ilibidi achomwe moto na jana Ijumaa April 4, 2014 majivu yake walikabidhiwa familia yake kwa mtoto wa kwanza wa marehemu kwenda kuchukua majivu hayo. Mpaka mazishi yafanyike...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIYxCRvXu3fCizytbuCp2xiigobSYAwqzZkkDXnn8lGxzgFHb2qhYS-HyooFp6sZ2Fefz8vRhqukpu0SXKSbke46/denti.jpg?width=650)
DENTI AJICHOMA KISU!
Stori: Musa Mateja
LOO! Mwanafunzi wa Chuo cha T.I.A tawi la mkoani Singida, Moza Kasim Mohemed (20) ambaye ni mkazi wa jijini Dar es Salaam, amejichoma kisu tumboni kwa madai ya kuchoshwa na usaliti wa mpenzi wake aitwaye Joel ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho. Moza Kasim Mohemed akiwa hoi baada ya kujichoma kisu cha tumbo. Tukio hilo la kushangaza lilitokea usiku wa kuamkia Oktoba 10, mwaka huu maeneo ya Jovena katika...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JgWHSTt60eu8IdRyLLb35CEFqhAIia2rHbjAvOWRH-Qsih4TjvNh1ZtRyjtI2zxYj2FM2yfnHVgZIW3UTkkufjoWGVC6MlWN/KISU.jpg?width=650)
ACHOMWA KISU AKIMTETEA MKEWE!
Chande Abdallah na Gabriel Ng’osha Inasikitisha! Kijana aliyefahamika kwa jina la Khalid Abdallah (30) mkazi wa Kigogo Sambusa jijini Dar, amefariki dunia kwa kuchomwa kisu na mtu aliyefahamika kwa jina la Amani huku mkewe aitwaye Aisha akishuhudia. Marehemu Khalid Abdallah enzi za uhai wake. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni saa 5 usiku maeneo ya kota za Karume jijini Dar ambapo inadaiwa Khalid alikuwa katika jitihada za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGEL7fUSpggh6kbUgLNTQwLGcYt3pUq7Md6303qUGjZdyS*slmQBiaJZaKRho6YItU5xOJ4CVtaCSFrhWyxoBCGI/achomwaafa.jpg?width=650)
ACHOMWA KISU, AFIA POLISI
Stori: Denis Mtima na Mayasa Maliwata INATISHA sana! Renard Mabula, mkazi wa Kiluvya jijini Dar es Salaam amekufa ndani ya Kituo cha Polisi cha Gogoni, Kinondoni jijini Dar es Salaam baada ya kukimbilia hapo kufuatia kuchomwa kisu tumboni na mtu aliyetajwa kwa jina la Moleli (22), Uwazi lina mkanda kamili. Kwa mujibu wa habari za kipolisi, tukio hilo lilijiri Februari 11, mwaka huu, Gogoni ambako ndiko kwenye makazi ya mtuhumiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVGnhM71mrtL3LvPfgUr7yI1x44j3JDeetp3bjhohzMMk1ibWTtuPbzYsIEwN07Q0t-SdnhE4f0E9OhSX8yaQZX0/5.jpg?width=650)
MUME ALIVYOMCHOMA KISU HAWARA
Richard Bukos na Makongoro Oging’/Uwazi
Habari zilizolitikisa Jiji la Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita ni pamoja na ile ya mkazi wa Chamazi, Hussein Mfaume, kumchoma visu hawara yake, Ester Thomas Ungele (30), naye kujichoma mpaka kujitoa utumbo, Uwazi limeichimba kwa kina. Hawara akipelekwa hospitali baada ya kuchomwa kisi. Habari zilidai kuwa, kisa hasa cha mwanaume huyo kujichukulia uamuzi huo wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhZz03yUMJmMG83kYq2UxAbhMn4NI6*jrKkDb5L*tzinvAbL9I4d8*HKUS*Gft7KAYEqHEqi3ZO4xr6eafjjW8T/mrembo.jpg?width=650)
MREMBO NUSURA ABAKWE
Mrembo aliyevaa kivazi cha ajabu kilichoacha wazi sehemu zake nyeti akisaidiwa na wasamaria wema baada ya kuvaa khanga. Stori:Â Issa Mnally na Richard Bukos
MREMBO wa haja ambaye jina halikupatikana amenusurika kubakwa na wanaume baada ya kuvaa kivazi kilichoacha wazi sehemu kubwa ya maungo yake nyeti.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oj4MhhoM4fRmHK4RfZkmN4BxCouCYkpaO-OV4leUSbREhKJboJW7t5GIqUeUJP8v-UY9I22BISlSIQHpzRBo00XVjrx5ZlFL/hausegirl.jpg)
HAUSIGELI NUSURA AUAWE
Makongoro Oging’ na Shani Ramadhan
Msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli), Rehema Ally (17), mkazi wa Yombo, Machimbo Mwisho, Ilala jijini Dar, amechanwachanwa kwa wembe na kisu sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyosababisha alazwe katika Hospitali ya Amana kwa matibabu. Rehema Ally akiwa na majeraha mwilini mwake baada ya kujeruhiwa. Akizungumza na Uwazi nyumbani kwa mwajiri wake aliyejulikana kwa jina moja la...
9 years ago
BBCSwahili10 Oct
Kijana aliyewadunga kisu Waisraeli auawa
Polisi wa Israeli wanasema kuwa kijana Mpalestina amewadunga kisu Waisraeli wawili mjini Jerusalem.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania