Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Drake kuhamia kwenye filamu

XXX 453940600.JPG E ACE ENT MUS USA NJNEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Aubrey Graham ‘Drake’, amesema kwa sasa anatarajia kuhamia kwenye filamu badala ya muziki.

Msanii huyo, ambaye ameshika nafasi ya tatu duniani kwa wasanii wa hip hop ambao wameingiza fedha nyingi kutokana na muziki, alisema kwa sasa anaona bora akimbilie kufanya filamu badala ya muziki.

“Sitaki kupoteza muda, huu ni wakati wangu wa kufanya filamu, hakuna mtu aliyenishawishi kufanya uamuzi huo ila mimi mwenyewe.

“Filamu ni kitu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Densi ya Drake yatamba kwenye mtandao wa TikTok

Mwanamuziki wa Rap Drake ametoa video ya wimbo wake mpya wa Tossie Slide akisakata densi ambayo imehamasisha densi mpya kwenye mtandao wa Tik Tok.

 

9 years ago

Bongo5

Meek Mill amdiss tena Drake kwenye ngoma hii

Meek-Mill

Beef ya Meek Mill na Drake haioneshi dalili ya kuisha mapema.

Katika muda ambao wengi tulianza kusahau, Meek anarudi tena na nyundo kwa rapper huyo wa Canada itakayokuwepo kwenye mixtape yake ya Dreamchasers 4.

Video fupi ya Meek Mill inayomuonesha akichana mistari michache ya wimbo huo imesambaa mtandaoni.

“When I was saying shit about the rhymes you ain’t wrote / I can’t wait ’til we run in ya / I’ma put a gun in ya,” rapper huyo wa Philadelphia anarap kwenye video hiyo.

Katikati ya...

 

10 years ago

Bongo5

Diddy anunua na kuhamia kwenye nyumba ya thamani ya shilingi bilioni 66!

Diddy anahamia kwenye maeneo ya watu wazito jijini Los Angeles. Mtandao wa TMZ umedai kuwa staa huyo amenunua nyumba katika maeneo hayo yenye thamani ya dola milioni 40 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 66. Ipo maeneo ya Holmby Hills karibu na eneo alilofariki Michael Jackson. Nyumba hiyo ina vyumba vinane vya kulala na mabafu […]

 

9 years ago

Bongo5

Album ya Drake na Future yakamata namba 1 kwenye Billboard 200 Chart

Album ya pamoja ya Drake na Future iliyotoka kwa kushitukiza, ‘What a Time to Be Alive’ imefanikiwa kushika nafasi ya kwanza kwenye chati ya Billboard 200. Hadi kufikia mwisho wa wiki ya Sept. 24, units 375,000 za album hiyo zilikuwa zimeuzwa, kwa mujibu wa Nielsen Music, kati ya hizo zikiwemo nakala 334,000 halisi za album. […]

 

9 years ago

Bongo5

Drake awa msanii wa nne kuweka rekodi hii kwenye Billboard

Huu umekuwa mwaka mzuri kwa Drake. Aliachia mixtape ya ushirikiano na Future, What a Time To Be Alive na sasa amefikisha nyimbo 100 kwenye chart ya Billboard Hot 100 tangu aanze kufanya muziki miaka sita iliyopita. Rapper huyo anayetokea nchini Canada alikuwa na nyimbo 92 kabla ya mixtape yake kutoka Jumapili iliyopita ambapo nane kati […]

 

9 years ago

Bongo5

Ni heshima kubwa kwangu kuwa kwenye wimbo wa Wizkid — Asema Drake

Toka Wizkid atoe remix ya ‘Ojuelegba’ ambayo amewashirikisha Drake na Skepta, Drake hakuwahi kusema ni kitu gani kilimsukuma kufanya remix kwa mapenzi yake mwenyewe. Hatimaye Drake amezungumza na kutoa sababu za kuamua kufanya remix hiyo, katika mahojiano aliyofanya na jarida la FADER toleo lake la 100. Baada ya rapper huyo wa Canada kuulizwa endapo aliamua […]

 

9 years ago

Bongo5

Sababu za ‘Hotline Bling’ ya Drake kutoingia kwenye Grammy Awards 2016 – Ripoti

drake sad

Drake anawania vipengele vinne kwenye tuzo za Grammy 2016 lakini hit song yake ya ‘Hotline Bling’ haijaingia kwenye kipengele chochote kati ya hivyo licha ya kufanya vizuri mwaka huu.

drake sad

Mitandao mbalimbali imeripoti sababu inayodaiwa kupelekea wimbo huo usiwemo kabisa kwenye tuzo za 58 za Grammy ambazo majina ya nominees yametangazwa jana.

Label ya Cash Money Records ndio imetupiwa lawama za kusababisha wimbo huo wa rapa wa Canada, Drake kutoingia kwenye nomination za Grammy Awards 2016....

 

11 years ago

Bongo5

Video: Drake na Chris Brown waigiza pamoja kwenye ‘skit’ ya tuzo za ESPY 2014

Siku chache zilizopita Chris Brown na Drake walimaliza tofauti zao zilizodumu kwa muda mrefu, na kushare picha wakiwa studio pamoja. Ishara nyingine ya kuzika kabisa beef yao imeonekana jana (July 16) kwenye tukio la tuzo za michezo ‘2014 ESPY Award’ zilizofanyika The Nokia Theatre, Los Angeles, Marekani ambapo Drake na Chris Brown wameigiza kipande kidogo […]

 

9 years ago

Bongo5

Drake ajibu ombi la Adele la kutaka kuwemo kwenye ‘official remix’ ya Hotline Bling

adele-drake-hotline-bling

Adele alidai kutamani kuwepo kwenye official remix ya wimbo wa Drake, Hotline Bling.

adele-drake-hotline-bling

Mashabiki wao walikuwa wanasubiri tu jibu la Drake na sasa rapper huyo wa Toronto amejibu. “Nitafanya chochote kwa Adele,” Drake aliwaambia waandishi wa habari jijini Toronto Jumatano hii alipoenda kuangalia game ya timu ya kikapu ya Raptors.

“Ninaweza hata kwenda nyumbani kwa Adele muda huu na kufua nguo zake,” aliongeza.

Kwenye mahojiano hivi karibuni, Adele alisema: “I love Drake so much. I even got the...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani