Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Djokovic, Muruguza wababe China Open

Mcheza tenesi namba moja kwa ubora kwa upande wa wanaume Novak Djokovic ametwaa taji la michuano ya wazi ya China

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Djokovic na Muruguza washinda China Open

Mcheza tenesi namba moja kwa ubora kwa upande wa wanaume Dunian Novak Djokovic ametwaa taji la michuano ya wazi ya China. Djokovic alimshinda Rafael Nadal anayeshikilia nafasi ya nane kwa ubora wa mchezo huo duniani kwa Seti 6-2 6-2 na kushinda taji lake la sita kwa mwaka huu. Kwa upande wa wanawake Muhispani Garbine Muguruza […]

 

9 years ago

TheCitizen

Djokovic and Serena roll at the US Open

Serena was a 6-0, 2-0 winner after only 30min

 

10 years ago

BBCSwahili

Djokovic bingwa BNP Paribas Open

Mcheza tenis namba moja duniani kwa upande wa wanaume Novak Djokovic amenyakua ubingwa wa BNP Paribas Open.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda awaonya ma-DC wababe

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameonya Wakuu wa Wilaya wanaotawala kibabe, akitaka waache mara moja mbinu hiyo ya kiutawala kwani inajenga uadui, chuki na uhasama.

 

11 years ago

Mwananchi

Wababe England wamwinda Kroos

Milango ipo wazi kwa klabu kubwa za Ligi Kuu England kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Toni Kroos ambaye mazungumzo ya mkataba wake mpya na klabu yake yamevunjika.

 

10 years ago

Mwananchi

Chelsea wababe tena kwa Arsenal

Diego Costa amefunga bao lake la tisa katika mechi sita za Ligi Kuu England alizocheza wakati Chelsea ilipoifumua Arsenal mabao 2-0 jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kivumbi leo AFCON,Wababe dimbani

Tembo wa Ivory Cost na Tembo wa Taifa wa Guinea,Mali na Cameroon kuvaana leo

 

10 years ago

Dewji Blog

Wababe wa dunia:Floyd Mayweather amshinda Manny Pacquiao kwa pointi 6

fight-8a_rnd_5_3289903bMasumbwi ‘Mawe’ yalivyokuwa kwenye pambano hilo

Las Vegas, USA

Tayari Dunia imeshamtambua mbabe zaidi Duniani katika masumbwi ni nani, baada ya pambano la karne ambalo lilipewa ‘kiki’ kubwa  duniani kote hatimaye Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kwa mabondia hapo kupambana mpaka raound 12, ambapo Mmarekani Floyd Mayweather aliibuka kuwa mshindi kwa pointi dhidi ya mshindani wake huyo kutoka Uphilipino. kwa mujibu wa majaji,Floyd alipata pointi 117 na Pacquiao kupata 111.

wattt_3289915bMsimamo wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani