Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dorefa yabadili ratiba

Kamati ya mashindano ya Chama cha Soka mkoa wa Dodoma (Dorefa) imeamua kusogeza mbele ligi ya mkoa hadi Januari 11mwakani kutokana na idadi ndogo ya timu zilizorudisha fomu.Katibu wa Dorefa

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

ACT yabadili Katiba

MTZ jmosi new.inddPatricia Kimelemeta na Aziza Masoud, Dar es Salaam

CHAMA Cha Alliance For Transparency (ACT) jana kilibadilisha baadhi ya vifungu vya Katiba yake kwa kutambua uwepo wa nafasi ya juu kabisa ya kiongozi wa chama na kuongeza kifungu kipya cha mwanachama kutimiza siku saba ili aweze kugombea uongozi.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Kamati Kuu na baadaye Halmashauri Kuu inayofanyika kwa siku moja moja wa chama hicho uliofanyika jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa chama hicho,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Amref yabadili jina, nembo

SHIRIKA la kimataifa lisilokuwa la kiserikali la Afrika Medical and Research Foundation (Amref) limezindua rasmi jina na nembo yake mpya ambapo sasa litajulikana kama Amref Health Africa Tanzania. Uzinduzi huo...

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga yabadili refa mechi vs Simba

Kamati ya Waamuzi nchini imemuondoa refa msaidizi namba moja, Ferdinand Chacha kuchezesha mechi ya watani wa jadi, Yanga na Simba, na nafasi yake sasa inachukuliwa na Samuel Mpenzu kutoka Arusha ambaye atasaidiana na John Kanyenye kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara ambao mwamuzi wa kati atakuwa Israel Nkongo.

Hata hivyo, mabadiliko hayo yaliyofanywa na kamati hiyo yalichelewa kufika katika sekretarieti ya Shirikisho la Soka nchini (TFF), ambayo juzi ilimtangaza Chacha na...

 

11 years ago

Mwananchi

Uingereza yabadili taratibu za kutoa viza

Ubalozi wa Uingereza nchini, umefanya mabadiliko katika mchakato wa kuomba viza baada ya kukaimisha majukumu yake kwa kampuni binafsi ya Teleperfomance Ltd.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBF yabadili mfumo Kombe la Muungano

SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), limesema mashindano ya Kombe la Muungano kwa mwaka huu yatafanyika kwa mfumo wa ligi itakayokuwa na timu 16. Mashindano hayo yaliyopangwa kuanza Juni...

 

9 years ago

BBCSwahili

Google yabadili mwonekano wa Nembo yake

Google imebadili nembo yake mpya kwa ajili ya watumiaji wake

 

10 years ago

BBCSwahili

Australia yabadili kauli kuhusu Burka

Australia imebatilisha uamuzi wake ambao unawazuia wanawake wanaovalia Burka kuingia bungeni mjini Canberra.

 

11 years ago

Mwananchi

NBAA yabadili mitalaa kozi za uhasibu

Bodi ya Taifa ya Uhasibu (NBAA) imebadili mitalaa itakayotumika kuwatahini watahiniwa katika daraja juu la uhasibu Certified Public Accountant (CPA) kwa lengo la kuongeza ufanisi katika taaluma hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani