Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walioongeza bei ya dawa 5000% wabadili msimamo

Kampuni ya kutengeneza dawa iliyoshutumiwa sana baada ya kuongeza bei ya dawa kwa asilimia 5,000 imesema itapunguza bei hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Bei ya dawa ya Ukimwi yapandishwa 5000%

Tembe moja ya dawa ya Daraprim inayotumika kupunguza makali ya Ukimwi itapanda kutoka dola $13.50 hadi $750.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Dk. Sheni aweka msimamo bei ya karafuu


NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR
RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni, amesisitiza kuwa serikali itaendelea kutekeleza uamuzi wake wa kuwapatia wakulima bei ya karafuu ya asilimia 80 ya bei ya soko la nje.
Dk. Sheni alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na wakulima wa zao hilo wakati akizindua rasmi msimu wa ununuzi wa karafuu wa mwaka 2014/2015 uliofanyika katika ukumbi wa Shirika la Taifa la Biashara Zanzibar  (ZSTC), wilaya ya Mkoani, Kusini Pemba.

Alibainisha kuwa huo ni uamuzi wa kisera na...

 

10 years ago

Vijimambo

NAWERA AITAKA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KUPUNGUZA BEI KUBWA ZA DAWA NCHINI


Elias NaweraNa Dotto Mwaibale
MWENYEKITI wa Chama cha Walaji na Tiba Tanzania , Elias Nawera, ameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kutatua changamoto ya bei kubwa ya dawa za binadamu wanayotozwa Watanzania.
Nawera alisema sera ya afya inasema kila mtu ana haki ya kupata huduma za afya kwa bei nafuu, lakini bado Watanzania wengi wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kununua dawa kwa bei kubwa.“Tunaomba Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii aingilie kati suala hili,wanaoteseka kwa kiwango...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wabadili kauli kuhusu makubaliano

Waasi wa Sudan Kusini wamebadilisha kauli na kukataa makubaliano yaliyotiwa saini hivi karibuni ya kugawana madaraka

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City wabadili jezi zao

Timu ya Mbeya City inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara imepanga kubadili jezi zao wanazozitumia zenye rangi ya zambarau na nyeupe ndani ya mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

TFF wabadili mfumo uuzaji tiketi

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limedai kuwa mchezo wa leo wa Yanga na Mgambo Shooting tiketi za elektroniki hazitauzwa kwenye magari kama ilivyozoeleka.

 

11 years ago

Mwananchi

CUF wabadili Katiba ili kuungana na Ukawa

>Chama cha Wananchi (CUF), kimefanya mabadiliko ya Katiba yake ikiwa ni maandalizi ya kushirikiana na vyama vingine vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) katika uchaguzi ujao.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi sasa wabadili mbinu msako wa albino Kwimba

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola akionesha picha ya mtoto Pendo Emmanuel (4) aliyetekwa na watu wasiojulikana katika kijiji cha Ndami, wilayani Kwimba kwa waandishi wa habari jijini Mwanza juzi ili kuwezesha yeyote atakayemwona kutoa taarifa Polisi ama kwenye ofisi za serikali za mitaa, vijiji na vitongoji. (Picha na Grace Chilongola).POLISI mkoani hapa imetoa picha ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Pendo Emmanuel (4) aliyetekwa na watu wasiojulikana katika kijiji cha Ndami, wilayani Kwimba ili kuwezesha yeyote atakayemwona kutoa taarifa Polisi ama kwenye ofisi za serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani