Diwani pekee wa TLP Arusha atimuliwa
DIWANI pekee wa kuchaguliwa wa chama cha Tanzania Labour (TLP) mkoani Arusha, Michael Kivuyo wa Kata ya Sokon 1 amevuliwa uanachama kwa kile kinachoelezwa kushindwa kusimamisha wagombea wenyeviti wa Serikali za Mitaa utaotarajiwa kufanyika Jumapili ijayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Jul
DIWANI WA TLP LUPINGU ASEMA YEYE SI MPINZANI ,AMFAGILIA MBUNGE FILIKUNJOMBE KWA KASI YA MAENDELEO
Na Francis Godwin Blog.
DIWANI wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kata ya Lupingu wilaya ya Ludewa mkoani Njombe John Kiowi amempongeza mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kwa jitihada zake anazozifanya katika kuwapelekea maendeleo wananchi wa Ludewa huku akiwashangaa wapinzani wanaopinga jitihada mbali mbali zinazofanywa na serikali ya chama cha Mapinduzi (CCM) na kudai kuwa yeye si mpinzani wa uchwara wa kupinga maendeleo .
Akizungumza na...
11 years ago
Daily News26 Apr
TLP sacks three district officials in Arusha, loses office to mounting debt
Daily News
TANZANIA Labour Party (TLP) has sacked three district leaders in Arusha for allegedly causing conflicts. Arusha Regional TLP Chairman, Mr Leonard Makanzo, named the leaders who were kicked out as Mr Michael Kivuyo, Sokoni-One Ward representative, ...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Diwani CCM Arusha atimkia CHADEMA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jijini Arusha kimepata pigo baada ya aliyewahi kuwa Diwani wake, Amos Mwanga kutimkia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mwanga alisema jana ameamua kujiunga na CHADEMA...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Meya, Diwani wachapwa vibao na mgambo Arusha
NAIBU Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa Kata ya Levelosi, Ephata Nanyaro (wote CHADEMA), wamepigwa na kujeruhiwa na askari wa jiji (mgambo). Kutokana na tukio hilo,...
10 years ago
TheCitizen14 Feb
TLP member for presidency
10 years ago
MichuziSIJAFUKUZWA UANACHAMA WA TLP-MREMA
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
MWENYEKITI wa Chama cha Tnzania Labour Party (TLP) Agustino Mrema,amesema hajafukuzwa unachama katika chama hicho.
Mrema aliyasema hayo...
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Wanachama TLP walia na Mrema
WANACHAMA wa Tanzania Labour Party (TLP), wamemjia juu Mwenyekiti wao, Augustino Mrema, kwa madai anang’ang’ania madaraka huku akishindwa kuitisha uchaguzi mkuu kama katiba yao inavyoeleza. Kutokana na hali hiyo, wanachama...
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Ukawa wamvuruga Mrema wa TLP
Na Safina Sarwatt, Moshi
MWENYEKITI wa Chama Cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustine Mrema, amesema mgombea urais wa Ukawa kupitia Chadema, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa hana ubavu wa kushinda katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu.
Alisema mgombea huyo kupitia Ukawa hawezi kushinda nafasi hiyo kwa kuwa hana uzoefu na siasa za upinzani na ni CCM “B”.
Mrema aliyasema hayo jana katika ufunguzi wa kampeni ya mgombea urais wa TLP, Maximillan Lyimo, iliyofanyika...
9 years ago
Daily News31 Aug
TLP unveils development priorities
Daily News
TANZANIA Labour Party (TLP) presidential candidate Mr Macmillan Lyimo has urged Tanzanians to elect him because his party's policies can transform the country's development. Addressing the public at the launch of the TLP election campaign at Njia ...