ESTA KIAMA KUBADILI DINI!
![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3XU4G9rUBSuWIu0HzLEwy29YdrKSuKaDVeGq*Ho3QqvSDFG3hYxvC22oM4VofO-7DW1IwYawxZkeANFS2XT8c1V/IMG20150317WA0032.jpg?width=650)
Msanii wa filamu Bongo, Esta Kiama. MSANII wa filamu Bongo, Esta Kiama amesema kuwa yupo mbioni kubadili dini yake ya Kikristo na kwenda kwenye Uislam kwa kile anachodai kuwa amejisikia tu. Akichezesha taya na Amani, Esta alisema kuwa ameamua kubadilisha dini kwa matakwa yake mwenyewe na siyo kwa kulazimishwa na mtu yeyote. “Muda wowote kuanzia sasa nitabadilisha dini kwa kuwa nimeamua na wala si kwa ajili ya kumfuata...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0KkZWYRO4X6gvsCtVbt-XWa0IhUuCm*HGOJ44V8lWGvEsKs6NlwzFGOkMQdm2CbvHPe2-wwLZELQ7jRVkqyRKbJ/Kiama.jpg?width=650)
ESTA KIAMA ANASWA BILA MAKE UP
10 years ago
Bongo Movies28 Feb
UBUYU:Baada ya Kupata Pedeshee Mpya, Wolper Kubadili Dini Tena!!
Mrembeo na mwigizaji wa filamu, Jackline Massawe Wolper, kwa mara nyingine ameripotiwa na gazeti moja la udaku kuwa kuangukia kwenye mikono ya pedeshee ambaye ndiye anayempa jeuri ya fedha kwa sasa.
Pedeshee huyo anayedaiwa kumpangishia nyumba ya kisasa mrembo huyo na kumpa jeuri ya kufanya matanuzi hapa mjini, anadaiwa kutaka kumbadili dini staa huyo ili awe muislam kwa mara ya pili.
Licha ya maisha yake kubadilika na kuwa na mkwanja mrefu, Wolper mwenyewe amekuwa akifanya siri juu ya...
11 years ago
Bongo Movies30 Jun
SHEHE Amcharukia Jackline Wolper. Ni kutokana na tabia yake ya kubadili badili dini.
TABIA ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye amemcharukia vikali.
Wolper kiimani ni Mkristo lakini hivi karibuni alibadili na kuwa Muislam kabla ya kurejea tena kwenye imani yake ya awali ya ukristo.
Sababu ya Wolper kubadili dini ilikuwa ni kufunga ndoa na aliyekuwa mchumba wake Abdallah Mtoro ‘Dalas’, walipoachana akaamua kurudi kwenye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYk6vS5fJZaHhW9o2TIaqhZCScN7bKObOnj2c34jrMTfuqrQq-a9*G8KS9u3VnbjNGGqrSe8RUZ2N3ZeWDQYr-ec/sudanpoliticalmap17976123.jpg?width=650)
MWANAMKE AHUKUMIWA KIFO, KUCHAPWA MIJELEDI 100 KWA KUBADILI DINI SUDAN
9 years ago
Bongo503 Oct
Music: Will Smith,Bomba Estéreo — Fiesta (Remix)
10 years ago
Raia Mwema08 Jul
Yuko wapi Esta wa Wayahudi Tanzania atakayeliokoa taifa letu ?
OKTOBA mwaka huu, kutafanyika Uchaguzi Mkuu Tanzania utakaoshirikisha vyama vingi.
Fred Mpendazoe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JaaIjingYwK630D1RgsvOY8-G1PCFstB0qCKJJHYjHhpZzmiCyoykM-xTqMUAyDtwzvXVprZAWjDeIm3Cj7oz1-NU-heNxKJ/PICHA.jpg?width=750)
MKURUGENZI WA TIMES FM AMPA MKONO WA POLE BI ESTA BUGANDO, MWANZA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QGAL97PIhPA/VLpX0nISEgI/AAAAAAAG9-w/giB02-NwJuY/s72-c/DSC_0801.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ypr5eRsgCsY/VSacSUg99UI/AAAAAAAHP4E/fhX5DK68_QQ/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...