Dola milioni 10 kutumika majaribio mfumo wa ufundishaji
TANZANIA inatarajiwa kutumia dola milioni 10 za Marekani kwa ajili ya majaribio ya mfumo mpya wa kufundisha masomo ya sayansi nchini bila mwalimu kushika chaki shuleni. Hayo yalibainishwa hivi karibuni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Dola milioni 136 kutumika mradi umeme wa upepo
DOLA milioni 136 za Marekani zitatumika katika mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu za upepo kwa awamu ya kwanza ya uzalishaji wa MW 50 mkoani Singida. Fedha hizo pia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XKkQiVSoP6w/VP03leaxfcI/AAAAAAAHIxs/mnJzAjLNdg4/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Dola za Marekani Milioni 132 kutumika katika mradi mkubwa wa umeme wa upepo wa Megawati 50 Singida,Kutoa ajira 2,200
![](http://1.bp.blogspot.com/-XKkQiVSoP6w/VP03leaxfcI/AAAAAAAHIxs/mnJzAjLNdg4/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WkSghGCcmx8/VP03l5xn1uI/AAAAAAAHIxw/telmypXDlFQ/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Mfumo wa Kielektroniki kutumika ukusanyaji wa kodi ya majengo jijini Mwanza
Mbunge wa Magu, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Aggrey Mwanri.
Na. Johary KachwambaJIJI la Mwanza limeingizwa katika mfumo wa kielektroniki wa utambuzi wa majengo yote yanayopaswa kufanyiwa uthamini unaojulikana kama Local Government Revenue Collection Information System (LGRCIS) kupitia mradi wa Miji ya kimkakati (TSCP) unaohisaniwa na Benki ya Dunia. Katika kujibu swali la Mhe.Dkt. Festus Bulugu, Mbunge wa Magu, Naibu Waziri wa...
10 years ago
Habarileo08 Mar
Milioni 85 kutumika kulipa fidia Ruangwa
NAIBU Waziri wa Maji Amosi Makala amewahakikishia wananchi wa kijiji cha Chinongwe wilayani Ruangwa kwamba Wizara ya Maji imesikia kilio chao cha muda mrefu kuhusu fidia katika mradi wa usambazaji wa maji kupitia mradi mkubwa wa Mbwinji na kwamba tayari fedha za fidia hizo zimeshapatikana.
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Dola milioni 35 kugombaniwa fainali
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A1lbv8FifkM/XvQ31jBvLkI/AAAAAAAAWt4/KMyut1Kj6VQE2oXCFHHjBYA_ilibJw8MQCLcBGAsYHQ/s72-c/Ummy%252BMwalimu%252Bpic.jpg)
ZAIDI YA TSH. MILIONI 700 KUTUMIKA KUJENGA KITUO CHA TIBA YA METHADONE
![](https://1.bp.blogspot.com/-A1lbv8FifkM/XvQ31jBvLkI/AAAAAAAAWt4/KMyut1Kj6VQE2oXCFHHjBYA_ilibJw8MQCLcBGAsYHQ/s400/Ummy%252BMwalimu%252Bpic.jpg)
Waziri Ummy ameyasema hayo wakati akizindua kituo cha kutoa Tiba ya methadone kwa waratibu wa Dawa za kulevya ambapo Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya wamekijenga katika hospitali ya rufaa ya...
10 years ago
BBCSwahili07 Jun
Dola milioni 10 za FIFA zililipwa Warner
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Maghembe adaiwa dola milioni 284
KAMBI rasmi ya upinzani bungeni, imemkaanga Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe, ikimtaka ajieleze bungeni zilipo dola za kimarekani milioni 284.5 ambazo serikali ilitakiwa kuzitoa ili kufanikisha awamu ya kwanza...
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Kanye West akumbuka dola milioni 20
CALIFORNIA, Marekani
NYOTA wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, amekumbuka namna alivyotumia dola milioni 20 kwa ajili ya kurekebisha nyumba yao iliyopo California, nchini Marekani.
Eneo la nyumba yao lina ukubwa wa eka 3.5, ambapo Agosti mwaka jana nyumba hiyo ilionekana kuwa na matatizo madogo madogo.
Kanye amesema marekebisho hayo yameifanya nyumba hiyo kuwa na mwonekano mpya wa nyumba za kisasa, ambapo wanaamini mtoto wao, Nori atakuwa sehemu salama zaidi.
“Tumeona bora tubadilishe...