Drake kuhamia kwenye filamu
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Aubrey Graham ‘Drake’, amesema kwa sasa anatarajia kuhamia kwenye filamu badala ya muziki.
Msanii huyo, ambaye ameshika nafasi ya tatu duniani kwa wasanii wa hip hop ambao wameingiza fedha nyingi kutokana na muziki, alisema kwa sasa anaona bora akimbilie kufanya filamu badala ya muziki.
“Sitaki kupoteza muda, huu ni wakati wangu wa kufanya filamu, hakuna mtu aliyenishawishi kufanya uamuzi huo ila mimi mwenyewe.
“Filamu ni kitu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Densi ya Drake yatamba kwenye mtandao wa TikTok
9 years ago
Bongo529 Dec
Meek Mill amdiss tena Drake kwenye ngoma hii
![Meek-Mill](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Meek-Mill-300x194.jpg)
Beef ya Meek Mill na Drake haioneshi dalili ya kuisha mapema.
Katika muda ambao wengi tulianza kusahau, Meek anarudi tena na nyundo kwa rapper huyo wa Canada itakayokuwepo kwenye mixtape yake ya Dreamchasers 4.
Video fupi ya Meek Mill inayomuonesha akichana mistari michache ya wimbo huo imesambaa mtandaoni.
“When I was saying shit about the rhymes you ain’t wrote / I can’t wait ’til we run in ya / I’ma put a gun in ya,” rapper huyo wa Philadelphia anarap kwenye video hiyo.
Katikati ya...
10 years ago
Bongo517 Sep
Diddy anunua na kuhamia kwenye nyumba ya thamani ya shilingi bilioni 66!
9 years ago
Bongo528 Sep
Album ya Drake na Future yakamata namba 1 kwenye Billboard 200 Chart
9 years ago
Bongo529 Sep
Drake awa msanii wa nne kuweka rekodi hii kwenye Billboard
9 years ago
Bongo526 Sep
Ni heshima kubwa kwangu kuwa kwenye wimbo wa Wizkid — Asema Drake
9 years ago
Bongo509 Dec
Sababu za ‘Hotline Bling’ ya Drake kutoingia kwenye Grammy Awards 2016 – Ripoti
![drake sad](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/drake-sad-300x194.jpg)
Drake anawania vipengele vinne kwenye tuzo za Grammy 2016 lakini hit song yake ya ‘Hotline Bling’ haijaingia kwenye kipengele chochote kati ya hivyo licha ya kufanya vizuri mwaka huu.
Mitandao mbalimbali imeripoti sababu inayodaiwa kupelekea wimbo huo usiwemo kabisa kwenye tuzo za 58 za Grammy ambazo majina ya nominees yametangazwa jana.
Label ya Cash Money Records ndio imetupiwa lawama za kusababisha wimbo huo wa rapa wa Canada, Drake kutoingia kwenye nomination za Grammy Awards 2016....
11 years ago
Bongo517 Jul
Video: Drake na Chris Brown waigiza pamoja kwenye ‘skit’ ya tuzo za ESPY 2014
9 years ago
Bongo527 Nov
Drake ajibu ombi la Adele la kutaka kuwemo kwenye ‘official remix’ ya Hotline Bling
![adele-drake-hotline-bling](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/adele-drake-hotline-bling-300x194.jpg)
Adele alidai kutamani kuwepo kwenye official remix ya wimbo wa Drake, Hotline Bling.
Mashabiki wao walikuwa wanasubiri tu jibu la Drake na sasa rapper huyo wa Toronto amejibu. “Nitafanya chochote kwa Adele,” Drake aliwaambia waandishi wa habari jijini Toronto Jumatano hii alipoenda kuangalia game ya timu ya kikapu ya Raptors.
“Ninaweza hata kwenda nyumbani kwa Adele muda huu na kufua nguo zake,” aliongeza.
Kwenye mahojiano hivi karibuni, Adele alisema: “I love Drake so much. I even got the...