Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DOWNLOAD: MILIMA YA KWETU - RUBY


africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: NAY WA MITEGO - NYUMBANI KWETU (Download)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

9 years ago

Michuzi

KWETU HOUSE- WASHIRIKI 6 KUYAAGA MASHINDANO USIKU HUU USIKOSE KUANGALIA KWETU HOUSE AZAM TV (TWO) SAA TATU NA NUSU USIKU

Msimu wa Pili wa Kwetu House Unaendelea washiriki wanaendelea kuchuana vikali ndani ya Nyumba, Vipajivinaonekana na Ushabiki wa Soka wanaonekana pia. Kama unakumbuka Washiriki waliobahatika kuingia kwenye Nyumba walikuwa 30 baada ya Bootcamp kumalizika na Baada ya hapo Washiriki wameendelea kuyaaga mashindano haya kwa msimu huu wa pili na Wiki hii washiriki 18 ndio wamebaki kwenye Nyumba lakini 6 kati ya hao 18 watayaaga mashindano usiku huu. Kocha ananafasi ya kumuokoa Mshiriki Moja kurudi...

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimbaji waanza kupasua milima

Samunge. Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika kijiji cha Mgongo, kata ya Samunge wilayani Ngorongoro wameanza kupasua milima iliyopo katika kijiji hicho kusaka dhahabu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sasa malaria yakwea milima.

Viwango vya maambukizi katika maeneo ya nyanda za juu vimeongezeka kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa.

 

9 years ago

Habarileo

RC azuia kilimo kwenye milima

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa amepiga marufuku wananchi kulima juu ya milima. Galawa alitoa agizo hilo juzi katika kijiji cha Miganga kilichopo wilaya ya Chamwino wakati alipotembelea mradi wa majiko banifu yanayosaidia kutunza mazingira.

 

9 years ago

Mwananchi

Moto waendelea kuteketeza Milima ya Uluguru

Moto umeendelea kuiteketeza Milima ya Uluguru kwa zaidi ya siku tano sasa licha ya jitihada mbalimbali zinazofanywa na wahifadhi za kuuzima kushindikana, huku wananchi wanaoishi na kufanya shughuli za kibinadamu katika milima hiyo wakiendelea kuchoma moto.

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 80: Yanga imevuka milima, mabonde

Young Africans ‘Yanga’ yenye kaulimbiu, ‘Mbele Daima, Nyuma Mwiko’ ni  mabingwa wa kihistoria kwenye Ligi Tanzania Bara, ni timu pekee ya soka inayohusishwa na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika wakati wa utawala wa kikoloni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

PAINE J: Msanii aliyevuka milima, mabonde

HAKIKA vijana wamedhamiria kuleta mageuzi makubwa katika tasnia ya muziki nchini katika hali ya kujiletea maendeleo yao wenyewe, tasnia husika na kuitangaza nchi kimataifa. Katika harakati hizo, kila kona utasikia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani