Dk. Sheni aweka msimamo bei ya karafuu
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mb-z1E2V4mw/U76qGs_zd_I/AAAAAAAABVs/kJoUncTG59w/s72-c/Dk-Shein.jpg)
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR
RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni, amesisitiza kuwa serikali itaendelea kutekeleza uamuzi wake wa kuwapatia wakulima bei ya karafuu ya asilimia 80 ya bei ya soko la nje.
Dk. Sheni alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na wakulima wa zao hilo wakati akizindua rasmi msimu wa ununuzi wa karafuu wa mwaka 2014/2015 uliofanyika katika ukumbi wa Shirika la Taifa la Biashara Zanzibar (ZSTC), wilaya ya Mkoani, Kusini Pemba.
Alibainisha kuwa huo ni uamuzi wa kisera na...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Mar
JK aweka msimamo Mahakama ya Kadhi
RAIS Jakaya Kikwete amefafanua msimamo wa Serikali katika mjadala unaoendelea wa Mahakama ya Kadhi, na kuweka wazi kuwa Serikali haina mpango wa kuianzisha, wala kuiendesha.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-h_ywRM3aGIg/VSTRi4h9N5I/AAAAAAAACDM/UQDLfV09yhk/s72-c/Caridnal%2BPengo.jpg)
Kardinali Pengo aweka msimamo
Aonya matukio ya ugaidi si mambo ya dini Awataka wanaoamini wasambaze ujumbe
NA MWANDISHI WETU
ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo, amesema msimamo wake kuhusu katiba inayopendekezwa, uko pale pale na ametaka wanaoamini alichosema, wasambaze ujumbe wake kwa wengine.
![](http://4.bp.blogspot.com/-h_ywRM3aGIg/VSTRi4h9N5I/AAAAAAAACDM/UQDLfV09yhk/s1600/Caridnal%2BPengo.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Kardinali Pengo aweka wazi msimamo wa Kanisa
10 years ago
Habarileo20 Sep
Katibu mpya wa CCM Arusha aweka msimamo
KATIBU mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Alphonce Kinamhala ameingia ofisini kuanza kwa kazi kwa kukataa majungu.
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Walioongeza bei ya dawa 5000% wabadili msimamo
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Kikao Kuhusu Bei ya Filamu cha Hairishwa..Nisha Aweka Wazi Masimamo Wake!!!
Kikao kilichopangwa kifanyike leo, kimehairishwa ghafla, huku tayari wadau na wsanii wakiwa tayari wapo ukumbini. Kikao hicho kilikuwa kifanyike chini ya wizara tatu ambazo ni Wizara ya Vijana Utamaduni na Michezo,Wizara ya Viwanda na Biashara na Wizara ya fedha kuhusuana na bei za filamu za hapa nchini.
Akielezea kile kilichojiri, mwigizaji Salma Jabu “Nisha”amabe alikuwa ni moja kati ya waigizaji walio hudhuria kikao hicho, alisema
“Kikao hakikufanyika, kimehairishwa.umeona wapi mtu...
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Aug
Dk. Sheni apangua mawaziri, Ma-RC
Na mwandishi wetu, Zanzibar RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni, amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri pamoja na wakuu wa mikoa na wilaya. Mabadiliko hayo yanalenga kuendelea kuimarisha utendaji wa shughuli za serikali na tayari jana, amewaapisha wateule wote katika Viwanja vya Ikulu mjini Zanzibar. Walioapishwa jana ni Dk. Sira Ubwa Mamboya, ambaye anakuwa Waziri wa Kilimo na Maliasili. Aliyekuwa Waziri wa Afya, Juma Duni Haji, amebadilishwa kwenda kuongoza Wizara ya Miundombinu...
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
Dk. Sheni: Someni katiba na kuzielewa sheria
NA MWANDISHI MAALUMU, ZANZIBAR
WAKUU wa mikoa na wilaya wametakiwa kuisoma mara kwa mara na kuielewa katiba pamoja na sheria nyingine za nchi.
Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Sheni, alitoa agizo na kusema wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kila siku, wanapaswa kuzingatia katiba na sheria.
Alitoa agizo hilo jana, alipokuwa akifungua mkutano elekezi kwa wakuu wa mikoa na wilaya za Zanzibar.
Alizitaja baadhi ya sheria ambazo wakuu hao wanapaswa kuzielewa na kuzitekeleza kila siku ni pamoja na...