Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diwani pekee wa TLP Arusha atimuliwa

Michael KivuyoDIWANI pekee wa kuchaguliwa wa chama cha Tanzania Labour (TLP) mkoani Arusha, Michael Kivuyo wa Kata ya Sokon 1 amevuliwa uanachama kwa kile kinachoelezwa kushindwa kusimamisha wagombea wenyeviti wa Serikali za Mitaa utaotarajiwa kufanyika Jumapili ijayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

DIWANI WA TLP LUPINGU ASEMA YEYE SI MPINZANI ,AMFAGILIA MBUNGE FILIKUNJOMBE KWA KASI YA MAENDELEO


Na  Francis Godwin Blog.

DIWANI  wa  chama   cha Tanzania Labour Party (TLP) kata ya  Lupingu  wilaya ya  Ludewa mkoani  Njombe  John Kiowi amempongeza  mbunge wa  jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe kwa jitihada zake   anazozifanya katika  kuwapelekea maendeleo wananchi wa Ludewa  huku akiwashangaa   wapinzani wanaopinga  jitihada  mbali mbali  zinazofanywa na serikali ya  chama  cha Mapinduzi (CCM) na  kudai  kuwa  yeye  si mpinzani wa uchwara wa  kupinga  maendeleo .
Akizungumza   na...

 

11 years ago

Daily News

TLP sacks three district officials in Arusha, loses office to mounting debt


TLP sacks three district officials in Arusha, loses office to mounting debt
Daily News
TANZANIA Labour Party (TLP) has sacked three district leaders in Arusha for allegedly causing conflicts. Arusha Regional TLP Chairman, Mr Leonard Makanzo, named the leaders who were kicked out as Mr Michael Kivuyo, Sokoni-One Ward representative, ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani CCM Arusha atimkia CHADEMA

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jijini Arusha kimepata pigo baada ya aliyewahi kuwa Diwani wake, Amos Mwanga kutimkia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mwanga alisema jana ameamua kujiunga na CHADEMA...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Meya, Diwani wachapwa vibao na mgambo Arusha

NAIBU Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa Kata ya Levelosi, Ephata Nanyaro (wote CHADEMA), wamepigwa na kujeruhiwa na askari wa jiji (mgambo). Kutokana na tukio hilo,...

 

10 years ago

TheCitizen

TLP member for presidency

>Tanzania Labour Party (TLP) will field a presidential candidate in the forthcoming general election, it has been said.

 

10 years ago

Michuzi

SIJAFUKUZWA UANACHAMA WA TLP-MREMA


Mwenyekiti   wa chama cha Tnzania Labour Part (TLP) Agustino Mrema akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo)   katika mkutano uiliofanyika kwenye ukumbi wa Idara ya Habari MELEZO kuhusu kukanusha  kuwa yeye amefukuzwa TLP,Kushoto Mkurugenzi wa Msaidizi wa Idara ya Habari Maelezo,Kulia ni Katibu Mkuu wa TLP,Nancy Mrikariya.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
MWENYEKITI wa Chama cha Tnzania Labour Party (TLP) Agustino Mrema,amesema hajafukuzwa unachama katika chama hicho.
Mrema aliyasema hayo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanachama TLP walia na Mrema

WANACHAMA wa Tanzania Labour Party (TLP), wamemjia juu Mwenyekiti wao, Augustino Mrema, kwa madai anang’ang’ania madaraka huku akishindwa kuitisha uchaguzi mkuu kama katiba yao inavyoeleza. Kutokana na hali hiyo, wanachama...

 

9 years ago

Mtanzania

Ukawa wamvuruga Mrema wa TLP

mremaNa Safina Sarwatt, Moshi

MWENYEKITI wa Chama Cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustine Mrema, amesema mgombea urais wa Ukawa kupitia Chadema, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa hana ubavu wa kushinda katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu.

Alisema mgombea huyo kupitia  Ukawa hawezi kushinda nafasi hiyo kwa kuwa hana uzoefu na siasa za upinzani na ni CCM “B”.

Mrema aliyasema hayo jana katika ufunguzi wa kampeni ya mgombea urais wa TLP, Maximillan Lyimo, iliyofanyika...

 

9 years ago

Daily News

TLP unveils development priorities


TLP unveils development priorities
Daily News
TANZANIA Labour Party (TLP) presidential candidate Mr Macmillan Lyimo has urged Tanzanians to elect him because his party's policies can transform the country's development. Addressing the public at the launch of the TLP election campaign at Njia ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani