‘I Do’ ya Dyna yatua sokoni
MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Dyna Nyange ‘Dyna’, leo anatarajia kusambaza video ya ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘I Do’. Dyna alisema video...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Dyna aisambaza video ya ‘Mimi na Wewe’
MSANII anayetamba katika tasnia ya muziki wa Bongo fleva anayeuwakilisha Mkoa wa Morogoro, Mwanaisha Nyange ‘Dyna’ amesambaza video ya ngoma yake inayojulikana kwa jina la ‘Mimi na Wewe’. Mbali na...
10 years ago
GPLDYNA NYANGE NDANI YA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Afande Sele, Mpoto, Dyna watoa elimu ya misitu
NA AZIZA MASOUD
MTANDAO wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (MJUMITA), umerekodi wimbo maalumu wa elimu juu ya uhamasishaji wa utunzaji na kuzuia uharibifu wa misitu.
Wimbo huo umeimbwa na wasanii; Mrisho Mpoto, Suleiman Msindi (Afande Sele) na Dyna Nyange, huku maudhui yake yakilenga elimu ya utunzaji wa misitu kutokana na umuhimu wake kwa jamii.
Akizindua wimbo huo pamoja na video yake, mjumbe wa Kikosi cha Taifa cha Mkulumi kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto,...
11 years ago
Michuzi27 Feb
Video: Mr. Blue, Dyna, Barnaba Boy na Amini warekodi wimbo wa kampeni ya dereva makini 2014
Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Barnaba Boy na Dyna Nyange wameshiriki kurekodi wimbo wao utakaotumika kwenye kampeni ya dereva makini inayolenga kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri.
Wimbo huo umerekodiwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjX7-RCaOoJBTWmX2j8t4F*mEMY7e0iQTpqc-eJk1Vn6lPHg3Y*9BpF4Y5EHx6Kts54zHw7b0sydkW-jhHHBV7IU/yanga.jpg?width=650)
YANGA YATUA PEMBA
11 years ago
Mtanzania12 Aug
Ebola yatua A. Mashariki
![mtanzania](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/mtanzania-120814.jpg)
mtanzania
Kigali, Rwanda
BAADA ya ugonjwa wa Ebola kuripotiwa katika nchi za Afrika Magharibi sasa umebisha hodi katika nchi za Afrika Mashariki.
Kwa mara ya kwanza mgonjwa mwenye dalili za ugonjwa huo hatari amegundulika Rwanda na tayari amewekwa kwenye sehemu maalumu kwa uchunguzi wa madaktari kubaini kama ana virusi vya ugonjwa huo.
Wakati ugonjwa huo ukiingia Rwanda, nchini Tanzania hali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam inaonyesha hakuna udhibiti wa...
9 years ago
Mtanzania07 Dec
TRA yatua Bakwata
*Wadaiwa kuingiza magari 82 kwa misamaha ya kodi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RUNGU la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) limeonekana kushika kasi na safari hii limeangukia kwa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata).
Kwa mujibu wa barua ya TRA, Bakwata imetakiwa kutoa maelezo ya ongezeko la maombi ya msamaha wa kodi katika utoaji wa magari yanayopitishwa katika taasisi hiyo ya dini, kutoka nje ya nchi.
Hayo yamo katika barua ya TRA ya Novemba 19, mwaka huu kwenda kwa Katibu Mkuu wa...
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Ebola yatua Marekani
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Ebola yatua Senegal