Wababe England wamwinda Kroos
Milango ipo wazi kwa klabu kubwa za Ligi Kuu England kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Toni Kroos ambaye mazungumzo ya mkataba wake mpya na klabu yake yamevunjika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Toni Kroos atua Real Madrid
Kiungo wa Bayern Munich, Toni Kroos amethibitisha kuwa yuko njiani kujiunga na miamba ya Real Madrid katika kipindi hiki cha usajili na tayari amesaini mkataba wa miaka sita.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7OZXnRoNNooZa*lIPh9bfQ-iMpuy5tZ*em6S21-zn-4VyUKId*O*Wg4FJtKu5JWE5*RjJhXtiydtVvB1keVlWiw/james.jpg)
BAADA YA KROOS, REAL MADRID KUMNASA RODRIGUEZ
Mfungaji bora wa Kombe la Dunia 2014, James Rodriguez.
KLABU ya Real Madrid inakaribia kumnasa mfungaji bora wa Kombe la Dunia 2014, James Rodriguez, kwa pauni milioni 63 kutoka Monaco. Toni Kroos tayari ametua Real Madrid kwa pauni milioni 24. Klabu hiyo ya Hispania, leo imekamilisha usajili wa kiungo wa Ujerumani na Bayern Munich, Toni Kroos, kwa pauni milioni 24 kwa mkataba wa miaka sita. Ili… ...
10 years ago
Habarileo03 Mar
Pinda awaonya ma-DC wababe
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameonya Wakuu wa Wilaya wanaotawala kibabe, akitaka waache mara moja mbinu hiyo ya kiutawala kwani inajenga uadui, chuki na uhasama.
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-oBf6s-48sts/VoxcdBDvnfI/AAAAAAAAEZk/muLjmu2JYOc/s72-c/rooney-537054.jpg)
SUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-oBf6s-48sts/VoxcdBDvnfI/AAAAAAAAEZk/muLjmu2JYOc/s1600/rooney-537054.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XxljNrmdEYKCe6GU3Lqi6L17LllId7hyqpUFZA4BLbvYe4K4GJPmPnYhp4TSqnE5dEyt9*gEYo-3bjlYPB33fTKX7ox0Yt4u/ToniKroos.jpg)
TONI KROOS KUTUA MAN U KWA PAUNI MIL 20
Toni Kroos. MANCHESTER UNITED imekubali kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Toni Kroos kwa pauni milioni 20 sawa na bilioni 55.8 za Tanzania. Arjen Robben. Mchakato wa kumnasa kiungo huyo mwenye miaka 24 ulianzishwa na kocha aliyetimuliwa baada ya kuboronga, David Moyes na sasa umepewa baraka na kocha mpya Louis van Gaal. Timu hiyo kwa sasa inajipanga kumnasa mshambulaji hatari wa Bayern Munich na timu ya Taifa ya...
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Djokovic, Muruguza wababe China Open
Mcheza tenesi namba moja kwa ubora kwa upande wa wanaume Novak Djokovic ametwaa taji la michuano ya wazi ya China
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Kivumbi leo AFCON,Wababe dimbani
Tembo wa Ivory Cost na Tembo wa Taifa wa Guinea,Mali na Cameroon kuvaana leo
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Chelsea wababe tena kwa Arsenal
Diego Costa amefunga bao lake la tisa katika mechi sita za Ligi Kuu England alizocheza wakati Chelsea ilipoifumua Arsenal mabao 2-0 jana.
10 years ago
Vijimambo09 Apr
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania