DK. SEIF: WAWEKEZAJI NJOONI BONDE LA MTO RUFIJI
![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVJ1985ciUK49Q9NZxCWuLfUSG-Fo8SDm5-abERJ9OkuIGPFc9WI42EHsuyVKryvomo3nIFchYXB0x9b0PdHSoYo/drseif.jpg)
Stori: Hashim Aziz Mheshimiwa Dokta Seif Seleman Rashid ambaye pia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, ndiye Mbunge wa Jimbo la Rufiji (CCM) ambalo wiki iliyopita, Gazeti la Uwazi lilifunga safari na kwenda kujionea matatizo mbalimbali yanayowakabili wananchi wa jimbo hilo na jinsi mbunge wao alivyotimiza ahadi zake. Mheshimiwa Dokta Seif Seleman Rashid. Jimbo hilo ambalo asili ya jina lake inatokana na Mto Rufiji unaopita...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Pinda afungua mkutano wa mawaziri wa nchi za Bonde la Mto Nile
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati alipofungua Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa nchi za bonde la mto Nile kwenye Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye Kituo Cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Maji,...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ni mipango ya Serikali bonde la mto Msimbazi baada ya Bomoabomoa kukamilika…
Wakati zoezi la Bomoabomoa likiendelea katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam tayari Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC limetoa mikakati ya kuendeleza bonde la mto Msimbazi. Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Bonaventure Baya amezungumzia mipango yao kuwa wana mpango wa muda mfupi kati ya Januari 2016 hadi Juni 2016. Baada ya Ubomoaji Serikali […]
The post Hii ni mipango ya Serikali bonde la mto Msimbazi baada ya Bomoabomoa kukamilika… appeared first on...
10 years ago
MichuziMkutano wa nne wa Jopo la Maendeleo ya Bonde la Mto Nile waanza mjini Nairobi,Kenya
10 years ago
MichuziMH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA NCHI ZA BONDE LA MTO NILE, MJINI DODOMA LEO
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye Kituo Cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015.
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia Bomoabomoa ya Nyumba za Wananchi Bonde la Mto Msimbazi
Mahakama kuu kitengo cha ardhi imezuia bomoabomoa ya Nyumba za wananchi bonde la mto Msimbazi hadi kesi ya msingi ikamilike Jan,11 mwaka huu.
Hukumu hiyo inafuatia shauri lililofunguliwa na Mbunge wa Kinondoni (CUF) Maulid Mtulia, kufungua kesi katika Mahakama kuu ya Ardhi kupinga ubomoaji wa nyumba uliokuwa ukiendelea bila kutoa njia mbadala za makazi ya wale wanaobomolewa.
Cloudsfm.com
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cO2UTM3YIoA/VImFIx-2vlI/AAAAAAAAogk/j4Tr1oVdMnU/s72-c/DSCN0583.jpg)
HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYO KATIKA MAENEO YALIYO KANDO NA BONDE LA MTO MSIMBAZI,VINGUNGUTI JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-cO2UTM3YIoA/VImFIx-2vlI/AAAAAAAAogk/j4Tr1oVdMnU/s1600/DSCN0583.jpg)
BOFYA HAPA KUTEMBELEA LIBENEKE LA MTAA KWA MTAA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iSVNcG5DtvM/U2ikHRVy3cI/AAAAAAAFf3Q/HidWx4pM2Lw/s72-c/24.jpg)
KIKWANGUA ANGA KANDO KANDO YA MTO UNAOKATIZA BONDE LA JANGWANI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-iSVNcG5DtvM/U2ikHRVy3cI/AAAAAAAFf3Q/HidWx4pM2Lw/s1600/24.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sd-LYax8Q2M/U2ikLaanlXI/AAAAAAAFf3Y/h8PaGN-3lpk/s1600/25.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B-SxNEoeDs0/VnKSJH442uI/AAAAAAAINEQ/jBuHXSdlYhs/s72-c/6afb3919-f5fb-449e-a8c8-df74de441ace.jpg)
BOMOA BOMOA YAWAFIKIA WANANCHI WANAOISHI PEMBEZONI MWA BONDE LA MTO MSIMBAZI JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-B-SxNEoeDs0/VnKSJH442uI/AAAAAAAINEQ/jBuHXSdlYhs/s640/6afb3919-f5fb-449e-a8c8-df74de441ace.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gc198qit1Ks/VFUcpZVwy4I/AAAAAAAGutw/gbJf7mu6O3I/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Profesa Mwandosya ahitimisha ziara yake ya siku sita nchini Ethiopia kwa kukagua ujenzi wa Ofisi za Bonde la Mto Abay - White Nile
![](http://4.bp.blogspot.com/-gc198qit1Ks/VFUcpZVwy4I/AAAAAAAGutw/gbJf7mu6O3I/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CQSDY8HPQXQ/VFUcql33I2I/AAAAAAAGut8/-Kfu1f0lYUg/s1600/unnamed%2B(18).jpg)