DUKA LA PALACE MOBILE LILILOPO POSTA, DAR LAVAMIWA NA MAJAMBAZI
![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTkKBgKfip4Tmab847AGrc22CRa5XEI9THuyF6NdwW799dlwU5LPy**4jFO6R0vIgI7gURLXqxpSa78dTSEUmNH/IMG20150527WA0001.jpg?width=650)
Duka la simu na vifaa vya kielectronic la Palace Mobile lililopo mitaa ya Posta jijini Dar es Salaam limevamiwa na majambazi usiku wa kuamkia leo. Majambazi hao wamefanikiwa kupora simu, fedha na vitu kadhaa vya kelectronic ambavyo thamani yake bado haijafahamika mpaka sasa.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Mh. Catherine Magige azindua duka jipya la urembo la ZuRii lililopo Dar Free Market
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Catherine Magige (kushoto) akiwasili kuzindua rasmi duka la urembo la ZuRii House of Beauty linalomilikiwa na mwana Diaspora ambaye pia ni mwanalibeneke Jestina George Meru (kulia) ndani ya jengo la Dar Free Market jijini Dar es Salaam jana.
Na Mwandishi Wetu
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Catherine Magige leo amezindua rasmi rasmi duka jipya la vipodozi na vitu mbalimbali linalofahamika kwa jina la ZuRii lililopo katika jengo la...
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Posta waadhimisha Siku ya Posta Duniani jijini Dar es Salaam
Wafanyakazi na wadau wa Shirika la Posta nchini (TPC), wa ndani na nje ya nchi wakiwa katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani kwenye jengo la Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), jijini Dar es Salaam jana. Maadhimisho hayo, huadhimishwa duniani kote Oktoba 9. (Picha zote na Kassim Mbarouk- www.bayana.blogspot.com)
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Elia Madulesi (kulia), akiteta jambo na mmoja wa Maofisa wa shirika hilo, wakati...
9 years ago
Habarileo07 Nov
Majambazi wavamia duka la M-Pesa na kupora fedha
VIJANA wawili wakiwa na silaha wamevamia duka la M-Pesa mjini Tabora na kumteka mhudumu wa duka hilo kabla ya kumwamuru atoe fedha zote alizokuwa nazo pamoja na simu anazotumia.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-0kEAElHuSLw/VNnOSjDvRfI/AAAAAAACzrg/ywUR3G7nNr0/s72-c/IMG-20150210-WA0079.jpg)
MOTO MKUBWA UMEZUKA KWENYE JENGO LILILOPO MTAA WA JAMHURI NA MOSQUE JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-0kEAElHuSLw/VNnOSjDvRfI/AAAAAAACzrg/ywUR3G7nNr0/s640/IMG-20150210-WA0079.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WzQfD13kgm4/VNnLMbawzjI/AAAAAAACzq0/FpDPou_nNtQ/s640/IMG-20150210-WA0074.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h5zkq2TbJH0/VNnLMRKTeqI/AAAAAAACzqw/Ze0OqOxVkUE/s640/IMG-20150210-WA0073.jpg)
10 years ago
MichuziDUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY LAFUNGULIWA RASMI NDANI YA DAR FREE MARKET JIJINI DAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GbNX3HXEubY/XqmL7-c-tpI/AAAAAAALolY/kJpwpfyGJ7U4CkfsDd51LggmlRU8bk-xACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200429-WA0007.jpg)
OPESHENI YA DUKA KWA DUKA YAANZA PWANI KUBAINI WAFICHA NA KUUZA SUKARI BEI JUU-WANKYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-GbNX3HXEubY/XqmL7-c-tpI/AAAAAAALolY/kJpwpfyGJ7U4CkfsDd51LggmlRU8bk-xACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200429-WA0007.jpg)
JESHI la polisi mkoani Pwani limetangaza msako wa duka kwa duka ,kuwabaini wafanyabiashara ambao wameficha sukari na kuuza kwa bei isiyo elekezi ya sh .2,700 kwa kilo moja ,ambapo ni kinyume cha sheria .
Kutokana na msako huo ulioanza mkoani hapo ,jeshi hilo ,limeshakamata jumla ya kilo 1,037 za sukari pamoja na watuhumiwa saba wanaodaiwa ni wafanyabiashara walioficha sukari hiyo.
Akizungumzia tukio hilo ,kamanda wa polisi mkoani hapo ,Wankyo Nyigesa alieleza kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08culx3Y8uHgmI7sMVyYke5wRuQjf2jryXkjfaFUSGC8LTGkdAVvt0QWFWAeoJjMXtpJjLSdAJC*aNkg4K*mnLtoZ/1.jpg?width=650)
UPEPO MKALI ENEO LA POSTA DAR
11 years ago
Mwananchi06 May
Airtel yazindua Duka la kisasa Dar
11 years ago
Dewji Blog03 Jun
Uzinduzi wa duka kubwa la vitabu wafanyika Dar
Word Bank Country Director, Philippe Doncier na Mkurugenzi Mtendaji wa Duka la Vitabu la MAK, Kirubakaran Ramakrishnan wakikata utepe wakati wa uzinduzi wa Duka kubwa la vitabu katika eneo la Mliman city jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Duka la Vitabu la MAK, Kirubakaran Ramakrishnan, akizungumza na wateja mara baada ya uzinduzi wa duka hilo la vitabu vya shule ya msingi hadi elimu ya juu lililopo Mlimani city jijini Dar es Salaam.