Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Elimu haina mwisho.. “Nafasi za Masomo China"

Kuna fursa ya kujiendeleza kimasomo Nchini China, ambapo muombaji anaomba moja kwa moja kupitia mtandao. Zipo fursa katika vyuo mbalimbali, fursa ambazo maelezo yake yajitosheleza ni kwa Chuo cha Beijing Insitute of Technology(BiT) na University of International Business and Economics(UIBE).
Lugha ya kufundishia:
Kiingereza(English) ndio lugha ambayo wanatumia kufundishia, isipokuwa ukihitaji kusoma kwa kichina pia hiyo fursa ipo.

🏤Beijing Insitute of Technology(BiT)

Master's Degree Programs in...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ELIMU HAINA MWISHO...BRIG GEN (RTD) ALAMBA NONDO ZA SHERIA LLB CHUO KIKUU HURIA AKIWA NA UMRI WA MIAKA 74

Generali Mstaafu P.S.Ligate Baba Mzazi wa akina Phanuel, Obed, Vupe na Guy Ligate akiwa Mwingi wa Furaha na Mkewe Mama Ligate Baada ya Kutunukiwa Shahada ya Sheria LLB Kutoka Chuo Kikuu Huria (Open Univeristy of Tanzania) Jijini Dar-es-Salaam Weekendi hii.Generali Mstaafu Ligate alianza masomo yake hayo kama changamoto tu baada ya kuhitimu madarasa yote ya BSF Bible Study na kujikuta bado anapenda kusoma na kujiweka busy akiwa kama mstaafu. Pamoja na umri wake kuwa mkubwa na kusumbuliwa na...

 

10 years ago

Michuzi

ELIMU HAINA MWISHO...BRIGEDIA JENERALI (RTD) LIGATE ALAMBA NONDOZZZ ZA SHERIA LLB CHUO KIKUU HURIA AKIWA NA UMRI WA MIAKA 74

Brigedia Jenerali i Mstaafu P.S.Ligate Baba Mzazi wa akina Phanuel, Obed, Vupe na Guy Ligate akiwa Mwingi wa Furaha na Mkewe Mama Ligate mara tu baada ya kutunukiwa Shahada ya Sheria (LLB) katika  Chuo Kikuu Huria (Open Univeristy of Tanzania) Jijini Dar es salaam wikiendi hii. Globu ya Jamii inatoa pongezi sana kwa baba yetu huyu ambaye ni mfano wa kuigwa.

 

11 years ago

Michuzi

Nafasi za Masomo University of Oldenburg,Germany

Kwa wale wanaohitaji kujiunga na elimu ya juu nchini Ujerumani. Kuanzia B.A,Bsc,M.A mpaka Phd Watanzania tumieni nafasi hizi,chuo kinapokea wanafunzi hata kwa vijana wa Kitanzania walio maliza kidato cha sita wana nafasi ya kujiunga na chuo hiki,maelezo zaidi,Tafadhali wasiliana na anuani hii hapa chini:
 International Student Office Carl von Ossietzky Universität Oldenburg Ammerländer Heerstr. 114-118, 26129 Oldenburg Germany Simu :+49-(0)441-798-2479fax    : +49(0)441 7982461 Pia fomu za...

 

11 years ago

Mwananchi

Masomo ya ziada yana nafasi katika maendeleo ya mwanao shuleni

Kama mzazi au mlezi umewahi kufikiri umuhimu wa kumwanzisha mtoto wako kwenye mapango wa masomo ya ziada.

 

10 years ago

Vijimambo

TaSUBa yatangazia umma nafasi za kozi kwa mwaka wa masomo 2015 /2016

WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)timthumbTANGAZO LA KUJIUNGA NA CHUOTaSUBa inawatangazia umma nafasi za kujiunga na kozi kwa ngazi ya Cheti (Certificate) naStashahada (Diploma) kwa mwaka wa masomo 2015 /2016 Kozi hizo ni kama ifuatavyo:-Sanaa za Maonyesho (Performing Arts):-Muziki, Ngoma, Tamthiliya/Maigizo, Sarakasi na Sanaa za UfundiUbunifu na Uzalishaji wa Muziki (Music Design and Production)Picha Jongefu (Media Design and Film...

 

10 years ago

Dewji Blog

TaSUBa yatangazia umma nafasi za kozi kwa mwaka wa masomo 2015 /2016

WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO

(TaSUBa)

 timthumb

TANGAZO LA KUJIUNGA NA CHUO

TaSUBa inawatangazia umma nafasi za kujiunga na kozi kwa ngazi ya Cheti (Certificate) na

Stashahada (Diploma) kwa mwaka wa masomo 2015 /2016

 

Kozi hizo ni kama ifuatavyo:-

Sanaa za Maonyesho (Performing Arts):-

Muziki, Ngoma, Tamthiliya/Maigizo, Sarakasi na Sanaa za Ufundi

Ubunifu na Uzalishaji wa Muziki (Music Design and Production) Picha Jongefu (Media Design and...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani