Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola yatua A. Mashariki

mtanzania

mtanzania

Kigali, Rwanda

BAADA ya ugonjwa wa Ebola kuripotiwa katika nchi za Afrika Magharibi sasa umebisha hodi katika nchi za Afrika Mashariki.

Kwa mara ya kwanza mgonjwa mwenye dalili za ugonjwa huo hatari amegundulika Rwanda na tayari amewekwa kwenye sehemu maalumu kwa uchunguzi wa madaktari kubaini kama ana virusi vya ugonjwa huo.

Wakati ugonjwa huo ukiingia Rwanda, nchini Tanzania hali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam inaonyesha hakuna udhibiti wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yatua Senegal

Waziri wa Afya wa Senegal amethibitisha kua ugonjwa wa Ebola umekwisha tua nchini mwake .

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yatua Marekani

Mgonjwa wa kwanza wa ugonjwa hatari wa virusi vya Ebola amegundulika nchini Marekani, katika mji wa Dallas, Texas.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola: Hofu yatanda Afrika Mashariki

Mataifa ya Afrika Mashariki sasa yanapanga mikakati ya kuzuia Ebola kuenea katika ukanda huu baada ya Ebola kuzuka DR Congo.

 

5 years ago

BBCSwahili

DRC yatangazwa kuudhiditi kabisa ugonjwa wa Ebola eneo la Mashariki

Zaidi ya watu 200 wamepoteza maisha katika eneo ambalo kumekuwa na mzozo ambao umesababisha kuwepo kwa hali ya kutoaminiana.

 

10 years ago

Michuzi

MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI

Na Bakari Issa,Dar es Salaam
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘I Do’ ya Dyna yatua sokoni

MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Dyna Nyange ‘Dyna’, leo anatarajia kusambaza video ya ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘I Do’. Dyna alisema video...

 

9 years ago

Mtanzania

TRA yatua Bakwata

Mufti Abubakar Zuberi*Wadaiwa kuingiza magari 82 kwa misamaha ya kodi

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RUNGU la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) limeonekana kushika kasi  na safari hii limeangukia kwa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata).

Kwa mujibu wa barua ya TRA, Bakwata imetakiwa kutoa maelezo ya ongezeko la maombi ya msamaha wa kodi katika utoaji wa magari yanayopitishwa katika taasisi hiyo ya dini, kutoka nje ya nchi.

Hayo yamo katika barua ya TRA ya Novemba 19, mwaka huu  kwenda kwa Katibu Mkuu wa...

 

10 years ago

GPL

YANGA YATUA PEMBA

Wachezaji wa timu ya Yanga wakifanya mazoezi (Picha na Maktaba). Msafara wa watu 35 ukiwa na wachezaji 27 na benchi la Ufundi 8 wa timu ya Young Africans tayari umeshawasili Kisiwani Pemba kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kujiandaa na mikikimikiki ya Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2014/2015. Kocha mkuuu Marcio Maximo na kikosi chake wamefikia katika hoteli ya kitalii ya Pemba Misali iliyopo eneo la Wesha na watakua wakijifua kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Drive Dentsu yatua Dar

KAMPUNI ya Drive Dentsu inayojihusisha na masuala ya utengenezaji wa matangazo, imefungua ofisi zake mpya jijini Dar es Salaam ikiwa ni jitihada za kusogeza huduma zake kwa wateja wake katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani