DIAMOND, ZARI MAHABA MAZITO
![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbUX6kybPRzRtT7WJDsvb6If7s4wQ396PrlL4WMQebRKuwIf02OfEYttX3pR2gyJQINE5jevJVDXXlEsrYgrle5J/diamond.jpg)
Stori: Hamida Hassan na Musa Mateja Siku chache baada ya kumwagwa na Wema Isaac Sepetu ‘Beautful Onyinye’, Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amenaswa kwenye mahaba mazito na msanii, mtangazaji, mjasiriamali, tajiri na mrembo mkali kuliko wote Afrika Mashariki, Zarinah Hassan a.k.a Zari au Boss Lady. Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akimhagi msanii mrembo mkali...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfYWJIKT6Jcj821nEncLVmshdTpGnRF6697qNyGVvBjVWPwyYfPN1AWB3Flo4BhU2KXNG8sOlHe9Hckkqfe1RldB/MOND.jpg?width=650)
ZARI, DIAMOND MAHABA KWEUPE UGANDA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3LMHhNcLVJQ8kg1xLn*TPI0HBF7JQul6CXJwhvZYTZFJmtOLypxFebGDbErD5Occ2r-EC588aQ8kc33x4t0MaJV/RisasiJumamosifrontpdf.jpg)
MADAI MAZITO: UTAJIRI WA ZARI MAGUMASHI
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s72-c/Africanjam2.jpg)
TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s1600/Africanjam2.jpg)
Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
DIAMOND APEWA OFA YA $40,000 AMWACHE ZARI, NJEMBA LAPOST SCREENSHOT YA ZARI AKILIOMBA MKWANJA!
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/10888399_10205933029869831_1858120712732123108_n.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1b.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1a.jpg)
9 years ago
Bongo Movies22 Nov
Diamond, Kajala Mahaba Niue!
NI gumzo! Ubuyu motomoto ambao unasambaa kwa kasi ya ajabu kama moto wa kifuu mjini unadai kuwa, staa nambari moja Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwigizaji Kajala Masanja wamedaiwa kuwa ni wapenzi na sasa ni mahaba niue, Risasi Jumamosi limesheheni full stori.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini, uhusiano wa Diamond na Kajala unadaiwa kuibuka ghafla miezi kadhaa iliyopita lakini wamekuwa wakifanya siri nzito kabla ya hivi karibuni kukolea zaidi baada ya mpenzi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHfqJJNDToDPjVJnYm4WBx*yj2vW596Yk3K*ot6-3pHrm0dl4NqVyiC-beczysWm2xbFU4od6C6Iu-HhI-Ie4JI/diamond.jpg?width=650)
WEMA, DIAMOND MAHABA BARABARANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN5kSAfPiX-F-dW32NKJzXo9KdozfsV9FaDYLH3*t99UoHgaDoN448PpOcyRa0BrO79JNPFxUnwhXdOk2Qbzi19P/dimond.jpg)
WEMA, DIAMOND WAZINDUA GARI KWA MAHABA
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Wema ‘akana’ kuwa na ujauzito wa Diamond! Ila afunguka haya mazito, soma hapa
Baada ya stori nyingi kuzagaa kuwa mwigizaji na mpenzi halali wa mwanamuziki wa bongo fleva Diamond Platinumz – Wema sepetu kuwa yu mjamztio wa wiki 7 na mimba ya msanii huyo, hatimaye leo hii mwanadada Wema ameamua kufunguka “exclusively” kwenye mtandao mmoja wa kijamii na kujibu habari hizo akisema haya yafuatayo kama tunavyomnukuu hapo chini…
“Jamani hizi habari za mimi kuwa pregnant(mjamzito).... sijui watu wanatolea wapi... Im NAT(NOT)... Dah... I wish I was... But im nat wapenzi...