Walioongeza bei ya dawa 5000% wabadili msimamo
Kampuni ya kutengeneza dawa iliyoshutumiwa sana baada ya kuongeza bei ya dawa kwa asilimia 5,000 imesema itapunguza bei hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Bei ya dawa ya Ukimwi yapandishwa 5000%
Tembe moja ya dawa ya Daraprim inayotumika kupunguza makali ya Ukimwi itapanda kutoka dola $13.50 hadi $750.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-Mb-z1E2V4mw/U76qGs_zd_I/AAAAAAAABVs/kJoUncTG59w/s72-c/Dk-Shein.jpg)
Dk. Sheni aweka msimamo bei ya karafuu
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR
RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni, amesisitiza kuwa serikali itaendelea kutekeleza uamuzi wake wa kuwapatia wakulima bei ya karafuu ya asilimia 80 ya bei ya soko la nje.
Dk. Sheni alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na wakulima wa zao hilo wakati akizindua rasmi msimu wa ununuzi wa karafuu wa mwaka 2014/2015 uliofanyika katika ukumbi wa Shirika la Taifa la Biashara Zanzibar (ZSTC), wilaya ya Mkoani, Kusini Pemba.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mb-z1E2V4mw/U76qGs_zd_I/AAAAAAAABVs/kJoUncTG59w/s1600/Dk-Shein.jpg)
Alibainisha kuwa huo ni uamuzi wa kisera na...
10 years ago
VijimamboNAWERA AITAKA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KUPUNGUZA BEI KUBWA ZA DAWA NCHINI
MWENYEKITI wa Chama cha Walaji na Tiba Tanzania , Elias Nawera, ameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kutatua changamoto ya bei kubwa ya dawa za binadamu wanayotozwa Watanzania.
Nawera alisema sera ya afya inasema kila mtu ana haki ya kupata huduma za afya kwa bei nafuu, lakini bado Watanzania wengi wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kununua dawa kwa bei kubwa.“Tunaomba Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii aingilie kati suala hili,wanaoteseka kwa kiwango...
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Waasi wabadili kauli kuhusu makubaliano
Waasi wa Sudan Kusini wamebadilisha kauli na kukataa makubaliano yaliyotiwa saini hivi karibuni ya kugawana madaraka
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Mbeya City wabadili jezi zao
Timu ya Mbeya City inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara imepanga kubadili jezi zao wanazozitumia zenye rangi ya zambarau na nyeupe ndani ya mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi08 Nov
TFF wabadili mfumo uuzaji tiketi
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limedai kuwa mchezo wa leo wa Yanga na Mgambo Shooting tiketi za elektroniki hazitauzwa kwenye magari kama ilivyozoeleka.
11 years ago
Mwananchi25 Jun
CUF wabadili Katiba ili kuungana na Ukawa
>Chama cha Wananchi (CUF), kimefanya mabadiliko ya Katiba yake ikiwa ni maandalizi ya kushirikiana na vyama vingine vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) katika uchaguzi ujao.
10 years ago
Habarileo19 Jan
Polisi sasa wabadili mbinu msako wa albino Kwimba
POLISI mkoani hapa imetoa picha ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Pendo Emmanuel (4) aliyetekwa na watu wasiojulikana katika kijiji cha Ndami, wilayani Kwimba ili kuwezesha yeyote atakayemwona kutoa taarifa Polisi ama kwenye ofisi za serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania