Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ESTA KIAMA ANASWA BILA MAKE UP

“Huwa nanunua rangi ya midomo kwa shilingi 25,000. HUYU anaitwa Ester Kiama. Ni chipukizi kwenye tasnia ya maigizo Bongo akiwa amefanikiwa kutoa muvi zake mbili na kuwakonga mashabiki wake. Ili kutoka na kuonekana ng’aring’ari, Ester anasema hutumia vipodozi vifuatavyo: LOTION Anatumia Revlon lakini wakati mwingine anasema hutumia mafuta ya nazi pekee au huchanganya na Revlon. Muigizaji wa filamu Bongo, Ester...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

ESTA KIAMA KUBADILI DINI!

Msanii wa filamu Bongo, Esta Kiama. MSANII wa filamu Bongo, Esta Kiama amesema kuwa yupo mbioni kubadili dini yake ya Kikristo na kwenda kwenye Uislam kwa kile anachodai kuwa amejisikia tu. Akichezesha taya na Amani, Esta alisema kuwa ameamua kubadilisha dini kwa matakwa yake mwenyewe na siyo kwa kulazimishwa na mtu yeyote. “Muda wowote kuanzia sasa nitabadilisha dini kwa kuwa nimeamua na wala si kwa ajili ya kumfuata...

 

10 years ago

GPL

ESTER KIAMA: BILA MILIONI 5 SIJAOELEWA

Kwenye kiwanda cha filamu Bongo sasa kuna warembo wakali wanaotishia amani wakongwe. Waswahili wanasema, hawavumi sana lakini ni moto wa kuotea mbali kwa uigizaji na muonekano pia.
Safu hii wiki hii imebahatika kumnasa mwanadada anayekwenda kwa jina la Ester Kiama. Amebanwa kwa maswali 10 ambapo bila hiyana alitoa ushirikiano. Ungana na mwandishi wetu Imelda Mtema aliyefanya naye mahojiano. Muigizaji wa filamu Bongo, Ester...

 

9 years ago

MillardAyo

Video 2 fupi za comedy:Mrembo hatoki bila kupaka make – up, Warembo wanapenda wanaume wa namna gani?, basi zicheki hapa..

Kuna vipisi vya sekunde 15 kila kimoja hapa kwenye hii post ya vichekesho/vituko vilivyotengenezwa ambapo hiki cha kwanza hapa kinahusu Mrembo hatoki bila kupaka make-up na cha pili kinahusu warembo wanapenda Wanaume wa namna gani ebu bonyeza play hapa chini 😂😂😂 Mrembo hatoki bila kupaka make-up !! mtag muhusika wako A video posted by millard ayo (@millardayo) […]

The post Video 2 fupi za comedy:Mrembo hatoki bila kupaka make – up, Warembo wanapenda wanaume wa namna gani?, basi zicheki...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Will Smith,Bomba Estéreo — Fiesta (Remix)

Baada ya miaka kumi kupita Will Smith amerudi tena kwenye game ya HipHop kwa kutoa remix ya wimbo wa ‘Fiesta’ wa kwake Bomba Estereo katika remix hii Will Smith anasikika akirap kwa lugha mbili Spanish na Kiingereza sikiliza hapa. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote […]

 

10 years ago

Raia Mwema

Yuko wapi Esta wa Wayahudi Tanzania atakayeliokoa taifa letu ?

OKTOBA mwaka huu, kutafanyika Uchaguzi Mkuu Tanzania utakaoshirikisha vyama vingi.

Fred Mpendazoe

 

10 years ago

GPL

MKURUGENZI WA TIMES FM AMPA MKONO WA POLE BI ESTA BUGANDO, MWANZA

Mkurugenzi Mtendaji wa Times Radio Fm,  Mr. Rehure Nyaulawa akiwa hospitali Bugando Mwanza alipoenda kumpa mkono wa pole bi Esta Jonas ambaye mtoto wake wa mwaka mmoja mwenye ulemavu wa ngozi (albino) aliyekutwa na majanga kukatwa mikono na miguu na watu wasiojulikana.

 

11 years ago

GPL

MBEYA CITY, ASHANTI WATOKA BILA BILA

Wachezaji wa Mbeya City (kulia) na Ashanti wakiwania mpira huku mvua kali ikiendelea kunyesha kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Mbande nje kidogo ya Jiji la Dar. Steven Mazanda (8) na Deogratius Julius (mwenye mpira) wachezaji wa Mbeya City wakiwania mpira na mchezani wa Ashanti.…

 

11 years ago

GPL

KIAMA CHA WAARABU

Na Saleh Ally, Cairo
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga,  wanaondoka leo kwenda mjini Alexandria kwa ajili ya mechi ya kesho dhidi ya Al Ahly ambao wana mbinu nyingi za nje na ndani ya uwanja. Hakuna ubishi mechi ni ngumu, lakini Yanga wakijipanga, wakatulia na kufanya wanachotaka kukifanya, huenda kikawa ni kiama cha Waarabu hao wanaoongoza kwa kuchukua makombe ya kimataifa kuliko klabu yoyote duniani. Mechi ya kwanza,...

 

9 years ago

Vijimambo

Magufuli atangaza kiama.

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, amesema akichaguliwa kuwa rais atakomesha tabia ya kuhamisha watendaji wabovu walioharibu sehemu moja kwenda nyingine na badala yake atawafukuza kazi moja kwa moja.

Aliyasema hayo jana kwa nayakati tofauti wakati akiwahutubia wananchi wa Nyamongo na Tarime Mjini wilayani Tarime mkoani Mara ikiwa ni siku yake ya pili ya ziara ya kampeni mkoani hapa.

Alisema tabia hiyo imekuwa ikichangia kwa kiwango kikubwa kuchelewesha maendeleo ya wananchi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani